Barabara ya Mabwepande jinsi ilivyotengwa na CCM

Barabara ya Mabwepande jinsi ilivyotengwa na CCM

Ni kuwa na subira tu

Itajengwa kuanzia Mbezi kupitia Mpigi Magoe, Mabwepande mpaka Bunju

Pale Mpigi Chama kutajengwa kipande kitakachoenda mpaka Kibamba na daraja lilishajengwa

Lengo la serikali kwa sasa ni kutaka kuwasaidia wananchi wa Dar na viunga vyake kuwa na urahisi wa kufika Magufuli Bus Terminal na hospitali ya Mloganzila

Kwa hiyo barabara ya Mabwepande ni miongoni mwa barabara itakayojengwa kutimiza lengo hilo

Inasubiriwa mradi wa maji ukamilike kwanza ambao tayari umeshafika Mpigi
Tatiz huwa wanaahidi kuwa wataijenga utasikia(kwa mfano)

"Hii barabara serikali itaifanyia maajabu kwa kuibadilisha iwe kiwango cha lami,shida ya usafiri itakuwa sio shida zetu...(makofi ya pongezi kwa mnadi Sera)...cha msingi chagua CCM ...."

Wananchi"sema Baba tunawaamini"

Matokeo yake wakipata Kula hawana muda....

#mwanachistuka#
#uvumilivuunamwisho#
 
Kuna wabunge wawili katika eneo hilo ambao ni Kitila Mkumbo-Ubungo (Robo ya Mabwepande, Mpiji, Makabe, Msumi, Makabe, Kibamba, Kiluvya na Mbezi Msakuzi na Gwajima-Kawe (Madale, Tegeta, Mbezi, Mbweni, Salasala, Goba, Bunju A & B, Mabepande robo tatu, Mbopo, Kinondo, Nyakasangwa
Barabara-Makabe-Msakuzi-Mpiji (Kitila)
Barabara-Njiapanda Mlonganzila-Kibwetere-Mpiji-Mabwepande robo (Kitila)
Barabara-Makabe-Msumi (Kitila)
Barabara-Mabwepande-Bunju (Gwajima)
Barabara-Mbopo-Bunju (Gwajima)
Hizo barabara tajwa hapo juu ikianza mvua ni sawa unasafiri kwendamkioani kupitia barabara ya Ngerengere hadi Kisaki
Mbweni kwenye nyumba za kifahari barabara zake zina lami lakini imeanza baada ya uwepo wa Mabwepande, Bunju na Mbopo na Msumi ni ubaguzi wa hali ya juu sana
Kitila ni Ubungo na sio Kibamba, naona umempa ubunge wa Kibamba mkuu.
 
Kibamba ni jina la jimbo lenyewe,kiluvya pia ipo jimbo la kibamba,hilo jimbo la kibamba hasa kata ya kwembe mbunge na diwani wake toka walipochaguliwa hamna walichofanya na hata kuonekana maeneo hayo,kata ya kwembe kuna uwezekano ndio kata duni zaidi ndani ya dar
Ni kweli, kata ya Kwembe ni duni sana, haina hata njia koja ya lami japo maji yapo kwa asilimia nzuri sana. Miundombinu ya barabara, na lile dongo la mfinyanzi linafanya njia zisipitike kabisa lipindi cha mvua.
 
Ipendeni Kivitendo Serikali ya CCM ya Rais Samia Suluhu Hassan sasa hivi mtawekewa huo Mkeka ( Lami ) huko Mabwepande Kwenu sawa Mkuu?
Kwani umeambiwa Kuna chuki!?
Shida ipo kwa watendaji hata kama pesa imetengwa hawawajibiki. Kila kitu Sa100 !

Hivi kwani TARURA kazi yao ni nini na pesa inayotengwa inaenda wapi.
Barabara nyingi sana Dar ni mbovu kabisa na mvua ikinyesha ni majanga!
 
Ni kweli, kata ya Kwembe ni duni sana, haina hata njia koja ya lami japo maji yapo kwa asilimia nzuri sana. Miundombinu ya barabara, na lile dongo la mfinyanzi linafanya njia zisipitike kabisa lipindi cha mvua.
Tuanze kampeni ya wananchi kuwastukia hawa wanaofake ahadi zao inaumiza mnoo
 
Kwani umeambiwa Kuna chuki!?
Shida ipo kwa watendaji hata kama pesa imetengwa hawawajibiki. Kila kitu Sa100 !

Hivi kwani TARURA kazi yao ni nini na pesa inayotengwa inaenda wapi.
Barabara nyingi sana Dar ni mbovu kabisa na mvua ikinyesha ni majanga!
Genta...ashanza kulamba asali si ajabu na yeye akiwa mcheza sebene na Mama huku wachovu wakiahidiwa maendeleo hewa

GENTAMYCINE stuka
 
Ni kweli, kata ya Kwembe ni duni sana, haina hata njia koja ya lami japo maji yapo kwa asilimia nzuri sana. Miundombinu ya barabara, na lile dongo la mfinyanzi linafanya njia zisipitike kabisa lipindi cha mvua.
Kipindi cha mvua kule ni hatari,yule mtemvu 2025 halafu atarudi tena kuomba kura!
 
Tatiz huwa wanaahidi kuwa wataijenga utasikia(kwa mfano)

"Hii barabara serikali itaifanyia maajabu kwa kuibadilisha iwe kiwango cha lami,shida ya usafiri itakuwa sio shida zetu...(makofi ya pongezi kwa mnadi Sera)...cha msingi chagua CCM ...."

