Baraka da Prince ft Ali Kiba - Jiwe la mwaka

Baraka da Prince ft Ali Kiba - Jiwe la mwaka

Kwa jinsi unavyo hanya kwenye thread nyingi kuhusu huu wimbo sio bure nahisi Baraka kuna kitu mbaya kakufanyia maana hautulii kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] "Msamehe" tu.
Ndoujue kapuyanga AF m big fan of him ila apo kateleza
 
Baraka hii nyimbo yake mpya hajaandikiwa na mwandishi akokuwa akimuandikia nyuma kwani alishawahi kukataa kuwa aandikiwi kumbe anaandikiwa,,,,, sasa new song yake baati mbaya hajaandikiwa ndio kaleta janga ilo jipya..... Am big fan of baraka ila uwez compare siwezi nauu ujinga
anajalibu kuiga iga ila wapi af anadharau anasema hawa wakusema wameandika wanajitokeza tu
 
Nawaza kwa sauti hii nyimbo mpya sio nzuri labda kideo kitoke ila siwezi was best ever
 
Hii ngoma ni Kali.

Wote kwa pamoja wameimba kwenye temper ya juu, ni wasanii wachache wanaoweza hili.

Baraka kabadilika kiuimbaji tofauti na nyuma.

Ngoma naipa 9/10
 
Hii ngoma ni Kali.

Wote kwa pamoja wameimba kwenye temper ya juu, ni wasanii wachache wanaoweza hili.

Baraka kabadilika kiuimbaji tofauti na nyuma.

Ngoma naipa 9/10
Kweli kaimprove sana... Watu wa kuponda hawakosekani.. Angeendelea na stail ile ile bado wangeponda tu kwamba habadiriki!!
 
Ukimlinganisha Domoli Na alikiba unakosea... Alikiba Huwa anatoa single 1 tu Ila Domoli anatokwa povu anatoa album[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hapo Nani mkali
Vitu vingine kama hujui jinyamazie tu,ili ulinde hadhi yako.Ulichokisema tu inaonyesha ni jinsi gani usivyofuatilia mziki.
 
yani mimi naweza sema ngoma sio mbaya ila watu wameshazoea nyimbo zakuumizwa tu kutoka kwa baraka kingine huyo dogo anaandikiwaga nyimbo na goodluck jamaa anamelod za kuliza sana kwa hii ameandika ye baraka ndo uwezo wake
Duuu kumbe gozbet ndo alikua anamwandikia ila ki ukweli goodluck gozbet anamelody tamu na uandishi mzur sana
 

Kushindanisha nyimbo ya
BARAKA DE PRINCE(ameshirikisha AliKiba)
na ile ya
DIAMOND (ambayo kamshirikisha NE YO)

ni kumuonea sana BARAKA DE PRINCE au kumshushia heshima DIAMOND.

i wish diamond atoe nyimbo mpya siku sawa na atayotoa alikiba
 
Binafsi nampongeza dai kwa kazi nzuri ya kupeleka muziki wetu to the next level,ila naona kama graph yake inaanza kushuka coz nyimbo anazotoa ni "BIG G"
Collabo yake na p square haina hata miezi 3 ila ishajifia mbali...akae chini atazame the nxt thing to do kuboresha game yake
Kaka Ali yuko poa kwenye kuimba ila bado anahitaji kujiongeza kwenye ubora wa videos zake na jinsi ya kujibrand kama int'l artist!
All in all teams zisiaffect muziki wetu
We nid gud music to feed our souls!
Ivi we unatumia kipimo kipi kusema ngoma ya kidogo imejifia wakat mm mtaan kwetu kila Mara naisikia Mara bodaboda, bajaj, saloon, bar na mpk radio stations znaipig sana tu... Hay imejifia vp eb fafanua kidog
 
Back
Top Bottom