Una roho ya korosho zaidi ya shetani,alipoenziwa UN kwa miundombinu aliyotandaza nchini,itakuwa ilikuuma Sana.Tatizo la mwenda zake hakuwa na vipaumbele
Anarukia rukia tu mambo
Mara SGR,Mara ndege,Mara Barabara,Mara bwawa
Kote huko kuna cost hela ndefu sana
Alikuwa anatafuta misifa tu.
Kwanza hio Barbara ya morogoro road kawavunjia masikini wengine Sana nyumba zao bila fidia maana Barbara imewakuta hapo.
Kafa hajaona hata mmoja ukikamilika
Hela zenyewe za dhuruma na kupora watu
Roho mbaya haijengi
Ni kweli kabisa!! Japo sasa ndio inatoka taarifa ya kukwama kwa ujenzi huo ukweli ni kwamba tangu aondoke JPM duniani, ujenzi wa barabara ulisimama. Kitu pekee kilichoendelea baada ya mzee kuondoka ni ujenzi wa daraja la juu la waenda kwa miguu pale mbezi karibu na stendi. Kambi kuu ya ujenzi iliyopo pale gogoni unayoiona kwenye post #1 ni kama ilishafungwa maana husikii mashine zikifanya kazi. Wakati wa magufuli mitambo ilikuwa inafanya kazi hapo usiku na mchana!!Miundombinu ya usafri alikuwa anaiweza magufuli tu! Hii wizara ni ngumu sana
Ujenzi ujenzi ujenzi unahitaji akili kubwa tena akili ya kutenda sio siasa
Badala yake imeletwa Tozo ya miamala na mafuta shell, tulipeni tu ujenzi ukamilike.Huwezi kujenga barabara kwa kutegemea kupora pesa za watu kwa kuwabambika uhujumu uchumi Ili wanunue haki zao
Sasa mkuu njia tatu mpaka Dodoma,wakati wao wanakwepa au kupunguza foleni.Hii nchi ina mipango mingi ya Abunuasi, na inatakiwa iwepo sheria sasa ya kuwashughulia wahusika wa mipango ya kiabunuasi. Hivi ni kwa uchumi upi tulio nao wa kujenga barabara 8? Nani hasa alileta hili wazo? Kwa nini tusingejenga barabara 4 tuu (mbili za kwenda na mbili za kurudi? Au hata barabara yenye njia tatu ambayo ingeweza kufika hata mpaka Dodoma?? Tuache hizi ngonjera za kuiga kunya kwa Tembo jamani tutapasuka msamba bureee...
Tulikuwa tunasema kuwa dawa ya deni ni kulipa.Chadema hata ndege zikikamatwa wanashangilia ,hayo majitu yana laana
Yaani wafuasi wa polepole , bado hamjaamini kama mwendazake sasa hayupo daaa, masikini!mimi toka mwazoni siko naye sasa nitanyooka vipi?wakunyooka ni nyie ambao mlikuwa paradiso, sasa mko jehanamu.Utanyooka tu na roho yako ya korosho
Itakuwa Estim wamezinguliwa,shida yule bibi ni mnafiki sana 😂😂😂Kila nikipita hapo nasikitika aisee.
Moyo wangu unaniambia haitaisha hiyo barabara ndani ya muda ama ndio inaweza kuwa imetoka kweli?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Umenena ukweli mtupuNi kweli kabisa!! Japo sasa ndio inatoka taarifa ya kukwama kwa ujenzi huo ukweli ni kwamba tangu aondoke JPM duniani, ujenzi wa barabara ulisimama. Kitu pekee kilichoendelea baada ya mzee kuondoka ni ujenzi wa daraja la juu la waenda kwa miguu pale mbezi karibu na stendi. Kambi kuu ya ujenzi iliyopo pale gogoni unayoiona kwenye post #1 ni kama ilishafungwa maana husikii mashine zikifanya kazi. Wakati wa magufuli mitambo ilikuwa inafanya kazi hapo usiku na mchana!!
Sasa hii mitambo hapo inatafunwa na kutu!! Jibu ni kuwa kodi haikusanywi sasa hivi kama inavyotakiwa!! Wafanyabiashara wanamchukulia mama Poa sana!! Asitegemee kuwa watalipa kodi kwa hiari!! Hiyo elimu, huo ufahamu, huo uzalendo na huo moyo hawana na hawawezi kuwa nao!! Hao ni wa kuwatoza kodi kwa lazima na kwa kuwatoza faini kubwa sana wakikwepa kodi ili waone kukwepa kodi hakulipi bali kunagharimu! Ndivyo alivyofanya JPM!!
