Barabara alizojenga Hayati Magufuli, hazina viwango, zimetengeneza Matuta kama ya kupandia Viazi

Barabara alizojenga Hayati Magufuli, hazina viwango, zimetengeneza Matuta kama ya kupandia Viazi

Bora hizo,,, hawa Walamba asali hata hayo matuta sijui kama yatapatikana
 
Mungu mtoe pepo huyu. Hajui kodi yake ndo inajenga
Mada ni barabara zote alizojenga magufuli, sa hivi magufuli hakujenga bali ni kodi ya huyo mchangia mada. Watanzania tupunguze upunguani. Yaani wengi ni kama HAMNAZO hivi!!! 😢
 
Aseee,inauma sana kuona watu wanaropoka vitu visivyo na msingi,MUNGU akupe pumziko jema JPM,uzuri MUNGU si mwanadamu anaona kila kitu nae hutoa haki kwa wakati wake.


Ingekuwa vizuri sasa mbomoe kila alichojenga ili mjenge vyenu vyenye standard ili roho zenu zitulie.
 
Salaam Wakuu,

Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.

Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.

Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.

Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.

Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.

Mungu ni Shujaa

View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
Alikuwa Rais wa hovyo sana
 
Duu huyu Mzee JPM mmempania kuua legazi yake
Legasi yake haitokufa kwa yale aliyoyafanya ambayo hayajawahi kufanywa na kiuongozi yoyote toka nchi hii ipate uhuru kama vile kuiba uchaguzi mzima bara na visiwani, maiti kuokotwa kwenye vipolo pembezoni mwa bahari bila kufanywa uchunguzi wowote,, waña siasa kupigwa risasi hadhaani bila uchunguzi wowote mk.
 
Hakika hakuna Rais ambaye hatakuja kunangwa, maana hata Samia naye watu wameshaanza kumnanga pia...
 
Salaam Wakuu,

Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.

Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.

Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.

Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.

Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.

Mungu ni Shujaa

View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] matuta ya viazi vitamu
 
Salaam Wakuu,

Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.

Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.

Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.

Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.

Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.

Mungu ni Shujaa

View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
Kuna chembe ya ukweli ndani yake.
Barabara ya Mawne -Tegeta ilijengwa na Estim akiwa chini ya Konoike.
Viwango vya kazi vilikuwa dunu sana, kila siku inarudiwa.
Na Barabara ya Msata -Bagamoyo nayo Estim.
Barabara inatitia huku madaraja yakinyanyuka.
 
Salaam Wakuu,

Nilikuwa nafuatilia barabara zilizojengwa na Magufuli nikashangaa. Zote zimeharibika. Zimejaa mashimo n nyingine zimetengeneza matuta kama ya kupandia Viazi.

Huyu Mzee angeongoza miaka 10, angeiacha nchi yetu hoi. Itakuwa alikuwa anakula 10% halafu akija Jukwaani anafoka.

Hakuna Barabara Magufuli amesimamia ikadumu miaka mitano au Mitatu. Mfano Barabara ya Tegeta Mwenge, kila siku inarudiwa kuwekewa lami. Wakati kuna barabara Mfano Barabara ya Mwinyi Morocco kwenda Posta, ipo Imara sana. Wakati ile ya Morocco nadi tegeta enzi za Magufuli imejaa Viraka na kubadilishwa lami mara kwa mara. Barabara za Magufuli zimeharibika na Madaraja yaneanza kudidimia yaani kwenye daraja pamekaa kama tuta.

Hii ni Nchi nzima. Angalia barabara ya kutoka pale Nyakanazi hadi Benaco, Nyakanazi Kibondo Kariakoo Mbagala, Tunduma- Sumbawanga, Dodoma-Babati, Kondoa - Babati, Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, Isaka - Ushilimbo, Msata Bagamoyo nk.

Barabara alizojenga Nyerere, Mwinyi na Mkapa bado zinadunda.

Baada ya Rais Samia kuingia Madarakani, Nchi yetu imeanza kurudi kwenye Msitari.

Mungu ni Shujaa

View attachment 2253180View attachment 2253181
View attachment 2253185View attachment 2253186View attachment 2253187
Ujawahi kumiliki akili bro
 
Mbona Wafusi wa Magufuli munatukana sana? Ninyi ndo Wawakilishi wa Magufuli kabisa, alikuwa na akili kama zenu. Hamkaukiwi matusi
 
"Barabara alizojenga Hayati Magufuli"


Hayati magufuli ndiye mkandarasi??
 
Marehemu hufa na chake pigana upate chako. Mzee wa watu anawaongoza malaika huko.
 
Back
Top Bottom