Baraka hutoka kwa Baba; Laana hutoka kwa Mama, utaamua mwenyewe

Hakuna haki ya kuonewa huruma Mkuu?

Wala hakuna sheria yoyote inayomtaka mtu kumuonea huruma mtu mwingine, huruma ni hiyari ya mtu.

Wanawake wanahaki ya kupendwa,

Na lile andiko lako lingine

MWANAMKE MPUMBAVU UPIGWA ILI UPUMBAVU UMTOKE..

Hapa kweli naona kuwa hakuna haki ya kuonewa huruma..
utawauwa mkuu.. hawa wanawake kuwa makini mkuu
 

Umeelewa tofauti mkuu hapo umetoa maelezo yako wewe unavyotaka maelezo yangu ni tofauti kabsa na wewe ulivyochambua vile unapenda
 
Na lile andiko lako lingine

MWANAMKE MPUMBAVU UPIGWA ILI UPUMBAVU UMTOKE..

Hapa kweli naona kuwa hakuna haki ya kuonewa huruma..
utawauwa mkuu.. hawa wanawake kuwa makini mkuu

Mbona Mimi naishi peace na wanawake, wanaonijua watasema.
Usije ukadhani natumia Fake ID nijisifu bure.

Ninachokisema ndio uhalisia,
Mwanamke Mpumbavu anapaswa apigwe mpaka upumbavu umtoke.

Kumbuka niliandika pia usiolewe na Mwanaume Masikini na Mpumbavu, ili kuepuka kupigwa kisa mambo ya kipumbavu.

Sema wewe hujanielewa tuu bado.
 
Na lile andiko lako lingine

MWANAMKE MPUMBAVU UPIGWA ILI UPUMBAVU UMTOKE..

Hapa kweli naona kuwa hakuna haki ya kuonewa huruma..
utawauwa mkuu.. hawa wanawake kuwa makini mkuu



Sipo hapa kumtetea au kuumiza yeyote
 

Sitaki niilinganishe hii na mada ingine yeyote

Ukisema apigwe mkuu ina sound kupigwa kama ni haki yake vilee au wewe unaionaje? Ukimpiga unaweza ukamsababishia madhara fulani au kumuua kabsa katika kumpiga kwako..

Na kama ungeamua kumfundisha japo kwa udogo kwa mda mrefu atakuwa vyema kama anavyotakiwa awe atatokwa na upumbavu..

Kumpiga inaweza kuwa suluhisho kweli? Mkuu
 
Hivi mpaka umlaani mtoto wako wa damu yako anakuwa amekufanyia kosa gani kubwa hivyo?

Ni maandiko yanayosema msilaani msije kulaaniwa, sasa hizo laana kwangu zaona nyingi ni kazi ya shetani.
 


Mbwa Mzee hafundishwi kuwinda.

Kwa heri
 
Tena hawa watoto waliolelewa na single mother ndio kabisaaaa, wakipitia huu uzi watakua wanafyonza kimoyo moyo.
 
Nakuunga mkono marehemu.
Kheh!!! Yani nimeshtuka halafu nikajikuta nacheka tu.ROHO yangu bado ni hai,thats why bado whitney tribute ni nyingi,kuanzia muonekano,style ya nywele mpaka voice covers,nimekaa zangu kwa kutulia nawachora tu nione nani atafanya tribute ya dental figure na smile,teh!Teh! THE VOICE
 
Hivi mpaka umlaani mtoto wako wa damu yako anakuwa amekufanyia kosa gani kubwa hivyo?

Ni maandiko yanayosema msilaani msije kulaaniwa, sasa hizo laana kwangu zaona nyingi ni kazi ya shetani.
Kuna wazazi wengine mtoto hata akisahau kuosha viombo tu anamuapiza na kumlaani juu.
Kikubwa ni kujiepusha sana na tabia za kuapiza na kulaani hovyo hovyo maana hii hali hua inarithi toka kizazi hadi kizazi.
Kuna familia bibi alimlaani mwanae, mwanae nae baada ya kuzaa ikawa kila mara kuwalaani watoto na watoto (wajukuu) baada ya kupata watoto nao ni yaleyale.
Laana hua ina kawaida ya kutembee mpaka kizazi cha 3, cha nne mpaka kizazi cha tano.
 
Tarudi
 
Wanawake ni viumbe wenye roho mbaya sana..kila siku kuwalisha sumu watoto wawachukie baba zao
 
Mwanafalsafa Taikon, mtu na fasihi yake.

Nashukuru kwa ku-share nasi mawazo yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…