Kinyume cha hapo hakuna alipaye kodi kwa fahari ya uzalendo!!
Tuwekeze elimu ya kodi kwa watoto kuanzia shule za msingi darasa la kwanza !
Hela kidogo tulizonazo mabeberu wanatupora kwa nguvu kupitia corona!!
Miundombinu ya usafri alikuwa anaiweza magufuli tu! Hii wizara ni ngumu sana
Ujenzi ujenzi ujenzi unahitaji akili kubwa tena akili ya kutenda sio siasa
Ndipo umeulizwa pesa zimekwenda wapi, mbona unang'atang'ata maneno?.
Kwahii Msigwa anapingana na Mtendaji Mkuu? Huu ni upuuziBarabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.
Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.
My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
========
Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.
Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).
“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.
Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.
“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.
Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.
Stendi ya Magufuli
Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.
Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.
“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.
Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.
“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.
Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.
“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.
John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.
Chanzo: Mwananchi
==========
Update:
Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.
CHADEMA na Lisu walikuchukulia mke?Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.
Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.
My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
========
Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.
Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).
“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.
Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.
“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.
Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.
Stendi ya Magufuli
Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.
Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.
“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.
Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.
“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.
Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.
“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.
John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.
Chanzo: Mwananchi
==========
Update:
Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.
Kandarasi haonekani siteSIO KWELI!!!
Mradi wa ujenzi wa barabara ya njia nane ya Kimara - Kibaha yenye urefu wa kilometa 19.2 haujakwama kama ilivyochapishwa mtandaoni na kampuni ya habari ya Mwananchi.
UKWELI NI KWAMBA
1. Ujenzi wa mradi huu unakwenda vizuri na umefikia asilimia 94.
2. Malipo kwa makandarasi yanafanyika vizuri na ameshalipwa kwa zaidi ya asilimia 90 (takribani shilingi Bilioni 161)
3. Kwa sasa kinachofanyika ni kukamilisha asilimia chache zilizobaki pamoja kuongeza mahitaji mengine ambayo hayakuwepo kwenye mkataba.
4. Mapipa, uzi na kingo ambazo bado zipo barabarani ni kwa sababu za kiusalama kwa watumiaji wa barabara. Haina maana ujenzi umekwama.
PUUZENI UPOTOSHAJI HUO!View attachment 1959463
mdogo mdogo, mara utasikia reli ya SGR inaishia ngerengere na bwawa la umeme linakuwa bwawa la samaki sangara.
Tanzania ina wanasiasa wabaya sana kuwahi kutokea hapa duniani; yaani serikali mnataarifiwa uhalisia halafu mnakanusha wakati watu wanaona kwa macho hakuna kinachoendelea Tangu mwezi April 2021?Barabara iliyokuwa inajengwa kwa kasi ya njia nane kutoka Dar hadi Kibaha imekwama kumalizika ujenzi wake kutokana na ukosefu wa fedha,Tanroads wamebainisha.
Waziri wa ujenzi prof Mbarawa alipotafutwa kutolea ufafanuzi madai hayo, simu yake iliita bila kupokelewa.
My take.
Chadema meno yote nje kwa furaha kwa sababu hii ndiyo njia pekee ya Lisu kumkomoa hayati Magufuli. Yani miradi ya watanzania ishindwe kukamilika ili wawe na maisha magumu.
========
Dar es Salaam. Licha ya umuhimu wake kwa uchumi wa Jiji la Dar es Salaam, mikoa jirani na Taifa kwa ujumla, Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala Barabara (Tanroads), Rogatus Mativila amesema wanashindwa kumalizia kujenga kipande cha kutoka Kimara hadi Kibaha na barabara za kuiunganisha barabara hiyo ya Morogoro na Kituo cha Mabasi cha Magufuli kutokana na ukosefu wa fedha.
“Kimsingi bado ujenzi unaendelea na hatuwezi kutoa mapipa yaliyopo kwenye Barabara ya Morogoro haraka, kwani itapunguza usalama hivyo kuongezeka ajali,” alisema Mativila.
Alisema wameomba fedha ili kukamilisha sehemu hizo na kuondoa baadhi ya changamoto ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Katika barabara hiyo inayoendelea kujengwa ikiwa na njia nne za kwenda na nne za kurudi, Tanroads wameweka zaidi ya mapipa 4,280 na kingo 274 za zege kutenganisha mpaka na sehemu ya katikati ambayo ni kwa ajili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT).
