Barabara alizojenga Hayati Magufuli, hazina viwango, zimetengeneza Matuta kama ya kupandia Viazi

Barabara alizojenga Hayati Magufuli, hazina viwango, zimetengeneza Matuta kama ya kupandia Viazi

Salaam Wakuu,

Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.

Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.

Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.

Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.

Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.

Mungu ni Shujaa

View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187

Dhalimu alikuwa anapenda wingi, kwake ubora haikuwa lazima. Ndio maana alikuwa akitaja mafanikio ya miradi yake alikuwa anataja idadi hata kama ni ya kupika. Mfano utasikia nimejenga vituo vya afya 500, lakini ukifuatilia unakuta ni idadi ya uongo.
 
Chuki zako zitakupeleka pabaya huna tofauti na mchawi wewe.
 
View attachment 2253223View attachment 2253224 Wapumbavu Kama nyie na wafata mkumbo hamkosekani mapicha ya Nigeria na congo mnamsingizia Magufuli.
Huna haja ya kupanikic na kutoa lugha zilizokosa staha.. Picha sijaweka mimi, lakini nikupe mfano mmoja wa wazi kuhusu mayaga construction ni airport ya chato na barabara ya Loliondo NIDA kuelekea Baobab njia ya Bagamoyo, ile barabara mwaka wa tatu sasa kampuni imeshindwa kukamilisha walau kilometer 10 na hizo chache ilizojenga ni majanga tupu
 
Huna haja ya kupanikic na kutoa lugha zilizokosa staha.. Picha sijaweka mimi, lakini nikupe mfano mmoja wa wazi kuhusu mayaga construction ni airport ya chato na barabara ya Loliondo NIDA kuelekea Baobab njia ya Bagamoyo, ile barabara mwaka wa tatu sasa kampuni imeshindwa kukamilisha walau kilometer 10 na hizo chache ilizojenga ni majanga tupu
Chache zipi?
 
Wapinzani wa Magufuli ni kundi la watu wapuuzi kuwahi kuishi duniani.

Anayewatuma nayeye ni hopeless kuliko taahira.

Yaani mpaka picha za india huko unaleta hapa unasema ni za magufuli na waxenge wenzio wanakuunga mkono.
Punguza jazba mkuu.
 
Ujinga ni mzigo kupambana na marehemu hata wanaowatumia wamekosa wafanye nini zaidi ya kutafuna pesa za umma
 
Husikiii tena mtu katekwa😁😁😁
 

Mzilankende Mnyago, Ngosha Chapa Ng'ombe, Jiwe, Chuma

Usinichanganyie Gunzi Na Battery Hiyo Torch Sitaiwasha Mimi

Ametufanyizia Kazi Kubwa Sana!!

 
Salaam Wakuu,

Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.

Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.

Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.

Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.

Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.

Mungu ni Shujaa

View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
Jiwe lilikuwa jizi tu jitu lile
 
Wapinzani wa Magufuli ni kundi la watu wapuuzi kuwahi kuishi duniani.

Anayewatuma nayeye ni hopeless kuliko taahira.

Yaani mpaka picha za india huko unaleta hapa unasema ni za magufuli na waxenge wenzio wanakuunga mkono.
Maumbwa kabisa hayo
 
Aisee mnatumia nguvu kubwa sana kupambana na kivuli cha magufuri.hio damu hautawaacha salama.
 
Back
Top Bottom