Wakuu napenda kutoa heshima kwa wale members hapa ambao tumekuwa siku nzima tukihabarishana yanayojiri, na hivyo kuwepo hapa JF hata bila ya kuwepo, maana wneinge tunategmea habari zetu za taifa hapa tu JF, kwa hiyo shukrani na tuendele na hiyo tabia,
Halafu nimpongeze rais Kikwete, kwa uchaguzi wa baraza la mawaziri, ambalo kwanza tunafanana nalo sisi wananchi, na the fact kuwa wengi ambao wamehusishwa na maovu wameachwa, na mawaziri wengi tuliowazoea wameachwa, it a fair deal, ingawa pia kuna some dis-appointments pia, kama kurudi kwa Kapuya ambaye we know as a fact kwamba hali yake ki-afya sio nzuri sana, mama Nagu kuwekwa wizara ya viwanda, Sophia kwenda ofisi ya rais kwa kweli ni un-called for, lakini anyways ninampa rais the benefit of the doubt,
Niwapongeze washikaji Masha na Chikawe, kwa kupanda unga na kuwa mawaziri kamili, Mkuchika, Balozi Idd, Chiligati, Mkulu Hussein, I mean this is good politics, kwamba sasa tumeweza kuwa na wakuu wengi tunaofanana nao, na pia ninampongeza rais kwa kuwatema viongozi ambao hapa JF tumekuwa tukilia nao sana kama Meghji(BOT) & Rostam, Diallo(Aliyetumia Helikopta kwa uchaguzi wa NEC), Mramba (BOT, Radar, Ndege ya Rais), Ngasongwa(Mtandao), Rita Mlaki (Rushwa nzito NEC), Mungai (Air Tanzania Mufilis), Karamagi (Richmond, buzwagi), Msabaha (Richmond), Mwapachu (Mufilis Air Tanzania). Kwa kweli ninampongeza Rais kwa jeuri ya kuweza kuwatoa hawa viongozi incompetent, na ninaaamini kuwa amekuwa akisikia kilio chetu hapa JF.
On the other hand, ninataka kuamini kuwa rais na ccm wana mikakati imara ya kuwa-contain walioachwa, maana sasa kuna Lowassa, Karamagi, Diallo, Msabaha, Rita Mlaki, Rostam(Meghji), this people could be deadly, maana pia ninawaona Sumaye, Londa, Sykes, Mkali, Nyimbo, Kimiti, na Mzindakaya, wakijiunga nao as a political group, now that is wasup! Maana hawa ni rich na pia ni ugly politicians, ninatabiri kivumbi kizito sana in the coming days, maana tutegemee waende kulima? Wafanye biashara? Wakae bench tu? No way hosee, they are coming back tena soon, na nina-predict kuwa kwa mara ya kwanza viongozi wetu wa sasa watatutumikia wananchi ipasavyo kwa mara ya kwanza toka Mwalimu, aondoke maana it is their only tool kupambana na hawa wakuu, Kikwete ataliweza hili baraza jipya maana hakuna tena wa kumtisha, ingawa bado kuna swali kubwa sana je atawezaje kupata second term bila hao wakuu aliowaacha? Ndio maana ninasema kuwa his best bet ni kututumikia vyema wananchi, and ninaamini wananchi tutapata hiyo this time arround, yaaani uongozi angalau bora,
I understand kuwa kuna some concerns, kutoka kwa baadhi ya members hapa JF, ninasema ni haki yao, lakini some times hapa JF huwa tuna-demand too much kuliko uwezo wetu bongo, kwa sababu kufanya tofauti rais ilikuwa either achukue viongozi toka upinzani, au arudishe wazee kwa sababu kama ni ccm tu, aliowachagua ni almost all we got kwa mtizamo wangu,
Sasa ninawaomba wananchi tuwape nafasi hawa mawaziri wapya watuonyeshe tofauti, kwa wale manorusha maneno mazito ambayo kwa kweli kwenye mjadala mzito wa taifa kama huuu sio mahali pake, ninawaomba mfikirie kuwa kuna wananchi wengi sana wanaokuja hapa kuchota habari za uhakika, na analysis za siasa, na wengine ni vijana wadogo, kina mama, I mean Jf ni jina kubwa sana ndugu zangu, kuliko wengi mnavyofikiri,
Mkuu Invisible na Mods, mngejaribu kupunguza lugha nyinigne ni nzito kidogo kwa wananchi wasioujua siasa, wanaojaribu kuja hapa kujifunza.
Mungu Aibariki Tanzania.