“Tumeomba fedha za nyongeza serikalini ili kutengeneza kwa lami kipande cha barabara kutoka stendi na barabara kuu ili kuondoa changamoto ya matope pindi mvua inaponyesha,” alisema Mativila.
Mkurugenzi huyo aliongeza kuwa fedha nyingine zitatumika kujenga mawe ya pembeni mwa Barabara ya Morogoro ili kutengeneza mipaka ya barabara hiyo na eneo linaloachwa kwa matumizi mengine.
“Kwa sasa gapestone (kingo) tulizoweka katikati hatuwezi kutoa, kwani tukifanya hivyo tunaweza kusababisha ajali nyingi, kwani madereva wengi wataendesha magari kwa kasi kutokana na uwazi kuwa mkubwa,” alisema.
Alipotafutwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kujua kiasi cha fedha zilizoombwa na Tanroads, simu yake iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa lakini baada ya kutumiwa ujumbe mfupi wa maneno, alijibu: “Mimi ndiyo ninafanya mambo mengi. Tutaiweka kwenye utaratibu ili iende vizuri”.
Stendi ya Magufuli
Kwa upande mwingine, uongozi wa Manispaa ya Ubungo umetoa ufafanuzi kuwa changamoto zinazokwamisha kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya maeneo ya Stendi ya Magufuli iliyopo Mbezi Luis ni kutotolewa kwa fedha zinazohitajika kwa wakati.
Ujenzi wa stendi hiyo kwa ajili ya mabasi yaendayo mikoani ulioanza Februari 2019 bado haujakamilika kwa asilimia 100, jambo linalosababisha usumbufu kwa magari yanayosimama wakati wa kupakia na kushusha hasa usiku na asubuhi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhandisi wa Manispaa ya Ubungo, Masodoya John ambaye ni msimamizi wa mradi wa ujenzi wa stendi hiyo inayojengwa na kampuni ya Hainan ya China, alisema wanategemea mapato ya ndani kuendeleza ujenzi huo.
“Nikiri malipo huwa yanachelewa lakini sio kwa muda mrefu sana kiasi cha kuathiri utendajikazi kwa sababu ndani ya siku 18 mkandarasi anatakiwa awe ameshalipwa. Kukiwa na mapungufu kwenye kuwasilisha nyaraka ikaonekana kuna sehemu inatakiwa ufafanuzi kwa mwajiri ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa manispaa, fedha zinachelewa kutoka,” alisema.
Mtaalamu huyo wa ujenzi alifafanua: “Unaweza kukuta hazijaja tarehe 10 kwa sababu ya mapungufu katika kuandaa nyaraka za malipo.” John alibainisha changamoto nyingine zinazochelewesha kukamilika kwa ujenzi wa mradi huo kuwa ni kufanya usanifu wa mara kwa mara.
“Kitendo cha magari kulala eneo lile kunaweka ugumu. Kuna wakati tunalazimika kuruhusu magari kutoka na kuingia na changamoto hiyo inamlazimu mkandarasi kusimamisha ujenzi wakati mwingine. Hili linasababishwa na kulitumia eneo kabla ya ujenzi haujaisha,” alisema John.
Mhandisi huyo alisema mkandarasi wa mradi huo anajitahidi kutekeleza kila hatua kulingana na mkataba unavyotaka ambao unadumu hadi Desemba mwaka huu atakapomaliza ujenzi na kukabidhi mradi.
“Mategemeo yetu Desemba tunakabidhiwa mradi wetu ukiwa tayari ili tuanze kulitumia eneo kulingana na malengo yaliyokusudiwa,” alisema John, anayeamini baada ya kukamilika kwa ujenzi huo changamoto hizo zitaisha kwa asilimia kubwa, kwa sasa sehemu iliyokamilika yanasimama mabasi 104. Stendi hiyo ina sehemu ya kuegesha mabasi 204 kwa wakati mmoja, hivyo kukamilika kwake kutawanufaisha wananchi wanaoelekea maeneo tofauti kupitia Barabara ya Morogoro.
John alisema ujenzi wa stendi hiyo yenye thamani ya Sh50.9 bilioni bado unaendelea na kwa sasa mkandarasi anajenga daraja sehemu ambako mabasi yanaingilia.
Chanzo: Mwananchi
==========
Update:
Ukurasa wa Instagram wa Gerson msigwa ameandika kuwa taarifa hii si ya kweli na amewataka wananchi kupuuzia upotoshaji huo.
Hao wanaongea tu huku makalio yanatoa pumziAlikunyang'anya shs ngapi?