Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mtemvu ana canter za kuuza maji kibamba,ni aibuUko sahihi mkuu
Ubungo-Kitila
Kibamba-Mtemvu
Kawe-Gwajima
Ila barabara zinazoongelewa zinawagusa wote hao kwa mfano tazama JPM alimwagiza nini Mgugale
View attachment 2788174
View attachment 2788173
View attachment 2788176
View attachment 2788177
Tanbihi: Itabidi wananchi wa jimbo la Kibamba wamhoji mbunge Mtemvu aeleze umma eneo alilopewa na JPM ni lipi na almelifanyia nini kwa ajili ya wananchi wa Ubungo na Kibamba. Pili barabara ambazo ziliagizwa kujengwa kiwango cha lami huko Kibamba kuunganisha Ubungo ni zipi?