Baraka da Prince ft Ali Kiba - Jiwe la mwaka

Baraka da Prince ft Ali Kiba - Jiwe la mwaka

Tatizo
Hata tunzo ya msanii bora africa hajawahi kuwepo leo awekwe BET? Mtv ana category moja mwenzie tano bado watu wanacompare hawa watu kweli?

Tatizo mnajidanganya na tuzo zenu hizo za kununua tuzo za biashara, ambazo hata wizkid alishawah kuziponda, tuzo zisizozingatia waledi wa mziki ndiomana mkipata nafas kwenda BET mnapigwa chin kila siku, sijui kama aliwah kujiuliza hilo swali.

Mziki wa Alikiba ni mziki formal unaofuata principle s za mziki zinazotambulika dunian kote, ndiyo maana iTunes, mtn kote kiba anabreak the internet, Aje imekuwa no 1 kenya kwa kununuliwa iTunes kati ya Top 100 songs na kidogo ikwemo, Aje imekuwa no 2 iTunes oman, No 1 diezer, no 5 Spotify, no 1 mdundo kenya, no 1 mkito Tanzania, na sasa ni top 5 ya nyimbo zinazoongozwa kuuzwa MTN Nigeria, hata huko BET ndiyo wanachoangalia, wala sio promo na kiki pamoja na sarakasi za kipuuzi,

By the way, Kuhusu mtv bado hawatoa nominations ila habar mbaya kwako ji kwamba King kiba ataperfon siku hiyo na msanii wako pendwa kapigwa chini.
 
Tatizo


Tatizo mnajidanganya na tuzo zenu hizo za kununua tuzo za biashara, ambazo hata wizkid alishawah kuziponda, tuzo zisizozingatia waledi wa mziki ndiomana mkipata nafas kwenda BET mnapigwa chin kila siku, sijui kama aliwah kujiuliza hilo swali.

Mziki wa Alikiba ni mziki formal unaofuata principle s za mziki zinazotambulika dunian kote, ndiyo maana iTunes, mtn kote kiba anabreak the internet, Aje imekuwa no 1 kenya kwa kununuliwa iTunes kati ya Top 100 songs na kidogo ikwemo, Aje imekuwa no 2 iTunes oman, No 1 diezer, no 5 Spotify, no 1 mdundo kenya, no 1 mkito Tanzania, na sasa ni top 5 ya nyimbo zinazoongozwa kuuzwa MTN Nigeria, hata huko BET ndiyo wanachoangalia, wala sio promo na kiki pamoja na sarakasi za kipuuzi,

By the way, Kuhusu mtv bado hawatoa nominations ila habar mbaya kwako ji kwamba King kiba ataperfon siku hiyo na msanii wako pendwa kapigwa chini.
Kwahiyo unasema kiba ni mkali kuliko Mondi?Sasa tatizo ni nini?Huyu mbona analipwa hela nyingi za show kuliko kiba?Mbona anajaza watu kuliko kiba?Au watu hawajui mziki na wewe peke yako ndio unajua?
 
Tatizo


Tatizo mnajidanganya na tuzo zenu hizo za kununua tuzo za biashara, ambazo hata wizkid alishawah kuziponda, tuzo zisizozingatia waledi wa mziki ndiomana mkipata nafas kwenda BET mnapigwa chin kila siku, sijui kama aliwah kujiuliza hilo swali.

Mziki wa Alikiba ni mziki formal unaofuata principle s za mziki zinazotambulika dunian kote, ndiyo maana iTunes, mtn kote kiba anabreak the internet, Aje imekuwa no 1 kenya kwa kununuliwa iTunes kati ya Top 100 songs na kidogo ikwemo, Aje imekuwa no 2 iTunes oman, No 1 diezer, no 5 Spotify, no 1 mdundo kenya, no 1 mkito Tanzania, na sasa ni top 5 ya nyimbo zinazoongozwa kuuzwa MTN Nigeria, hata huko BET ndiyo wanachoangalia, wala sio promo na kiki pamoja na sarakasi za kipuuzi,

