Arnold Kalikawe
Senior Member
- Sep 28, 2016
- 152
- 374
- Thread starter
-
- #41
Achana na putin yule naye yupo kimaslahi... Yule anatumia Africa kuwaumiza wamarekani ni sawa na mwanamke anakuwa na wewe hili kumkomoa Rafiki yake.. kuwa na wewe haimaanishi anakupenda, bali afanikishe jambo lake la kumtambia aduiUle mpango wa Putin uliishia wapi?
Bado una akili za kitoto ukikua utajua hao ulaya condition za mikopo Yao walikusaini kuilipa Kwa Hela Gani ?Mbona Euro wameweza na wanauziana na kufanya biashara kwa pesa yao... Hakuna cha tricky hapo, au unamuogopa mmarekani kiasi hicho... Dollar yake ibaki pale pale, ila huku kwetu ndani ya Afrika tufanye biashara kwa pesa yetu
Kuiba wanaweza, ila kuwa na Sarafu yetu wanaona ni jambo ambalo haliwezekaniki [emoji23] Bongo nyosooConfidence hakuna kwa mswahili yaani kila kitu anaona hawezi
Mbona kuiba wwnaweza? Kwanini wasiibe maarifa?
Kweli continent lote linategemea misaada tu kila kukicha
According to your weak thoughtsThis thing will not work.
Time will tell.According to your weak thoughts
Shida sio sarafu bali Wizi, ufisadi na RushwaHivi karibuni kumekuwa na uhaba wa sarafu ya Dollar Duniani, kitu ambacho kimepeleka pia sarafu za nchi nyingi barani Afrika kuyumba, na vitu kupanda bei bila mpangilio.
Kwa sababu mimi pia ni Admin wa page moja ya facebook inayoitwa Icon Africa ambapo humo tupo ma-Admin wengi kutoka nchi za Afrika na kila mmoja anapost mambo ya nchi yake ususani utalii. Basi nikaamua kwenda kwenye page kuuliza ni namna gani tuwaweza kuwa na pesa yetu ya bara la Afrika ili kuepuka madhara ya Dollar.
Na kama mnavyojua nchi zetu nyingi za kiafrika bado zinatumia sarafu ya Dollar kufanya manunuzi sehemu mbali ndani na nje ya bara la Afrika. Hivyo ukosefu wa sarafu ya Dollar imepelekea pia nchi nyingi kutikisika kiuchumi. lakini endapo tungekuwa na sarafu yetu ya bara la Afrika kama jinsi ilivyo sarafu ya Ulaya (Euro [emoji387] €), basi tutakuwa imara kiuchumi, hata kama dollar ikitikisika, sisi bado tutakuwa salama. Na pia tutaweza kufanya manunuzi ndani ya bara letu bila kutatizwa na kupanda na kushuka kwa sarafu ya Dollar.
Nimeanza kuona muitikio mkubwa wa watu mbalimbali kwenye comment za hiyo post wakipendekeza Sarafu iitwe Afro au Afric. Na muitikio ni mkubwa na kila mwafrika anatamani tuwe na sarafu yetu. Haya maoni ni namna gani yanawezwa kufikishwa Africa Union na yakafanyiwa kazi kwa haraka. Maana sidhani kama kuna nchi ya kiafrika inataka kuendelea kuikumbatia dollar
Waache wizi na Ufisadi.....the rest is drammaThis thing will not work.
Kabisa.Waache wizi na Ufisadi.....the rest is dramma
Black people wanaweza kufanikisha wizi wa kura kwa 100%Kitu gani Afrika imefanya kika fanikiwa ?
Hata kipindi cha kudai uhuru watu wengi walikufa lakini haikuzuia watu kuendelea kupigania uhuru... Wewe baki na fikra zako za kuogopa kufanya kisa fulani alifanya akafa... Haya maisha na vitu unavyotumia leo ni sacrifice ya maisha ya watu wengine... Wewe unatakiwa kujua Gadaffi alijikwaa wapi kisha wewe uje na njia mbadalaSiyo wazo jipya hilo.
"Kwani Ghaddafi alipoleta wazo hilo alisema iitwe vipi?
Unafikiri kilichomuuwa Ghaddafi ni nini?
Vitu vya kipumbavu pekee ndio vinawezekana Afrika na kwa mwafrika bara la kipuuzi sana hiliBlack people wanaweza kufanikisha wizi wa kura kwa 100%
Hehehee......ndio uwezo unakofikia. Sio kwa bahati mbayaVitu vya kipumbavu pekee ndio vinawezekana Afrika na kwa mwafrika bara la kipuuzi sana hili
Hata Nyerere alipoenda kudai uhuru aliambiwa hawezi kupewa uhuru, lakini leo hii wewe unadunda mtaani bila kuitwa mtumwa... Na unakuja hapa kusema haitawezekana... Hiyo simu yenyewe inayotumia kuna watu waliambiwa hawataweza kutengeneza lakini leo hii wewe ndio unadunda nayo... Sisi tutakukumbusha tu Mwalimu wa Mathe hapa ni wapiTime will tell.
Time is the best teacher.
That thing will not work.
Kuzaliwa mwafrika ni laana halisiaHehehee......ndio uwezo unakofikia. Sio kwa bahati mbaya
Kwa akili zako wewe upo huru hapa bongo ?Hata Nyerere alipoenda kudai uhuru aliambiwa hawezi kupewa uhuru, lakini leo hii wewe unadunda mtaani bila kuitwa mtumwa... Na unakuja hapa kusema haitawezekana... Hiyo simu yenyewe inayotumia kuna watu waliambiwa hawataweza kutengeneza lakini leo hii wewe ndio unadunda nayo... Sisi tutakukumbusha tu Mwalimu wa Mathe hapa ni wapi
Wizi, ufisadi na Rushwa, hivyo sio vitu vya leo... Ni toka enzi ya mababu zetu ambapo hata pesa haikuwepo... Hapa tunaongelea sarafu ya Afrika na si matatizo ya mtu mmoja mmojaShida sio sarafu bali Wizi, ufisadi na Rushwa
Dogo una miaka mingapi ?Wizi, ufisadi na Rushwa, hivyo sio vitu vya leo... Ni toka enzi ya mababu zetu ambapo hata pesa haikuwepo... Hapa tunaongelea sarafu ya Afrika na si matatizo ya mtu mmoja mmoja
Wenyewe wamevurugwa wanawaza LGBT na uinukaji wa china pia unawachanganyaWazo zuri lakini hii itakuwa pigo kubwa sana kwa wamagharibi na mshirika wao U.S , Swali ni je watakubali lifanikiwe tena kwenye bara lenye viongozi wengi mamluki wao na wanalolimudu?
Acha ujingaWizi, ufisadi na Rushwa, hivyo sio vitu vya leo... Ni toka enzi ya mababu zetu ambapo hata pesa haikuwepo... Hapa tunaongelea sarafu ya Afrika na si matatizo ya mtu mmoja mmoja