Baraka hutoka kwa Baba; Laana hutoka kwa Mama, utaamua mwenyewe

Hapo ukienda kwenye maandiko huwezi kupata baraka kutoka kwa mama bali baraka hutoka kwa baba kwa sababu hata mungu hakupenda kuwapa uwezo huo kwani anajuwa udhaifu walio nao wakina mama wao huenda kinyume na neno la mungu kilga mara. Na hiyo ndiyo sababu hakupenda hata wanawake waongoze ibada , lakini kwa uwezo alio kuwa nao mwanamke leo anaongoza ibada mwanamke anaonekana anamapenzi ya kweli kwa mtoto lakini mwenye mapenzi ya kweli kwa mtoto ni baba kwakuwa humfundisha ukweli mtoto , hivyo mama huangalia anaemsikiliza na hutaka kumfanya awe juu na balaa huanzia hapo . Ndio maana hakuna nabii wala mitume wanawake. Kibinadamu mwanamke ndiyo kila kitu .
 
Ukweli ni kwamba kwa binadamu wakwanza kusikia na kufanya dhambi ni mwanamke, ndiye mwanamke alimdanganya mwanamume na hata chuki mwalimu ni mwanamke ndiyo mwalimu wa uongo nahufurahi anapo pata mume muongo , mfano mdogo ndoa nyingi huwa za taabu majaribu chuki na hata vifo sababu mama , mama hupenda kulipa kisasi humfundisha mtoto awe wakike au wakiume hivyo kama wakiume alisikia zaidi neno la mama akaoa mwanamke aliekosa neno la baba hapo ni chenga kwani chanya na chanya moto amini hili.
 
Ebhana nakubaliana na hoja yako imepita:

Siku zote huwa naamini kuwa kwa baba tunapata maelekezo ili maisha yawe mazuri.

Halafu kwa mama tunapata maonyo ili maisha yasiwe mabaya. Umeona hapo.

Baba atakufundisha kuendesha pikipiki, lakini mama atakuusia usiendeshe vibaya. Usipomsikiliza mama utavunjikavunjika upate taabu [laana] lakini ukimkosa baba ndio hata kuendesha hutajua, hutapata raha [baraka] ya pikipiki. Huu ni mfano.

Single moms; hata kama humpendi baba wa mtoto jitahidi tu kuhakikisha mtoto anapata baraka za babaake. Hebu hizo chuki kwa mzazi mwenzio zisiuzidi ule upendo kwa mwanao
 
Hii mada imekuwa influenced na hadithi ya Esau na Yakobo namna walivyopambania Baraka za baba yao Isaka.
 
Nzuli sana
 
Wote ni wazazi, lazima wapendwe woote, ila mkitaka mtafute thamani ya yupi juu, basi thamani ya mama ni mara 3 ya ile ya baba
"heshimu baba na mama upate baraka hapa duniani" hiyo ya baraka ni ya baba sijui umeiokota wapi mzee!!? Na tukaambiwa "pepo zenu ziko chini ya nyayo za mama zenu"
 
Baba katupwa jela miaka 30 kisa kampa mimba mama Ili uzaliwe, hapa mtoto hawezi kuwa na upendo kwa mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…