By the way, Kuhusu mtv bado hawatoa nominations ila habar mbaya kwako ji kwamba King kiba ataperfon siku hiyo na msanii wako pendwa kapigwa chini.
Wewe kweli hamnazo wizkid na yemi alade wamekuwa nominated bet mara 4 mfulizo tangu 2016 hadi 2016 na hakuna alieshinda hata mara 1, wewe unazungumzia diamond aliekuwa nominated mara 2 kwa kipindi hicho, sasa kama wizkid hajashinda hata mara 1 bet na yeye ajui mziki basi wakina drake na chriss brown watakuwa vichaa
Uwe unafuatia bet ujue huwa wanamuziki wa aina gani wanachukua ndo utaelewa vizuri
 
Kwahiyo unasema kiba ni mkali kuliko Mondi?Sasa tatizo ni nini?Huyu mbona analipwa hela nyingi za show kuliko kiba?Mbona anajaza watu kuliko kiba?Au watu hawajui mziki na wewe peke yako ndio unajua?
Mkuu huyu jamaa kwa maelezo yake wizkid na yemi alade hawajui mziki maana wamekuwa naminated bet mara 4 mfululizo alafu hawajashinda
Hawa ndo wale wanadanganyana huko kwenye magroup ya watsapp wanadhani kuchukua tuzo za bet ni kupiga kura pekee
 
ni booooooonge la song lakuamia dodoma ilo! na kukaribisha ukuta oct mosai
 
Tatizo


Tatizo mnajidanganya na tuzo zenu hizo za kununua tuzo za biashara, ambazo hata wizkid alishawah kuziponda, tuzo zisizozingatia waledi wa mziki ndiomana mkipata nafas kwenda BET mnapigwa chin kila siku, sijui kama aliwah kujiuliza hilo swali.

Mziki wa Alikiba ni mziki formal unaofuata principle s za mziki zinazotambulika dunian kote, ndiyo maana iTunes, mtn kote kiba anabreak the internet, Aje imekuwa no 1 kenya kwa kununuliwa iTunes kati ya Top 100 songs na kidogo ikwemo, Aje imekuwa no 2 iTunes oman, No 1 diezer, no 5 Spotify, no 1 mdundo kenya, no 1 mkito Tanzania, na sasa ni top 5 ya nyimbo zinazoongozwa kuuzwa MTN Nigeria, hata huko BET ndiyo wanachoangalia, wala sio promo na kiki pamoja na sarakasi za kipuuzi,

By the way, Kuhusu mtv bado hawatoa nominations ila habar mbaya kwako ji kwamba King kiba ataperfon siku hiyo na msanii wako pendwa kapigwa chini.
Ww jamaa liongo sana una uhakika na unachokisema mbona YouTube hutaji au kwenyewe haina kigezo
 
Tatizo


Tatizo mnajidanganya na tuzo zenu hizo za kununua tuzo za biashara, ambazo hata wizkid alishawah kuziponda, tuzo zisizozingatia waledi wa mziki ndiomana mkipata nafas kwenda BET mnapigwa chin kila siku, sijui kama aliwah kujiuliza hilo swali.

Mziki wa Alikiba ni mziki formal unaofuata principle s za mziki zinazotambulika dunian kote, ndiyo maana iTunes, mtn kote kiba anabreak the internet, Aje imekuwa no 1 kenya kwa kununuliwa iTunes kati ya Top 100 songs na kidogo ikwemo, Aje imekuwa no 2 iTunes oman, No 1 diezer, no 5 Spotify, no 1 mdundo kenya, no 1 mkito Tanzania, na sasa ni top 5 ya nyimbo zinazoongozwa kuuzwa MTN Nigeria, hata huko BET ndiyo wanachoangalia, wala sio promo na kiki pamoja na sarakasi za kipuuzi,

By the way, Kuhusu mtv bado hawatoa nominations ila habar mbaya kwako ji kwamba King kiba ataperfon siku hiyo na msanii wako pendwa kapigwa chini.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-09-14-18-22-43.png
    Screenshot_2016-09-14-18-22-43.png
    19.5 KB · Views: 27
kila nikimlinganisha kiba na diamond naona kama namkosea sana diamond coz kuanzia akiwa peke yke hadi akiwa ameshilikishawa kufunika KWAKE ni lazima, huyu kiumbe ni hatare sana anafanya hit hadi kwenye matangazo so kiba has a long way to go mpaka saiv sioni kama anafaa kushindanishwa na diamond kama tuu kashindwa hata kuipendezesha hii nyimbo cjui anasubilia kolabo gani nyingne
 
Back
Top Bottom