Barabara ya Mabwepande jinsi ilivyotengwa na CCM

Barabara ya Mabwepande jinsi ilivyotengwa na CCM

Abby Uladu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
2,194
Reaction score
4,549
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena..

Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami

Wamekuwa wakiitumia Sera hii hasa kwa wakazi wa Mabwepande na Bunju kuomba Kura kupitia hii barabara ila cha ajabu Hadi Leo hakuna kilichofanyika

Awamu ya Mkapa [emoji735]

Awamu ya kikwetwe[emoji735]

Awamu ya Magufuli[emoji735]

Hata mama sidhani kama anaweza kutekeleza hili

Naamini kuna viongozii humu je?

Hii barabara wameiweka kwenye kundi lipi?

Hawana mpango nayo?

Haipo kwenye ilani yao?

Mara ya mwisho Paul Makonda 2017 aliongea na wananchi maneno mengi kuhusu barabara hii lakini hakuna kinachofanyika sanasana wanaichonga Tu

NB:

Mwakani mkirudi (2024,2025)mje na plan nyengine mana hii wananchi wameshastuka

#Nanialaumiwe?#
#tupatesautizetu#
#Uvumilivuunachosha#
Stukamwananchi#

20231020_081553.jpg
20231020_081342.jpg
20231020_081538.jpg
20231020_081243.jpg

 

Attachments

  • 20231020_081538.jpg
    20231020_081538.jpg
    52.4 KB · Views: 12
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena..

Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami

Wamekuwa wakiitumia Sera hii hasa kwa wakazi wa mabwepande na bunju kuomba Kura kupitia hii barabara ila cha ajabu Hadi Leo hakuna kilichofanyika

Awamu ya mkapa [emoji735]

Awamu ya kikwetwe[emoji735]

Awamu ya Magufuli[emoji735]

Hata mama sizani kama anaweza kutekeleza hili

Naamin kuna viongozii humu je?

Hii barabara wameiweka kwenye kundi lipi?

Hawana mpango nayo?

Haipo kwenye ilani yao?

Mara ya mwisho Paul makonda 2017 aliongea na wananchi maneno mengi kuhusu barabara hii lakini hakuna kinachofanyika sanasana wanaichonga Tu

NB:

Mwakani mkirudi (2024,2025)mje na plan nyengine mana hii wananchi wameshastuka

#Nanialaumiwe?#
#tupatesautizetu#
#Uvumilivuunachosha#
Stukamwananchi#View attachment 2786993View attachment 2786995View attachment 2786996View attachment 2786997
Kada Mkongwe wa CCM na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ( MNF ) Mzee Butiku si anaishi huko huko ( Nyumba za TBA ) kwanini hawaitengenezi au hata Yeye Mwenyewe kuomba itengenezwe?

Inashangaza sana na Kufikirisha mno.
 
Kada Mkongwe wa CCM na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ( MNF ) Mzee Butiku si anaishi huko huko ( Nyumba za TBA ) kwanini hawaitengenezi au hata Yeye Mwenyewe kuomba itengenezwe?

Inashangaza sana na Kufikirisha mno.
Inasikitisha sana mana ni awamu nyingi kibaya zaidi huwa wanatoa ahadi Kila mwaka wa uchaguzi....inakera mnoo..
 
Inasikitisha sana mana ni awamu nyingi kibaya zaidi huwa wanatoa ahadi Kila mwaka wa uchaguzi....inakera mnoo..
Ipendeni Kivitendo Serikali ya CCM ya Rais Samia Suluhu Hassan sasa hivi mtawekewa huo Mkeka ( Lami ) huko Mabwepande Kwenu sawa Mkuu?
 
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena..

Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami

Wamekuwa wakiitumia Sera hii hasa kwa wakazi wa mabwepande na bunju kuomba Kura kupitia hii barabara ila cha ajabu Hadi Leo hakuna kilichofanyika

Awamu ya mkapa [emoji735]

Awamu ya kikwetwe[emoji735]

Awamu ya Magufuli[emoji735]

Hata mama sizani kama anaweza kutekeleza hili

Naamin kuna viongozii humu je?

