Hapo lawama ni Halimashauri maana wale takataka wanachojua ni kukusanya mapato tu ila sio kutunza na kurekebisha miundombinu muhimu kama barabara aisee.Katika vitu nilikua nawaza ni hawa watu. Hivi diwani wa kata hii na mbunge wanaona hii adha kweli???
Barabara za Upanga ni wanajitahidi kufukia vifusi na Mvua hii Magari yanavifukua tena, sio HUKO tu kwenye barabara mbovubarabara yenu haijaliwi
Hivi boss wa Halmashauri cheo chake wanamuitaje DEAD?Hapo lawama ni Halimashauri
Yeah nadhani ni DED. Ngoja nicheki. Maana hii inchi vyeo ni vingi hata havieleweki nani ni yupi anafanya nini na kwasababu gani na kwa kujibu kwa nani.Hivi boss wa Halmashauri cheo chake wanamuitaje DEAD?
DED au DEAD?Yeah nadhani ni DED
DEDDED au DEAD?
Mimi ninakoishi ikinyesha Tu mvua huwa napaki Shelli..gari ya chini ni changamoto sanaHuu mji ukiwa na gari ya chini ni stress tupu!
Ndo zilivyoKuita salamu za kipumbavu sio sawa kabisa. Unakosea mkuu!
Ni shida ya muda mrefu isiyo na ufumbuzuKipande cha kuanzia pale darajani ukishuka mteremko ule wa tabata madukani, halafu chama, halafu kule shiba sijui hadi kufika pale mawenzjli, dah aiseee ni majanga matupu mzee. Barabara ni mbovu mbovu mbovu kupita maelezo na sijui shida huwa ni nini kwenye kile kipande.