Ibanda1
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 723
- 1,125
Nna mashaka na uimara wa ubongo wakoKiba apambane na Raymond na Harmonize kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nna mashaka na uimara wa ubongo wakoKiba apambane na Raymond na Harmonize kwanza
Mkuu mm nakuhakikishia kiba mwakani akiingia BET ile tuzo anaibeba kwa wanaojua kuzchunguza hizi tuzo wataelewa namaanisha kitu ganMwambie huyu asije akashangaa mwakani Kiba akaingia BET kwa mapenz yanarun dunia, maana nyimbo za kiba ni hatar haziishi utamu.
Mbona kila siku hawa tuu
Songa Nash Mc na Balozi wa Ghetto wanatoa kanda mseto kali lakini mitaa haina macho ya kuziona
Chaba na Jcb,...Umbwa na kadigo hawa ni wakali sana fungueni macho na upande huu
thubutu walifanyia "supraizi" tu mombasa yule meneja wale alilalamika siku nzima kuwa wameonewa ndio watakubali watoe wimbo siku moja?!i wish diamond atoe nyimbo mpya siku sawa na atayotoa alikiba
ILE NI AKAPELA WALA SIYO REMIXKwani remix ya all the way up diamond alimaanisha kiba aliposema wadada wa k/koo?
Sio kama unavyofikiria tuzo ya bet kwa africa asilimia kubwa wanachukua wana hip hop na wana dancehal , wizkid na yemi alade wamekuwa nominated mara 4 mfululizo bila kuchukua tangu 2012 wapo nominatedMkuu mm nakuhakikishia kiba mwakani akiingia BET ile tuzo anaibeba kwa wanaojua kuzchunguza hizi tuzo wataelewa namaanisha kitu gan
Inategemea nini na wakati unaona nimezitaja hapo,au huoni .......??
huyu nae anachanganya dagaa na chips wauni wake wa mtaani anawaleta hapa tamaduni walishafeli mzikiacha mambo yako kwani wewe nani alikushauri ufungue macho upande huo?!
Mwaka huu daimond ametoa nyimbo moja kidogo na alikiba ametoa nyimbo 2 lupela na aje acha kukurupuka kijana chuki imezidi uwezo wako wa kufikiri
Chizi hewani
Chizi hewani
Mkuu wewe ndo hamnazo wakukurupukaSidhani kama una akili timamu mkuu
BET unaijua ww au una maanisha kubeti [emoji1]Mwambie huyu asije akashangaa mwakani Kiba akaingia BET kwa mapenz yanarun dunia, maana nyimbo za kiba ni hatar haziishi utamu.
[emoji3] [emoji3] itakuwa kubetBET unaijua ww au una maanisha kubeti [emoji1]
Kwa nini mkuuNimeipenda iyo ngoma kabla sijaisikia ila mleta mada sijampenda hata kidogo.
Basis unaugonjwa wa kinyongo na wivuNyimbo mbaya mbaya sana japo sijaisikiliza
Wimbo hujausikiliza halafu unasema mbaya. Acha UmamaNyimbo mbaya mbaya sana japo sijaisikiliza