Hii barabara wameiweka kwenye kundi lipi?

Hawana mpango nayo?

Haipo kwenye ilani yao?

Mara ya mwisho Paul makonda 2017 aliongea na wananchi maneno mengi kuhusu barabara hii lakini hakuna kinachofanyika sanasana wanaichonga Tu

NB:

Mwakani mkirudi (2024,2025)mje na plan nyengine mana hii wananchi wameshastuka

#Nanialaumiwe?#
#tupatesautizetu#
#Uvumilivuunachosha#
Stukamwananchi#View attachment 2786993View attachment 2786995View attachment 2786996View attachment 2786997
Hiyo barabara iko wilaya gani?
 
Ipendeni Kivitendo Serikali ya CCM ya Rais Samia Suluhu Hassan sasa hivi mtawekewa huo Mkeka ( Lami ) huko Mabwepande Kwenu sawa Mkuu?
Mkuu sidhani maana ni awamu nyingi mno wameahidi vya kutosha mpaka wanaona aibu sasa
 
Kada Mkongwe wa CCM na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ( MNF ) Mzee Butiku si anaishi huko huko ( Nyumba za TBA ) kwanini hawaitengenezi au hata Yeye Mwenyewe kuomba itengenezwe?

Inashangaza sana na Kufikirisha mno.
Pia kuna mtaa wa Kitunda kuna Nyumba za Family ya Mama Samia. Maarufu kama Kwa Mama Samia kuelekea Barabara ya Heameda Polyclinic hospital ya Moyo. Kuna Makazi ya zamani ya IGP, Makazi ya Viongozi wa Tanroads ukimjulisha Mkuu WA Bodi na Viongozi Wengine. Barabara ni Vumbi miaka yote hata Daladala zimeshindwa kuitumia. Ilikuwa ni ya kuomba Kura Mwaka 2020 na itakuwa tena ya kuomba Kura 2024, na 2025.
 
Sio ubungo kweli? Si ile inao anzia mbezi mpiji magoe hadi bunju?? Au kuna nyingine.
Mkuu hii ipo wilaya ya Kinondoni ila inaishilizia hukooo Mbezi Kimaraaa.......
 
Pia kuna mtaa wa Kitunda kuna Nyumba za Family ya Mama Samia. Maarufu kama Kwa Mama Samia kuelekea Barabara ya Heameda Polyclinic hospital ya Moyo. Kuna Makazi ya zamani ya IGP, Makazi ya Viongozi wa Tanroads ukimjulisha Mkuu WA Bodi na Viongozi Wengine. Barabara ni Vumbi miaka yote hata Daladala zimeshindwa kuitumia. Ilikuwa mi ya kuomba Kura Mwaka 2020 na itakuwa tena ya kuomba Kura 2024, na 2025.
Wananchi wameshastuka stuka waje na plan nyengine sasa
 
Naam ni hiyo inakatisha Kando Pande Game Reserve na kiwanda cha Mbolea
Hiyo ni ya Tanroad angalia kwenye bajeti ya wizara ya mwaka 2022/23 kama haipo ni kazi ya mbunge wenu kuliamsha bungeni ipewe kipaumbele pia.
 
Hiyo ni ya Tanroad angalia kwenye bajeti ya wizara ya mwaka 2022/23 kama haipo ni kazi ya mbunge wenu kuriamsha bungeni ipewe kipao mbele pia.
Wanaruka sebene Tu halima mdee alishindwa....huyu mchunga kondoo yeye ndio kabisa ajishughulishi...na Hana mpango
 
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena..

Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami

Wamekuwa wakiitumia Sera hii hasa kwa wakazi wa mabwepande na bunju kuomba Kura kupitia hii barabara ila cha ajabu Hadi Leo hakuna kilichofanyika

Awamu ya Mkapa [emoji735]

Awamu ya kikwetwe[emoji735]

Awamu ya Magufuli[emoji735]

Hata mama sidhani kama anaweza kutekeleza hili

Naamini kuna viongozii humu je?

