Barabara hatarishi huwa na mtelemko mikali au kona nyingi

Barabara hatarishi huwa na mtelemko mikali au kona nyingi

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Barabara hatarishi huwa na mtelemko mikali au kona nyingi au vyote kwa pamoja hapa Tanzania, hivyo uwezekano wa kupata ajari ni mkubwa dereva asipokuwa muangalifu.

- Hizi ni baadhi ya barabara hatarishi Tanzania.

1. Nyang’olo barabara ya Iringa kwenda Dodoma

FB_IMG_1630123560428.jpg


2. Barabara ya mlima Kitonga mkoani Iringa


FB_IMG_1630123572050.jpg


3. Lukumbulu barabara ya Songea mkoani Ruvuma

FB_IMG_1630123580524.jpg


4. Barabara ya mlima Sekenke mkoani Singida

FB_IMG_1630123589066.jpg


5. Barabara ya Chunya mkoani Mbeya

FB_IMG_1630123596859.jpg


- Barabara gani nyingine ni hatarishi hapa Tanzania?

Nyongeza: Hii ni barabara inayo onekana kuvutia japo ni hatarishi, inapatikana mkoa Arusha Barabara ya kutoka Manyara kwenda Karatu-Arusha.

FB_IMG_16237767594391723.jpg
 
cha kushangaza maeneo ambayo hayana kona hatarishi ndo ajali nyingi hutokeaaa

1. Usalama wa barabarani huanzia kwenye chombo husika
2. Rubani wa chombo nae ni mtu muhimu kuhakikisha hasababishi madhara kwa wengine
3. Hali ya hewa huchangia
4.
 
Ongezea hapo Babati-Mbulu, kati ya Mbuyu wa Mjerumani na Mbulu

Screenshot_20210828-073317_Gallery.jpg
 
Ongezea barabara inayotoka Sumbawanga kwenda bonde la Ziwa Rukwa.

Inaitwa barabara ya MUZE/MUZYE madereva mjiangalie mnapotajiwa hilo eneo ni hatari zaidi ya hizo Nyang'holo
 
cha kushangaza maeneo ambayo hayana kona hatarishi ndo ajali nyingi hutokeaaa

1. Usalama wa barabarani huanzia kwenye chombo husika
2. Rubani wa chombo nae ni mtu muhimu kuhakikisha hasababishi madhara kwa wengine
3. Hali ya hewa huchangia
4.
Kweli maeneo hayo hatarishi sana ajali hazitokei sana.
 
Ahsante kwa kunijuza japo nilipoona heading kwa haraka haraka nikakumbuka zile kona za kuelekea kwetu.

#Msambiazi.
Asante mkuu vipi hizo kona na hapo zimetajwa?
 
Hivi mlima Nyoka pakoje? Uwanja was Ndege Kiwira ambapo mabasi na magari ya mizigo yalikuwa yanapaa pakoje? Na huo mteremko was Mbalizi ambao unaua watu kila uchao, ukoje? Tuwekee mapikitule
Sawa mkuu ngoja niingie maktaba kuchukua picha ila hizo milima hapo mbeya nazo zinatisha.
Mlima nyoka hatari.
 
Ongezea barabara inayotoka Sumbawanga kwenda bonde la Ziwa Rukwa.
Inaitwa barabara ya MUZE/MUZYE madereva mjiangalie mnapotajiwa hilo eneo ni hatari zaidi ya hizo Nyang'holo
Ngoja niingie maktaba kuisaka nipate AB
 
Back
Top Bottom