Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mtemvu ana canter za kuuza maji kibamba,ni aibuUko sahihi mkuu
Ubungo-Kitila
Kibamba-Mtemvu
Kawe-Gwajima
Ila barabara zinazoongelewa zinawagusa wote hao kwa mfano tazama JPM alimwagiza nini Mgugale
View attachment 2788174
View attachment 2788173
View attachment 2788176
View attachment 2788177
Tanbihi: Itabidi wananchi wa jimbo la Kibamba wamhoji mbunge Mtemvu aeleze umma eneo alilopewa na JPM ni lipi na almelifanyia nini kwa ajili ya wananchi wa Ubungo na Kibamba. Pili barabara ambazo ziliagizwa kujengwa kiwango cha lami huko Kibamba kuunganisha Ubungo ni zipi?
Aisee we jamaa yawezekana tunafahamiana. Kwani kaunta leo yuko Agnes au Farida?Tuonane kikao kidogo makuti bar jioni hapo
Sheikh Rashid = Gwajima.... Au ulikuwa hujui mkuu?Hahahah hapana sio WA huku
kijiwe cha jioni hapo dailyAisee we jamaa yawezekana tunafahamiana. Kwani kaunta leo yuko Agnes au Farida?
Dah... Tuchekiane basi. Mi ndo kiota changu. Hapa barazani nakaa huku nahesabu magari yanayopita Bagamoyo Road...kijiwe cha jioni hapo daily
Wamrejeshe aliyekuwa wa CDM walau kilisomeka!JPM alipokufa kila kitu kilikufa, japo katika hilo eneo walilopewa imejengwa shule bora na ya kisasa ya watoto wa kike ya sekondari. Nadhani mwakani itaanza kusaili watoto. Bado eneo ni kubwa, linahitaji uwekezaji mkubwa tu.
Kuhusu barabara, jimbo la Kibamba sidhani kama lina barabara za lami mkuu, ukiacha chache sana zilizojengwa kipindi Magu akiwepo.
Licha ya kuandika na kuwakumbusha CCM bado wameendelea kukaza fuvu..nimeambiwa barabara bado haijajengwa mpk sasa ,CCM mnapango gani na barabara ya mabwepande.Mbona barabara nzuri sana. Haujaona barabara za wenzio wewe!!!
CCM wametufikisha kubaya...kwel barabara hii ya kuiacha miaka yote hii.Wamrejeshe aliyekuwa wa CDM walau kilisomeka!
Mnyika au Boniface.
CCM walipita andiki hili kama wanaaga maiti....hawajafanya chochote.Dah... Tuchekiane basi. Mi ndo kiota changu. Hapa barazani nakaa huku nahesabu magari yanayopita Bagamoyo Road...
Mpaka sasa CCM hawajafanya kitu .Kada Mkongwe wa CCM na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ( MNF ) Mzee Butiku si anaishi huko huko ( Nyumba za TBA ) kwanini hawaitengenezi au hata Yeye Mwenyewe kuomba itengenezwe?
Inashangaza sana na Kufikirisha mno.