Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Mzee alinunua eneo mbezi beach mwaka 1978 tshs 600ππ. Enzi hizo pori tupu ukisimama kule beach unauona vizuri ule mbuyu wa kile kiwanja cha Mama Maria pale rungwe.Nyie wazee wa upanga si ndy mlipawahi mbezi beach naona mlitaka iwe kama upanga ππ
Wale wa sinza walihamia tabata
Ova
Aise wazee walijuwa kulenga maeneoMzee alinunua eneo mbezi beach mwaka 1978 tshs 600ππ. Enzi hizo pori tupu ukisimama kule beach unauona vizuri ule mbuyu wa kile kiwanja cha Mama Maria pale rungwe.
Tumetoka mbali.
Hebu nipe location ya hizo pub nije na mimi nijioneee
Unakua ujui kama ujuiKwa hiyo Ukitoka Ludewa ndo unakuwaje??.
Copa Cabana?Mzee baba fanya tour uende brazilππ
Ova
Huko ni balaa,watoto wanajiachiaCopa Cabana?
Wewe unatokea wapi???Unakua ujui kama ujui
Juliana naona pamekuwa pa ovyo sana, rafiki yangu aliibiwa gari hapo miezi kama miwili iliyopita ila bahati nzuri gari ikaja kukamatwa mwenge,Kwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi" Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata viwanja Mbezi beach.
Ongezeko la bar linaweza kuleta vitendo vya uhalifu, mapaka, madawa ya kulevya na kuharibu sifa ya mtaa. Bar zenyewe zinajaa watoto wa shule za kata wanyoa viduku na vidangaji vya kutoka uswahilini Kawe. Ukiondoa Oysterbay na Masaki mtaa unaofuatia kwa ustaarabu na makazi yenye utulivu ni Mbezi beach ila tunapoelekea sasa utakuwa mtaa wa fujo. Mwanzoni zilianza kumbi za sherehe, sasa hivi bar nani anajua kitakachofuatia?
Mipango miji tupeni jicho pande hizi kuna mitaa itunzwe na kuheshimiwa kama makazi mfano Mbezi beach, Mikocheni, Mbweni na Ununio na mitaa mingine ibaki ya starehe kama Sinza, kinondoni, Tabata n.k.
Baadhi ya bar hizo ni:
Rainbow
Juliana
Kidimbwi
Na nyingine nyingi siwezi taja zote wino utaisha.
Pale BJ ilikua ruksa Mkuu!Duuuuh Tangu Jamaa amfumue mtu Ubongo ikapoteza umaarufu.....Kumbe hadi huduma ya BJ ilikuwepo basi hatari.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya bar na mat*ko.Wakuuuu hakuna bar nzuri na tam kunywea,bear kama inayojaza ila jamani nimezunguka bar nyingi tipys kuna warembo anakukatikia mrembo mpaka stress zinaisha big up kwa warembo wote mnaotususiaga misambwana yenu
Sometimes huwa inatokea trends tu na bahati.Mzee alinunua eneo mbezi beach mwaka 1978 tshs 600ππ. Enzi hizo pori tupu ukisimama kule beach unauona vizuri ule mbuyu wa kile kiwanja cha Mama Maria pale rungwe.
Tumetoka mbali.
Sio njaa yenu ndio imewafanya kila nyumba muweke fremu zinazogeuka bar? Hata Masaki nyumba za waswahili hasa waliokopeshwa na serikali ndio zimejaa fremu na kuleta vurugu. Mimi nakaa uswahili ila nimegoma kabisa kuweka hizo fremu kwasababu sitaki vurugu nje kwangu.Pamoja na yoooooote hayo, bado Mbezi Beach itabaki kuwa Mbezi Beach tu, Oysterbay itabaki kuwa Oysterbay na Masaki itabaki kuwa Masaki tu.
Hao wachuuzi wanafuata tu wateja huku kwetu asubuhi na mchana, ikifika jioni wanajirudisha kwenye nyumba zao uswahilini sisi tunaendelea kula upepo tu.
Pale kwenye vijumba vya tope,ukitokea chini mbweni kuja kutokea bunjuMipango ilikuwa mbezi iwe zaidi ya obay na masaki kama plan ingebakia kama mwanzo
Basi mbezi beach ingekuwa kama Lavington fulani!
Ila sahv is ishakuwa vurugu ktk maeneo fulani sana sana pembezoni
Labda kunduchi na ununio sema ununio kuna sehemu moja wamejaa wazaramo+konde gang kna bonge la sqata
Kuna vigodoro hpo balaaa,sehem hyo ipo katikati ya mashuwaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa kuhama wabishi
Ova
Cha ajabu kuna bar zingine zinazaliwa zinakufa na kufufuka tena haijakaa sawa zinazimia kwa muda then zinazinduka tena.
Bar zingine ni kama trekta zinajikokota weeee hazifi wala nini zipo zipo tu na hazina mbwembwe ndani yake ni kama kisiwa hivi hazifi wala hazizimii.
Zingine zilizaliwa kwa shangwe kama zote zikafa moja kwa moja.
Zingine zilizaliwa kwa majina ya mbwembwe kibao kubadilishiwa jina tu ndo kabisa wateja nduki zimebaki bidhaa hata hazitoki kwa wingi zinatoka kwikwi
Zingine zina sura za wazee mwanzo mwisho, ukiingia ndani kama wewe ni kijana lazima cha kwanza utoe shikamoo ndefu ndo wazee watakupa maneno ya mafumbo fumbo kuhusu maisha ndani kuanzia ndoa, michepuko sijui vituko za enzi za awamu kadhaa ukitoka hapo sasa kichwa kimejaa fikra za kizee zee acha tu hahahaha
Kifupi, kila bar zina tabia zake ndani yake kama zilivyo tabia tofauti tofauti za binadamu, daah!!
Hiyo inajikongoja kama trektaIle pale Rafia kwa kina Mange Kimambi naona hata haileweki ipo au haipo