Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo mteremko wa mbalizi inawezekana ndo headquarters za Izrael mtoa roho, mungu aingilie kati tu.Hivi mlima Nyoka pakoje? Uwanja was Ndege Kiwira ambapo mabasi na magari ya mizigo yalikuwa yanapaa pakoje? Na huo mteremko was Mbalizi ambao unaua watu kila uchao, ukoje? Tuwekee mapikitule
Huku hajafika huyu asee ,,hizo alizotaja hapo hazifiki hii barabara kwa htri,,Mombo- lushoto ni shida aisee
Vuta picha,, hii barabara unatokea chini mombo kupandisha juu milimani lushoto kwa kuuzunguka mlima pembeni ..Ukibahatika picha tusogezee kwa niaba ya wengi.
Ukipata picha tusogezee mkuu.Vuta picha,, hii barabara unatokea chini mombo kupandisha juu milimani lushoto kwa kuuzunguka mlima pembeni ..
Barabara inapita kwenye kingo za mlima kwenda juu na ni njia moja na mwendo wa almost dkka 30..
Umenikumbusha mbali sana.Barabara ya mbinga -Nyasa
Maguu ndo nyumbani auUmenikumbusha mbali sana.
Mimi nilikuaga nikifika nyoni naiacha ya nyasa, nakunja kulia naelekea maguu. Maisha hayaa..
Sitaki kupakumbuka huko, mwanangu anasoma huko, kwenye graduation atanisamehe[emoji119][emoji119]Mombo- lushoto ni shida aisee
Hapana, maisha tuu..Maguu ndo nyumbani au
Nina mashaka na picha2. Barabara ya mlima Kitonga mkoani Iringa
Huo uoto siyo wa Kitonga, nimepita hiyo barabara kila mwezi for decades sijaona hizo bends2. Barabara ya mlima Kitonga mkoani Iringa.
Sehemu gani hiyo yenye mabonde pande zote mbili za barabaraHiyo picha hapo juu ya mda kidogo mkuu.