tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,196
[emoji23] nasema hivi ni mjaluo...bwanangu Msukuma hana mambo ka hayo.
[emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Mkuu tutafikishana mbele ya sheria ujue, yule dogo ni ngosha[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo dogo sio msukuma ni mjaruo kazaliwa Mwanza tuWasukuma katika ubora wao
na lollipop aliyeandika siweziSimpendagi huyu mtoto na mashauzi yake yakise........
Kama aliweza kumtolea Shit Kidway to the D,aliyemtoa ushamba na kumuingiza kwenye ulimwengu wa sanaa,basi hawezi kumuheshimu mtu yeyote,bado anau-Jaluo mwingi sana..
Uimbaji wake wenyewe kila siku Tune ni ileile,habadiliki,nyimbo mpya imebuma anatafuta wa kumfia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
Kumbe Lollipop ndiye aliandika ile nyimbo?!baraka mshamba saanaana lollipop aliyeandika siwezi
mshikaji hanaga makuu baraka aliulizwa akakataa! angalia mashairi yake yalivyo na ujazo alafu linganisha na hii nisamehe! utagundua tuKumbe Lollipop ndiye aliandika ile nyimbo?!baraka mshamba saanaa
jamaa ni songwriter mzuri nyingine ya benpol moyo mashineKumbe Lollipop ndiye aliandika ile nyimbo?!baraka mshamba saanaa
Hahahahaaa...ustaa mgumu,jamaa ana take things too personalKila nikipita mitandaon nakutana na
Baraka kamtukana LINEX
Baraka kamtukana BLUE
Baraka kamtukana Stani bakora
Baraka kamtukana msami
Si mkachape Fimbo? Kila siku kanatukana mnakaangalia tuuuuu why?
jamaa ni songwriter mzuri nyingine ya benpol moyo mashine
Nimeona nyingne NOW kamtukana NEY Wa mitego [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahahaaa...ustaa mgumu,jamaa ana take things too personal
ndo huyo huyo anaitwa lollipop hilo analitumia kwenye nyimbo zake za gospelMoyo mashine imeandikwa na Goodluck Gosbert
Embu zieshimu shule zetu wewe ndo tumesoma uko na tumepiga one zetu uko uko kama yeye ni kilaza ni yeyeTatizo kimesoma shule za kata ambazo wamezoea kupata zero sasa kikawa kiceleb ghafla ghafla kimekuwa chehu mara hii
Mweee ahsante sikujuaga hilondo huyo huyo anaitwa lollipop hilo analitumia kwenye nyimbo zake za gospel
Daah!jamaa ni muandishi mzuri sanajamaa ni songwriter mzuri nyingine ya benpol moyo mashine