Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Kumbe mnaota siku mje muingie BETMwambie huyu asije akashangaa mwakani Kiba akaingia BET kwa mapenz yanarun dunia, maana nyimbo za kiba ni hatar haziishi utamu.
Itungwe sheria na Bunge letu kuwa ni kosa kumfananisha DIAMOND PLATNUMZ NA vitu vya hovyo,ona tofauti hapa.
DIAMOND PLATNUMZ.
ANAYO STUDIO
ANAYO OFISI
ANAYO LEBO
ANAYO BENDI
ANAISHI KWAKE.
KIBA VYOTE HIVO HANA.
Kama hii nyimbo ndo jiwe la mwaka basi mziki wetu unashuka kwa kasiHaya hayaaaa
Wale wenye timu zao wakina timu Domo na timu Kibakuli naona mambo yanapamba moto. Tarehe 13/9/2016 new hit song la Baraka ft Alikiba linaachiwa rasmi.
Amini usiamini hili ni tetemeko lingine litatokea maana ni boooonge la nyimbo, halafu lina booonge la video. Utamu zaidi Kibakuli humo ndani kapiga madongo kwa Domo, ngoja tusubiri tuone itakuaje maana Domo naye alituonjesha remix ya all the way up kukiwa na dongo kwa Kibakuli pia. Naona sasa bifu linaenda kuwa kubwa rasmiiiii
NB: Sina timu mieeee, mi nafaidi burudani tu maana nyimbo zote kwangu naona nzuriiii
View attachment 397986
Link hiyo hapoNEW HIT: BARAKA DA PRINCE FT ALLY KIBA - NISAMEHE INGIA HAPA KUISIKILIZA,, http://adonistunner.blogspot.com/2016/09/new-hit-baraka-da-prince-ft-ally-kiba.html
Dgo ashaanza kutudisha nyuma kimzikiNEW HIT: BARAKA DA PRINCE FT ALLY KIBA - NISAMEHE INGIA HAPA KUISIKILIZA,, http://adonistunner.blogspot.com/2016/09/new-hit-baraka-da-prince-ft-ally-kiba.html