Barabara hatarishi huwa na mtelemko mikali au kona nyingi

Barabara hatarishi huwa na mtelemko mikali au kona nyingi

Ukipata picha tusogezee mkuu.
Cheki mfano wa hiyo
2754122_DSC_0574.jpg
 
Kamwe hakuna kipande chenye mabonde pande mbili Kitonga, nimeanza kupita hiyo njia tangu mwaka 1981 kwa namna zote, miguu, baiskeli, pikipiki na magari, naijua vizuri sana hakuna hata sehemu moja inafanana na hiyo picha
 
Kamwe hakuna kipande chenye mabonde pande mbili Kitonga, nimeanza kupita hiyo njia tangu mwaka 1981 kwa namna zote, miguu, baiskeli, pikipiki na magari, naijua vizuri sana hakuna hata sehemu moja inafanana na hiyo picha
Hapo labda ngoja tutafute picha za karibuni tuweke hapa.
 
Barabara ya Mbeya kwenda Chunya mlima Kawetere ndiyo barabara iliyo kina kirefu Afrika (highest road point) kutoka usawa wa bahari, hata hivyo tumeshindwa kuitangaza kwa utalii licha ya wakoloni waliweza kuitangaza.
Kweli kawetere Napo ni kisanga inafaa kwa utalii.
Ukijumuisha na baridi yake sasa pale ni kazi kweli.
 
Vipande vya barabara vyenye ajali nyingi Tanzania nadhani ni morogoro To Dar, halafu Dar, Chalinze to Segera hayo maeneo hua na ajali sana tofauti na sehemu kama kitonga, sekenke, nyang’oro, K9 ambapo dreva hujua kabisa yuko sehemu hatari hivo huendesha kwa tahadhari na umakini mkubwa sana,
 
Ongezea barabara inayotoka Sumbawanga kwenda bonde la Ziwa Rukwa.
Inaitwa barabara ya MUZE/MUZYE madereva mjiangalie mnapotajiwa hilo eneo ni hatari zaidi ya hizo Nyang'holo
Duuh! Hii njia ni hatar ,niliwahi kupita kwel n kaburi wazi
 
Vipande vya barabara vyenye ajali nyingi Tanzania nadhani ni morogoro To Dar, halafu Dar, Chalinze to Segera hayo maeneo hua na ajali sana tofauti na sehemu kama kitonga, sekenke, nyang’oro, K9 ambapo dreva hujua kabisa yuko sehemu hatari hivo huendesha kwa tahadhari na umakini mkubwa sana,
Kweli ila mikoa Mbeya, Iringa na Morogoro ndio huongeza kwa ajali.
 
Sijaona Barabara ya Ludewa-Njombe,Maeneo ya Gangitolori,Ijongojongo.Nenda kule Mavanga, Maeneo ya Likanga Lya njukhi (Liganga),uone mziki wake.
 
Sijaona Barabara ya Ludewa-Njombe,Maeneo ya Gangitolori,Ijongojongo.Nenda kule Mavanga, Maeneo ya Likanga Lya njukhi (Liganga),uone mziki wake.
Asante kwa kushare hapa hasa nimeweka zinazofahamika.
Hivyo tutapata kuzifahamu na hizo.
 
Ongezea barabara inayotoka Sumbawanga kwenda bonde la Ziwa Rukwa.
Inaitwa barabara ya MUZE/MUZYE madereva mjiangalie mnapotajiwa hilo eneo ni hatari zaidi ya hizo Nyang'holo

Upo sahihi kushuka Mtowisa kutoka Sumbawanga kwa kupitia Muze hapo hakuna tena Tanzania nzima! Mtu atakayebisha basi hajawahi kushuka bonde la Rukwa! Gari ikifeli breki inashuka bondeni kama helkopta na kwenda kutua bondeni kama gunia la viazi!
 
Vuta picha,, hii barabara unatokea chini mombo kupandisha juu milimani lushoto kwa kuuzunguka mlima pembeni ..
Barabara inapita kwenye kingo za mlima kwenda juu na ni njia moja na mwendo wa almost dkka 30..
Ina tofauti gani na sekenke
 
Ongezea barabara inayotoka Sumbawanga kwenda bonde la Ziwa Rukwa.
Inaitwa barabara ya MUZE/MUZYE madereva mjiangalie mnapotajiwa hilo eneo ni hatari zaidi ya hizo Nyang'holo
Hatari sana Mkuu.

Nilikuwa naelekea Mtowisa kutoka Muze kwa mbele kule.

Daah.
 
Vuta picha,, hii barabara unatokea chini mombo kupandisha juu milimani lushoto kwa kuuzunguka mlima pembeni ..
Barabara inapita kwenye kingo za mlima kwenda juu na ni njia moja na mwendo wa almost dkka 30..
Aah Acha kabisa Mkuu.

Aisee ni Mungu Tu.

Mombo To Lushoto Daah Kifo kile.
 
Ile barabara ya kutoka Songea mjini kwenda kule Nyasa ziwani inaitwaje sijui, aisee weka mbali na watoto inatisha pia

Hata ile ya Mombo kwenda Lushoto ukianza kupandisha mpaka uikute ile njia panda ya Bumbuli nayo hatari, pale njia panda nimepasahu jina kidogo
 
Back
Top Bottom