Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Kwani alikosea...?Aliniudhi sana alipo mfananisha alikiba na best Nassoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alikosea...?Aliniudhi sana alipo mfananisha alikiba na best Nassoro
Nàkimbi kimbi kimbia..//mapenzi nayakimbia..//Nimekoma ni bonge la Joint
Huyu jamaa angetulia vizuri now angekuwa mbali mnoo.
Shida ni kiburi na kujiona yeye anajua kila kitu..
Kashagombana. Na wengi waliomtoa ikiwemo mlezi wake kid bway..huyu jamaa ndo aliemtoa baraka uko mwanza ...ila jamaa kwa nyodo akaondoka.
ule wimbo wa Ben Paul moyo mashine ilikuwa aimbe baraka .kidbway alimlipa godluck gozbert aandike ila wakazinguan na baraka.ikabid apewe Ben Paul.
Baraka ana majibu mabaya mnoo kwa mashabiki huko kwenye mitandao ya kijamii.
Haoni tabu kutukana shabiki
Mfano kuna shabiki alimuulza baraka lini utatoa tena nyimbo na ruby?
Jamaa akajibu ,haitokuja kutokea kamwe ...!
Wimbo wake huu mpya (nimekoma) umemrudisha kwenye chart.maana alikuwa kapotea ..
Baraka badilika kabla ujachelewa...
Ya kweli hayo mkuu?Mkuu, wengi wenye sauti nzuri na wanaojua sana kuimba wana kiburi. Ukichunguza utagundua.
Mavoko ni uzembe wake tuDogo saivi kaanza kuwa garasha kama mavoco, kipindi cha 2015 anachukua tuzo ya msanii chipukizi ngoma ya siachani nawe), alikuwa fire sana,( hot cake)
Hii ni kweli na hataki kubadilika1:Nimekoma
2:siwezi
3:siachani nawe
4:Acha niende 5:Nisamehe
6:Sometimes
7:Nivumilie ft Ruby
8:Jichunge
9:Sina ft Madee
Chalii anakipaji kinyama,,sema kiburi na hasira za kimbanga zinam'cost mjamaa
Hiyo ni nyimbo kubwa mkuuNimekoma ni bonge la Joint
innocent dependent ume log in kwa hii I'd nyingineKwani alikosea...?
Alijichimbia kaburi kivip Fafanua?Lakini yeye kwenda kwa alikiba ndo alijichimbia kaburi
Kwan alikosea kujibu? Safi san kwa phd km alijibu hivyo, maan mashabiki wengine n hamnazo.Baraka majibu yake hayajafikia ya Yule mbongo fleva/bongo movie Hemmedy Ph.d hovyo sana huyo jamaa, aliwahi kuambiwa na shabiki wake huko mitandaoni' wewe ni shoga tu na yeye akajibu nimetoka kumpikia mume wetu niko tayari kitandani nasubiri aje nimpe doggy style,karibu.'
Duh mshabiki akaona isiwe soo akala kona chap chap.
Jamaa ana majibu ya hovyo hovyo sana yule.Kwan alikosea kujibu? Safi san kwa phd km alijibu hivyo, maan mashabiki wengine n hamnazo.
Hapo hakukosea alijibu correct kabisaaaaaa.Jamaa ana majibu ya hovyo hovyo sana yule.
Hakukuwa na haja tena ya kwenda kwa Ali ikiwa alikuwa anafanya vizuri sana na label ile ile ilikuwa inamgharamikia vizuri .Alijichimbia kaburi kivip Fafanua?