Hii barabara wameiweka kwenye kundi lipi?

Hawana mpango nayo?

Haipo kwenye ilani yao?

Mara ya mwisho Paul Makonda 2017 aliongea na wananchi maneno mengi kuhusu barabara hii lakini hakuna kinachofanyika sanasana wanaichonga Tu

NB:

Mwakani mkirudi (2024,2025)mje na plan nyengine mana hii wananchi wameshastuka

#Nanialaumiwe?#
#tupatesautizetu#
#Uvumilivuunachosha#
Stukamwananchi#View attachment 2786993View attachment 2786995View attachment 2786996View attachment 2786997
 

Attachments

  • FC0E6CC3-C5A1-4F74-A7AD-A886D8C820FB.jpeg
    FC0E6CC3-C5A1-4F74-A7AD-A886D8C820FB.jpeg
    68.8 KB · Views: 9
Kada Mkongwe wa CCM na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ( MNF ) Mzee Butiku si anaishi huko huko ( Nyumba za TBA ) kwanini hawaitengenezi au hata Yeye Mwenyewe kuomba itengenezwe?

Inashangaza sana na Kufikirisha mno.
Mkuu,
Watu kama akina Butiku, Warioba nk CCM ya sasa haiwathamini kabisa. Maeneo ya Mabwepande kuna majaji, wanasheria, watu wa usalama, wanajeshi, wafanyakazi wa benki wana nyumba zao huko lakini CCM hawajali wanazingatia sana kufanya Mbweni iwe pepo ya ardhini huku wananchi wenye umiliki halali wa ardhi huko wanavunjiwa nyumba kwa dhuluma na ghiliba.

Mbopo kuna nyumba zaidi ya 400 zilivunjwa pindi tu ilipoingia awamu hii huku wakiwaacha ya watu wao waliojenga kwenye hilo hilo hii ndio dhuluma kuu

CCM ni sawa na HAMAS ambacho nikikundi cha siasa Palestina chenye madaraka ukanda wa Gaza ikiimanisha wanajinufaisha kupitia jeuri, fujo na dhuluma kwa mgongo wa shida za wananchi wake.
CCM-Chama Cha Mapinduzi (wanampindua nani miaka yote. Hiki chama kilitakiwa kiwe cha Zanzibar kwa sababu walipopewa uhuru n Uingereza Nov 1963 ndipo wakapanga mapinduzi ya Januari 1864.
HAMAS (חָמַס ḥāmas)-Ḥarakah al-Muqāwamah al-ʾIslāmiyyah (حركة المقاومة الإسلامية)-jeuri, fujo, dhuluma, ugomvi, ubishi, ghiliba, chuki, uasi wa roho na kujali matakwa binafsi ya kikundi na kujikinga nyuma ya huruma ya wengine na kutupa lawama kwingine.
 
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena..

Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami

Wamekuwa wakiitumia Sera hii hasa kwa wakazi wa mabwepande na bunju kuomba Kura kupitia hii barabara ila cha ajabu Hadi Leo hakuna kilichofanyika

Awamu ya Mkapa [emoji735]

Awamu ya kikwetwe[emoji735]

Awamu ya Magufuli[emoji735]

Hata mama sidhani kama anaweza kutekeleza hili

Naamini kuna viongozii humu je?

Hii barabara wameiweka kwenye kundi lipi?

Hawana mpango nayo?

Haipo kwenye ilani yao?

Mara ya mwisho Paul Makonda 2017 aliongea na wananchi maneno mengi kuhusu barabara hii lakini hakuna kinachofanyika sanasana wanaichonga Tu

NB:

Mwakani mkirudi (2024,2025)mje na plan nyengine mana hii wananchi wameshastuka

#Nanialaumiwe?#
#tupatesautizetu#
#Uvumilivuunachosha#
Stukamwananchi#View attachment 2786993View attachment 2786995View attachment 2786996View attachment 2786997
Mkuu Abby uladu mbunge wa huko ni nani ili adhibiwe kwa kutowasemea kero zenu!
 
Back
Top Bottom