Bar zilizofungiwa zatakiwa kulipa Faini Milioni Tano 5M kila moja ili ziruhisiwe kufanya biashara

Kuna viwanda na migodi kibao inachafua mazingira ila wanafungia bar kisa mziki.
Umeona eeh, yaani athari za kimazingira za viwanda vinavyotirisha sumu haiwezi kuwa sawa na athari za mziki, afterall mziki siyo kelele bali ni burudani.
 
Mbona hii imeanza kuwa kama ujambazi sasa, kukbe ishu sio kelele, ishu ni walikataa kuwapa hiyo milioni 5, mbona watu wakijitahidi kupambana kihalali kabisa mnawawekea vikwazo?!
 
Kwanini wapige mziki maeneo ya makazi ya watu kwa sauti ya ajabu ajabu?! Haiwezekani kuuza bar mziki ukiwa wa kawaida tu?!
1.)Sasa wakajenge bar kwenye makazi ya wanyama halafu Simba ndio wanywe hizo bia?
2.) Kama hakuna mziki si bora ninyee bia sebuleni kwangu, nimefuata nini bar kama hakuna amsha amsha?
 
Ki ufupi biashara ni changa moto, fikiria bar ya kawaida kupata faifa million Tano unaikusanya kwa kipindi gani? Bahadhi ya watendakazi wa nchi hii ni makatili, mamlaka zinapaswa kuelekeza na kushauri,

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Sahzi kelele za miziki zimepungua kwa asilimia kubwa Sana maana tulikuwa hatulali .NEMC ishikilie hapohapo
 
Labda km hujaijua taarifa kamili ni kwmb kuna faini ya 5M kwa wakaidi wa onyo la kupunguza sauti na 2M kwa wapya wa game ,ko me nadhan me sahihi kwa iyo faini kwa mkaidi
 
Ujue mimi naona kuna figisu pale mziki ata ukiwa tips hausikii mziki wa wavuvi kempu hapo kuna mmoja kamchongea mwezio now days wavuvi ndio habari ya mjini
Wavuvi kemp mziki wao wote unaishia baharini hata ukisimama barabarani huusikii labda samaki wamelalamika bana huwezi juwa jodari hapendi kelele.
 
Wacha kuongea pumba wewe lazima wafuate sheria watu hawawezi pumzika majumbani mwao kisa miziki,hata makanisa ya kirokole nayo ya pigwe faidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…