Baraka da prince amtukana Msami

Baraka da prince amtukana Msami

Hahahaaa ya Ney wa mitego sijaiona...dah,wamuache tu jamaa wa watu sasa..
Nimeiona mkuu ni kutokana na issue ya Stani Bakora [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mie huwa nnamsupport Lakini nimekuja kugundua Kuwa baraka Hana akili hata Kidogo, anapanic, hauwezi ucelebrity,kila kitu anajibu,kila scandal atukana tena mtandaoni, ajiona ni mwanamuziki kweli, asipoangalia atapotea kimziki Mapema Sana,, mtu gani asiyejua utani?? Mpaka nikahisi huenda ana tatizo maana siyo kwa kujibizana kishamba Huku,anaboa inshort
NI MSHAMBA BADO

OVA
 
Lishamba hili dogo linalopokaga tu
Pale tu alipokuwa anahojiwa EATV kuhusu nyumba yake halafu yeye macho kodo kwa yule mpenzi wake huku akimshika shika

Nikaamini kweli binti mweupe kwa msukuma ni zaidi ya dhahabu.

Dogo ana kaushamba ka usukumani bado.
 
Mkuu tutafikishana mbele ya sheria ujue, yule dogo ni ngosha[emoji23][emoji23][emoji23]
Nasema hiviiii yule baraka ni mjaluo over na huu mjadala kuhusu kabila lake umefungwa rasmi

Nikiripoti kutoka maswa mkoa mpya wa simiyu ni mimi NGOSHA
 
Hili ni lisukuma, hakuna jaluo mshamba hivo
 
Mie huwa nnamsupport Lakini nimekuja kugundua Kuwa baraka Hana akili hata Kidogo, anapanic, hauwezi ucelebrity,kila kitu anajibu,kila scandal atukana tena mtandaoni, ajiona ni mwanamuziki kweli, asipoangalia atapotea kimziki Mapema Sana,, mtu gani asiyejua utani?? Mpaka nikahisi huenda ana tatizo maana siyo kwa kujibizana kishamba Huku,anaboa inshort
Ninapenda muziki wake ila anaonekana ana tatizo,pia hajiamini !!!
 
Tatizo naskia ana krismasi mbili tu mjini apa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu mnavyocomment humu akipita atatukana matusi yote yaliyopo kwenye kamusi ya kichwa chake
 
Mie huwa nnamsupport Lakini nimekuja kugundua Kuwa baraka Hana akili hata Kidogo, anapanic, hauwezi ucelebrity,kila kitu anajibu,kila scandal atukana tena mtandaoni, ajiona ni mwanamuziki kweli, asipoangalia atapotea kimziki Mapema Sana,, mtu gani asiyejua utani?? Mpaka nikahisi huenda ana tatizo maana siyo kwa kujibizana kishamba Huku,anaboa inshort
Baraka bado BOYA hata ukimuangalia tuu utakuwa umeelewa
 
Back
Top Bottom