Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC na M23

Tena!
 
I wish all universities wahamishie vyuo Dodoma,singida na tabora mpaka shinyanga yaani dar Iko crowded mno , pia baadhi ya viwanda viletwe hata singida na Dodoma Kuna mapori mno Mana hapo ni rahisi mno kusafirisha kwenda pengine within a country
Idea yako ni nzuri kabisaaa,hujazongatia malighafi,masoko ...Dar ipo karibu na Bandari,Anga na Bahari yaani ni multipurpose tofauti na Singida
 
Kwa wanaojua ratiba ya kufika Kagame, tafadhali. Tunataka tumuandalie hafla ya kumzomea
Acha ujinga wako mumzomee kwa sababu gani? Hujui historia ya mgogoro Ndio maana unazungumza ujinga huu!
Leo hii Mkiamua kuwapa kipigo wamasai wa Tanzania unadhani wamasai wa Kenya wataacha kuja kuwasaidia ndugu zao? Ndio Kagame anachofanya DRC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…