KERO Barabara ya Mbagala hadi Kongowe ni nyembamba, ina mashimo na inasababisha foleni mara nyingi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hayupo atakae kusikiliza my be miaka 20 ijayo....

Unajua barabara hiyo baadae itakua crusual Sana hata Sasa Ila haitabiriki..
 
Mhindi ananipa nauli ya laki na thelathini kwena kazini na kurudi nyimbani mwanambaya mkuranga yote inaisha kutoka na foleni za kipuuzi wakati mwingine inanilazimu kupanda pikipiki kutoka nyumbani hadi kazini maeneo ya sokoka
 
Hahaha kazi za wakandarasi wa ndani hizo. Waliishalipana wana kula raha tu huko waliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…