Arnold Kalikawe
Senior Member
- Sep 28, 2016
- 152
- 374
- Thread starter
- #81
Dogo umekaririshwa na wanafalsafa wa mitaani... Uhuru unaanza na fikra, mimi tayari niko huru na siamini kwenye kutumia Dollar miongoni mwa nchi zetu za Afrika... Wewe uliyefungwa minyororo ya fikra baki kwenye kuitukuza dollar...Akili yako ina minyororo mingi sana.
Ndio maana nimekuita dogo unafikiri minyororo ni kufungwa miguuni na mikononi.
Keep exposing your stupidity