Yani nikipewa madaraka nitakuwa Magufuli x 10 yake sicheki na boya. Kazi tu!Madini,gesi,utalii kwa viongozi waelevu vinatosha kabisa kuendeshea nchi ila hawa wala keki wa taifa kikubwa wanachofikiria ni kumkwamua mlalahoi ili waendeshe nchi!
Na kwa kuongeza tu hatuitaji wapuuzi wanaoitwa askari kwenye barabara ambayo tunailipia tozo.Tuko razi kulipia Toll kama tunatumia huduma tutalipa Tozo sio hizi Tozo za Mwigulu ambazo ni za zulma tu.
Umenikumbusha ya mtoto wa mkulima pale mjengoni aliposema kuwa mikataba hii ya kimataifa inaandikwa kwa kimalikia kigumu saana kuelewa.Hii misamiati ndiyo hutumika kutupiga
AiseeAliyejenga njia 8 Ubungo - Kibaha yeye hakuona umuhimu wa tozo au nyie ndio mnaijua sana hela?
Hivi madelu zaidi ya kujua vyema jinsi ya kuvaa tai na kikoi Chenye rangi ya bendera ya taifa, kuna kitu kweli kichwani? π πTuko razi kulipia Toll kama tunatumia huduma tutalipa Tozo sio hizi Tozo za Mwigulu ambazo ni za zulma tu.
Amesoma lakini hajaelewa.Hivi madelu zaidi ya kujua vyema jinsi ya kuvaa tai na kikoi Chenye rangi ya bendera ya taifa, kuna kitu kweli kichwani? π π
Napinga kwa nguvu zote huu utaahira, tozo tunazokatwa zitumike kujenga hiyo barabara, kufanya hivi ni sawa na kuiuza nchi vipandevipande na kutuuza wanachi utumwaniNaibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Godfrey Kasekenya amesema TANROADS imetangaza zabuni ya ujenzi wa barabara ya njia 4 kutoka Kibaha hadi Morogoro ambayo itajengwa kwa utaratibu wa Engineering, Procurement, Construct and Finance (EPC + F).
Kasekenya alisema gharama za ujenzi wake zitatolewa na Serikali au na Sekta Binafsi (PPP) kwa utaratibu wa Jenga, Endesha, Rudisha (BOT).
Na hivyo Sekta Binafsi itajenga barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 205 kwa fedha zake na kuiendesha hadi pale itakaporejesha fedha hizo kupitia Tozo za Magari.
=====================
SERIKALI kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imetangaza zabuni ya ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka Kibaha β Mlandizi β Chalinze β Morogoro yenye urefu wa kilometa 205.
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Godfrey Kasekenya alilieleza bunge jijini Dodoma Jumanne wakati akijibu swali la Mbunge wa Kibaha Mjini, Sylevester Koka (CCM).
Mbunge Koka alitaka kujua serikali ina mpango gani wa kuijenga kwa kiwango cha lami njia nane barabara ya Dar es Salaam hadi Morogoro.
βBarabara hiyo itajengwa kwa utaratibu wa Engineering, Procurement, Construct and Finance (EPC + F),β alisema.
Alisema gharama za ujenzi wake zitatolewa na serikali au na sekta binafsi (PPP) kwa utaratibu wa jenga, endesha, rudisha (BoT).
Katika utaratibu huo, sekta binafsi itajenga barabara hii kwa fedha zake na kuiendesha hadi pale itakaporejesha fedha zake kupitia tozo za magari.
Katika swali la nyongeza, Mbunge Koka alitaka kujua barabara ya Tamko- Mapinga imekuwa ikisuasua kwa muda mrefu na wananchi wa kata za Tangani na Pangani waliopisha ujenzi wa barabara hiyo lini watalipwa fidia.
Pia aliuliza: βBarabara ya zamani ya Dar es Salaam βMorogoro katika eneo la Picha ya Ndege-Mlandizi, imekuwa msaada mkubwa kunapotokea changamoto katika barabara kuu ya ajali magari hupita katika barabara hiyo, je, serikali ipo tayari kurekebisha barabara hiyo ili kuendelea kutumika wakati barabara kuu inapokuwa na changamoto?β
Kasekenya alijibu kwamba ni kweli barabara ya Tamko-Mapinga inasuasua na baadhi ya watu hawakulipwa fidia. Alisema serikali inalifahamu hilo na inalifanyia kazi ili kuhakikisha wananchi wanalipwa na ujenzi wake unakamilika kwa wakati.
Kuhusu barabara ya zamani ya Picha ya Ndege-Mlandizi kufanyiwa maboresho, alisema analichukua hilo kama wizara atazungumza na Tanroads ili kuangalia namna gani wanaweza kuboresha ili kuendelea kuwa msaada wa kukwamua msongamano unapotokea katika barabara kuu.
Chanzo: HABARI LEO
Yule mwamba hata sielewi kama zimo au debe tupuHivi madelu zaidi ya kujua vyema jinsi ya kuvaa tai na kikoi Chenye rangi ya bendera ya taifa, kuna kitu kweli kichwani? π π
Kwa mtanzamo wangu naona Sawa Tu kwasababu serikali hawataingiza pesa zao kwenye mradi kitakachofanyika ni kutangaza tender na atakayeshinda atatengeneza barabara na ikikamilika ataanza kutoza pesa ili hela yake irudi(shida itakuja Kwa huyu mzabuni anaweza kupiga pesa Kwa miaka mingi huku akitoza hela nyingi Kwa gari moja)..Aliyejenga njia 8 Ubungo - Kibaha yeye hakuona umuhimu wa tozo au nyie ndio mnaijua sana hela?
Tuko razi kulipia Toll kama tunatumia huduma tutalipa Tozo sio hizi Tozo za Mwigulu ambazo ni za zulma tu.
Hii ni kama style ya wenye nyumba kariakoo yaani unaingia mkataba na mwenye mpunga Kwa miaka 30 anabadilisha nyumba yako na kuwa ghorofa la biashara na baada ya miaka 30 mjengo unarudi kwako...Napinga kwa nguvu zote huu utaahira, tozo tunazokatwa zitumike kujenga hiyo barabara, kufanya hivi ni sawa na kuiuza nchi vipandevipande na kutuuza wanachi utumwani
Wewe uko kwa machawa au[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji19]hahahaha Sukuma gang chaliii wanaendelea kuisoma namba! Mama anafungua nchi!
Limbukeni, mchunga ng'ombe,poripori.sasa tu niwambie watu wa bush huwa Ni watu wa kazi na hawana shobo na kuwapandishia watanzania gharama za maisha Kama za umeme ama kusaini software kwa 69bilioni yaani kufuatilia umeme ulipokatika nchini.Si mlisema kwamba jamaa ni mshamba π mara ooh dikteta. Yule mzee alazwe pema peponi mazuri yake ni mengi kuliko udhaifu wa kibinadamu aliokuwa anasimangwa nao.
ππ€£πUmenikumbusha ya mtoto wa mkulima pale mjengoni aliposema kuwa mikataba hii ya kimataifa inaandikwa kwa kimalikia kigumu saana kuelewa.