Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Wakati mwendazake.akiwa waziri wa Ujenzi. Ulikuwa hujui?Chuki inaleta magonjwa yasiyoambukiwa. Picha ya pili ni kipande cha barabara ya Dar-Moro tangu enzi za Kikwete.
..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwendazake.akiwa waziri wa Ujenzi. Ulikuwa hujui?Chuki inaleta magonjwa yasiyoambukiwa. Picha ya pili ni kipande cha barabara ya Dar-Moro tangu enzi za Kikwete.
Salaam Wakuu,
Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.
Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.
Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.
Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.
Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.
Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.
Mungu ni Shujaa
View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
Huna haja ya kupanikic na kutoa lugha zilizokosa staha.. Picha sijaweka mimi, lakini nikupe mfano mmoja wa wazi kuhusu mayaga construction ni airport ya chato na barabara ya Loliondo NIDA kuelekea Baobab njia ya Bagamoyo, ile barabara mwaka wa tatu sasa kampuni imeshindwa kukamilisha walau kilometer 10 na hizo chache ilizojenga ni majanga tupuView attachment 2253223View attachment 2253224 Wapumbavu Kama nyie na wafata mkumbo hamkosekani mapicha ya Nigeria na congo mnamsingizia Magufuli.
Chache zipi?Huna haja ya kupanikic na kutoa lugha zilizokosa staha.. Picha sijaweka mimi, lakini nikupe mfano mmoja wa wazi kuhusu mayaga construction ni airport ya chato na barabara ya Loliondo NIDA kuelekea Baobab njia ya Bagamoyo, ile barabara mwaka wa tatu sasa kampuni imeshindwa kukamilisha walau kilometer 10 na hizo chache ilizojenga ni majanga tupu
kila wakikaa wanahisi kukosa amani na utulivu maana hakuna wanachopata hata baada ya kutokuwepo.Na kadri wanavyomsema vibaya ndivyo Hayati Rais Magufuli anazidi kuwa imara zaidi na ndivyo wanavyozidi kumuogopa!
Hii kampuni ingefaa iitwe majanga construction🤣🤣Mayanga construction
Punguza jazba mkuu.Wapinzani wa Magufuli ni kundi la watu wapuuzi kuwahi kuishi duniani.
Anayewatuma nayeye ni hopeless kuliko taahira.
Yaani mpaka picha za india huko unaleta hapa unasema ni za magufuli na waxenge wenzio wanakuunga mkono.
Jiwe lilikuwa jizi tu jitu lileSalaam Wakuu,
Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.
Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.
Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.
Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.
Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.
Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.
Mungu ni Shujaa
View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
KilometerChache zipi?
Alikuwa anasimamiwa.Waziri wa ujenzi alikuwa Magufuli
Maumbwa kabisa hayoWapinzani wa Magufuli ni kundi la watu wapuuzi kuwahi kuishi duniani.
Anayewatuma nayeye ni hopeless kuliko taahira.
Yaani mpaka picha za india huko unaleta hapa unasema ni za magufuli na waxenge wenzio wanakuunga mkono.
Wazazi wako ni wajinga sanaTulikuwa na Rais mpumbafu sana.
Mbona hamna hata moja kwenye hizi, au mzee baba alichukua ramani kwenye hiyo mitaroo ??View attachment 2253223View attachment 2253224 Wapumbavu Kama nyie na wafata mkumbo hamkosekani mapicha ya Nigeria na congo mnamsingizia Magufuli.
Yaani hata wewe member mpya unadiliki kunitukana? Umejiunga JF ili kuonesha tabia ulizofunzwa na mama yako?