Wananchi"sema Baba tunawaamini"

Matokeo yake wakipata Kula hawana muda....

#mwanachistuka#
#uvumilivuunamwisho#
Yatapita mkuu
 
Awali ya yote nimshukuru Mwenyezimgu kwa kutupa uhai tena na tena..

Kumekuwepo na ngonjera nyingi na awamu nyingi zikinadi kutengeneza hii barabara kwa kiwango cha lami

Wamekuwa wakiitumia Sera hii hasa kwa wakazi wa mabwepande na bunju kuomba Kura kupitia hii barabara ila cha ajabu Hadi Leo hakuna kilichofanyika

Awamu ya Mkapa [emoji735]

Awamu ya kikwetwe[emoji735]

Awamu ya Magufuli[emoji735]

Hata mama sidhani kama anaweza kutekeleza hili

Naamini kuna viongozii humu je?

Hii barabara wameiweka kwenye kundi lipi?

Hawana mpango nayo?

Haipo kwenye ilani yao?

Mara ya mwisho Paul Makonda 2017 aliongea na wananchi maneno mengi kuhusu barabara hii lakini hakuna kinachofanyika sanasana wanaichonga Tu

NB:

Mwakani mkirudi (2024,2025)mje na plan nyengine mana hii wananchi wameshastuka

#Nanialaumiwe?#
#tupatesautizetu#
#Uvumilivuunachosha#
Stukamwananchi#View attachment 2786993View attachment 2786995View attachment 2786996View attachment 2786997
Mabwe pande kuna wapinzani tupu😆😆
 
Kitila ni Ubungo na sio Kibamba, naona umempa ubunge wa Kibamba mkuu.
Uko sahihi mkuu
Ubungo-Kitila
Kibamba-Mtemvu
Kawe-Gwajima

Ila barabara zinazoongelewa zinawagusa wote hao kwa mfano tazama JPM alimwagiza nini Mgugale
1697883535685.png

1697883464064.png

1697883590739.png

1697883678416.png

Tanbihi: Itabidi wananchi wa jimbo la Kibamba wamhoji mbunge Mtemvu aeleze umma eneo alilopewa na JPM ni lipi na almelifanyia nini kwa ajili ya wananchi wa Ubungo na Kibamba. Pili barabara ambazo ziliagizwa kujengwa kiwango cha lami huko Kibamba kuunganisha Ubungo ni zipi?
 
Uko sahihi mkuu
Ubungo-Kitila
Kibamba-Mtemvu
Kawe-Gwajima

Ila barabara zinazoongelewa zinawagusa wote hao kwa mfano tazama JPM alimwagiza nini Mgugale
View attachment 2788174
View attachment 2788173
View attachment 2788176
View attachment 2788177
Tanbihi: Itabidi wananchi wa jimbo la Kibamba wamhoji mbunge Mtemvu aeleze umma eneo alilopewa na JPM ni lipi na almelifanyia nini kwa ajili ya wananchi wa Ubungo na Kibamba. Pili barabara ambazo ziliagizwa kujengwa kiwango cha lami huko Kibamba kuunganisha Ubungo ni zipi?
JPM alipokufa kila kitu kilikufa, japo katika hilo eneo walilopewa imejengwa shule bora na ya kisasa ya watoto wa kike ya sekondari. Nadhani mwakani itaanza kusaili watoto. Bado eneo ni kubwa, linahitaji uwekezaji mkubwa tu.

Kuhusu barabara, jimbo la Kibamba sidhani kama lina barabara za lami mkuu, ukiacha chache sana zilizojengwa kipindi Magu akiwepo.
 
JPM alipokufa kila kitu kilikufa, japo katika hilo eneo walilopewa imejengwa shule bora na ya kisasa ya watoto wa kike ya sekondari. Nadhani mwakani itaanza kusaili watoto. Bado eneo ni kubwa, linahitaji uwekezaji mkubwa tu.

Kuhusu barabara, jimbo la Kibamba sidhani kama lina barabara za lami mkuu, ukiacha chache sana zilizojengwa kipindi Magu akiwepo.
Eneo hilo la hekari 52 liko sehemu gani na uwekezaji uliousema unaweza kuuonesha kwa picha ili wananchi wafike hapo kuthibitisha? Hiyo shule iliyojengwa inaitwaje?

Inadaiwa pia huyo mbunge wa Kibamba amejitwalia maeneo huko Mbopo na Mabwepande hebu tufafanulie kwa uwazi ili taarifa za mitaani zife.
 
Barabaran hii ipo chini ya Tanroad inajngwa kwa Vipande imeanzia Kibamba Shule itakuja mpaka Mpiji - Mapwepande - Bunju

Kiufupi ipo kwenye ujenzi ilicheleweshwa na kesi ya Fidia Kwa Sasa Kibamba lami imejengwa na kumependeza sana
 
Barabaran hii ipo chini ya Tanroad inajngwa kwa Vipande imeanzia Kibamba Shule itakuja mpaka Mpiji - Mapwepande - Bunju

Kiufupi ipo kwenye ujenzi ilicheleweshwa na kesi ya Fidia Kwa Sasa Kibamba lami imejengwa na kumependeza sana
Na hii inayokuja stand ya Magufuli pale ilipoishia round about (Mbezi High School)??
 
Back
Top Bottom