Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

2009 nilipata kazi arusha nikaenda nikiwa na laki 5 yakujikimu wakat nasubiri mshahara sasa nikauliza driver tax sehemu nzuri yenye totoz wapi? Jamaa akanambia kuna picnic,shivaz na mrina,bas akanipeleka picnic nikanywa pale mpaka saa 7 nikapata mtoto mkali sana chuchu zimesimama kweli nikamlipa tukaenda guest maeneo hayo hayo,kufika rum nilikuw a niko maji haswa akanambia akinyonywa chuchu ana enjoy kumbe kapaka ugoro aisee nilipiga chafya moja kubwa,nilikuja kuamshwa saa nne na nusu asubuh kwamba muda umeisha niko chicha kishenz najisachi sina hata mia,kuchek viatu demu kasepa navyo pia ikabid niwaombe watu wa guest wanaisaidie ndala,malaya alisepa na lak 350...
 
Hivi picnic ndiyo shivaz ya miaka ile iliyokua inamilikiwa na Hans wa Vodacom? Au ndiyo africana ya sasa? I miss chuga aisee
 
The picnic pana wadada wazuri sana muda wote mapaja yao meupe yapo wazi kabisa napakumbuka sana kila nikienda Arusha lazima nikadhuru pale.
Si kweli. Tomboys ndo wengi Arusha
 
Hapo Picnic ikitangazwa vibaya ndio inajaza zaidi ngoja tuendelee kupata nyuzi mpya za kuiponda...umeenda sehemu ya starehe unakonyezwa unahadisia zipo sehemu hawakonyezi wanaomba mzigo kabisaa tena Pisi kali kama hapo Kwetu Pazuri mbeya..
 
Duhh Pole mkuu.
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
 
The picnic pana wadada wazuri sana muda wote mapaja yao meupe yapo wazi kabisa napakumbuka sana kila nikienda Arusha lazima nikadhuru pale.
Sawa ila kuwa makini tu maana tour guides wakishapata vidola vyao humalizia pale, watu wa mererani nao humo humo.
Pale ni kazi kazi
 
Mimi nilikuwa natembea na mguu wa mtoto nilitamani sana kumwaga ubongo wa mtu ila hakuna fala aliyebahatika kunidhamiria kunidhuru ijapokuwa nilikuwa narudi geto usiku sana kwa siku zote nilizokaa hapo jijini.
Mkuu una confidence mno, home city ni wapi wewe?
 
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
.
Nikafika pale nikaagiza Kinywaji Changu, Grants Ile Kubwa nikawa nanyonya mdogo², Sasa Kuna Binti akawa amekaa kaubta ananiangalia sana.
.
Badae akamtuma mhudumu akwambia, kamwambie yule Kaka nimempenda Jinsi alivyo mrefu na Rangi yake nyeusi nikasema asante.
.
Sasa nikaenda Chooni yule mwanamke ananikonyeza halafu for the time being akanifata chooni Ananambia mbn na kuita Uje Halafu hauji, Eti njoo ule nyama Sawa Nikamjibu Poa.
.
Ila Sikwenda maana nilishaambiwa Niwe makini na wahudumu+wateja, badaye kanifata nilipokaa Ananambia ninahamia Hapa Tukae Wote.
.
Wakati Huo Nimepaki Gari nje, Nikamjibu sitakaa Sana Ila nitaondoka Kwenda Kupumzikia, akajibu nitakusindikiza, Wala sikujibu chochote.
.
Badae Akili ikanambia Toka nje kaangalie gari, nikatoka Ila kabla sijatoka nje nikachukua Kinywaji Changu nikapeleka counter Kwa usalama zaidi.
.
Ila natoka nje kupiga macho Kwenye gari Naona Mtu Yuko ndani ya gari kusogea nakuta anafight kufungua radio, alivyoniona akakurupuka akataka kukimbia nikamuwahi nikampiga teke akaanguka Chini, nikampa teke lingine la Tumboni akatulia, nikaona gari ya Polisi wale Polisi wakaja wakaniuliza vipi nikawaelezea wakamchukua wakamweka Kwenye gari Yao.
.
Kurudi Kuangalia gari kumbe alivunja kioo Kidogo Akaingiza Mkono aka-unlock zile lock za milango.
.
Nikaenda kuwalezea Uongozi wa Bar Wala hawajali wanajibu majibu ya Kawaida Tu.
.
Nikachukia nikaenda nikachukua kinywaji Changu nikasepa.
.
Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo.
Minahisi meneja kabadilishwa kati ya sehem ilikuwa poa sana ni Picnic kama pamekuwa hivyo naamini uongozi umebadilika. Nilikuwa hapo Arusha kikazi kila siku Picnic ndio ilikuwa sehem yangu ya kupata msosi sikuwahi kuyaona hayo.
 
Kwa kifupi hama, mwenye hiyo bar atakuja kujifunza mbeleni atakapoona wateja wanahama
 
Ningekuwa mimi ndo wewe, huyo mwizi kabla ya kumkabidhi kwa polisi ningemsachi (namfokoa wallet na simu na kama amevaa ndula kali namchojolesha) mixer ngumi nyingi za mdomo....
But why za mdomo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom