Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

Swali muhimu la kujiuliza ni kwamba habari kama hii kipindi cha Mwendazake ingeandikwa? Huyo Mkurugenzi angeongea kama alivyoongea?? Angepewa majina yafuatayo; Mpinga maendeleo, anatumiwa na mabeberu, siyo mzalendo, kama ana PhD angeambiwa ana PhD fake, Polepole angeitisha press na kumtishia vibaya mnoo, then Magufuli angemwita majina yote machafu kwenye hotuba zake!! Baada ya hapo Uhamiaji na TRA wangemwandama, may be na watu wasiojulikana wangemtembelea pia, then wangemfuta kazi!! Baada ya miezi 6 tungesikia anapanda kizimbani kwa kesi ya uhujumu uchumi!! Miaka 5 ya jamaa yako tulikosa habari za namna hii za kuikosoa serikali, ni jambo jema sababu unaweza kuta kuna lijinga tu huko serikalini limekalia hela hata uongozi wa juu wa nchi haujui!! Tunategemea immediate measures from uongozi wa juu, ikiwezekana walitolee ufafanuzi pia. Heko waandishi...
 
Miundombinu ya usafri alikuwa anaiweza magufuli tu! Hii wizara ni ngumu sana
Ujenzi ujenzi ujenzi unahitaji akili kubwa tena akili ya kutenda sio siasa
Alikuwa anaiweza bila pesa?wakati ndio wizara iliyokuwa inapewa pesa zote nizazopitishwa na bunge?kwenye wizara ya ardhi , na uvuvi alifanya nini kikubwa sana, kwani kule pesa hakuwa anapewa kama wizara ya ujenzi!!unafikiria kama angepewa wizara ya elimu kuna kitu angefanya?tatizo wizara inapewa 30℅ya fedha iliyoomba hapo utegemee miujiza ipi?ilikuwa wizara ya kimkakati pesa yote alikuwa anapewa.
 
Hela si ulikuwa wewe na mwenda zake? Mmeiacha nchi mfilisi na mikopo kibao mcliochukua huku nusu yake ikiishia mifukoni mwenu
Mwanamume siku zote ndio mwenye nguvu ya kutafuta kwa jasho na damu, kwa ngumi na teke
 
Gaidi na Lisu wameongea sana licha ya kwamba hakuna mradi ulioshindwa enzi hizo
 
Rais Samia amesema hataki ujambazi wa kuwanyang'anya pesa watu kama alivyokuwa anafanya marehemu.
Ndipo umeulizwa pesa zimekwenda wapi, mbona unang'atang'ata maneno?.
 
Utanyooka tu na roho yako ya korosho
 
Rais Samia amesema hataki ujambazi wa kuwanyang'anya pesa watu kama alivyokuwa anafanya marehemu.
Huwezi kuendelea bila mapambano ya jasho na damu
Ulaya wameendelea kwa kuwakamua waafrika
Waafrika tukamuane wenyewe, hata Samia alisema hivyohivyo

My take: Ukamuaji ni kwa matajiri sio wanyonge!
 
Bara bara imeshaamalizika mbona yaan magu alifikisha 96% hiyo asilimia 4 anashindwa kumalizia mamaa Aache uvivu
 
Hivi palikuwa na ulazima gani wa kuifungua na kuanza kuitumia hiyo stendi kabla haijakamiliaka?
 
Miundombinu ya usafri alikuwa anaiweza magufuli tu! Hii wizara ni ngumu sana
Ujenzi ujenzi ujenzi unahitaji akili kubwa tena akili ya kutenda sio siasa
Mkuu, kwako wewe Magufuli alikuwa na uwezo wa kipekee? Ulimfahamu lakini? Au kwa kumsikiliza tu?
 
Na wewe ni wale wakudandia magari kwa nyuma achana na siasa focus on your life.
Narudia si kila unachosikia ni kweli
 


Kwani Lissu hana uhuru wa kujisemea mwenyewe
 
Kwa hoyo yeye hela alikuwa anatoa wapi?
 
Gaidi na Lisu wameongea sana licha ya kwamba hakuna mradi ulioshindwa enzi hizo
Acha ujinga wewe jamaa, SGR to Morogoro si ilikuwa ikamilike 2019? Hadi leo nini kimekwamisha? Hiyo barabara nayo ilikuwa ikamilike mwaka huu mwanzoni lakini hamna kitu!! Airport Msalato jamaa yako alikuwa anapiga sound tu, kila siku anasema tumeshatangaza tenda, mother kaingia ameshatoa hela mradi unaanza!! Mwendokasi phase 2 na 3 hadi leo haieleweki, juzi tu wafanyakazi wamegoma hawajalipwa since 2020!! Mabus ya mwendokasi yenyewe alishindwa kununua, mother kaingia tu kaingiza mabus 70 barabarani!! Propaganda zenu za kijinga zimeshashtukiwa!! Lissu na mbowe kama registered opposition lazima waongee, ndiyo ajira yao hiyo, walishajichagulia siasa ndiyo njia yao ya kuishi, hivyo wataongea tu, tena sanaaa, na hamna wa kuwazuia...
 
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
Uandishi wa kishabiki mno hata mahali pasipokuwa na lazima ya kuweka ushabiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…