Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makubwa haya! Leo umesifia juhudi za serikali........
Dah hivi ni wewe kweli au?? Hongera angalau umeapprishietiii!!Huu mji ni moja ya vitu vya kuvutia sana hapa Dodoma. Japo haujakamilika, ila kukamilika kwa mtandao wa barabara tu, teyari kunafanya huu mji upendeze na utapendeza zaidi pale majengo ya magorofa yatapokamilika na mazingira kuboreshwa(kupanda miti, n.k)
Leo nimepita katika huu mji na kukuta teyari taa za barabarani zimefungwa na teyari zinafanya kazi. Hakika kunavutia japo magari bado ni machache.
Ukiacha kukosa utu na makandokando mengine, mji juu ni urithi mzuri aliotuachia Mwendazake na tumshukuru Mama kwa kuendeleza.
Mji huu nimeupenda sana na ninapanga kununua kiwanja na kujenga maeneo ya jirani na huu mji.
Hongera kwa wote waliohusika katika ku- design huu mji ambao ukikakamilka kama ulivyopangwa, basi eneo hili litakuwa kivutia kizuri kwa watanzania na wageni.
A very nice city!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiwa uko mlimani kule udom ukiangalia chini unaona mji mzima kama dampo la taka.
Huu uongo unakusaidia nini?Kasi ya ujenzi wa huo mji imepungua sana.Kuna magorofa zaidi ya 50 ambayo ni ofisi za mawizara,ajabu ni kwamba mengi yametelekezwa bila kuisha,yale yanayoendele kujengwa unakuta mafundi ni wachache sana,gorofa linajengwa na mafundi watano peke yake,.
Wanajitoaga ufahamu tuu hao..Hata Ruto keshawageuka Ma Hustler huko baada ya kuona reality.Makubwa haya! Leo umesifia juhudi za serikali........
Wamapotumia Kodi zetu vizuri kwanini tusiwapongeze?Makubwa haya! Leo umesifia juhudi za serikali........
Bwashe una utani na Ndugai?😂Watakaa wagogo huko maghorofani siku za usoni
Bwashee huo mji hauna majiBwashe una utani na Ndugai?😂
Mbona ipo? Kupitia kule Msalato mbele kwa mbele unatobia Chamwino. Ujenzi unaendelea.Wamapotumia Kodi zetu vizuri kwanini tusiwapongeze?
Kwetu sisi Madereva wa safari ndefu imekosekana Dom Bypass itakayokuwa inatufanya tusiingi Mjini kati.
Tatizo kubwa ni hilo.Bwashee huo mji hauna maji
Itakuwa safi sana ili tuepuke hiyo misafara ya viongozi isiyoisha.Mbona ipo? Kupitia kule Msalato mbele kwa mbele unatobia Chamwino. Ujenzi unaendelea.
Kweni ukila Viwavi jeshi vinaleta kiu.Bwashee huo mji hauna maji
Teyari nimeshaanza mchakato wa kukilipia, na leo nilikwenda huko na ndio nikakuta haya mabadiliko/maendeleo.Nicheki kama unataka kiwanja uko
Una reasoning ndogo sana, hivi mkoloni hakujenga reli, bandari, na airport? Ila mbona tulitaka aondoke haraka??Umefanya vizuri kuona mazuri ya chuma mwamba kabisa jemedari kamanda Jeshi jiwe immortal Magufuli.
Hapa sasa tupo pamoja, wewe ni tofauti sana na wale wajinga wengine wa ufipa. Wewe una akili sana na una elimu nzuri sana, una IQ kubwa sana
Salary slip ni member bora kabisa wa jamii forums kwa miaka ya karibuni. Keep it up