Baraza Jipya La Mawaziri hili hapa

Baraza Jipya La Mawaziri hili hapa

Koba, unachobisha ni kipi hasa? Mfano mdogo ameshakupa YN, sasa unataka nini tena? Evidence is always both qualitatively and quantitatively attribiutable! Sisi tuliopo katika career hii ya elimu ya juu tunajua na wenzetu wakenya na waganda wanajua hivyo kwamba sisi kwenye mambo ya academics tupo juu. Na hapa sisi tunaongelea ubora wa elimu, sio wingi. Kwa wingi ni sawa wametuzidi kama vile ambavyo wametuzidi kila kitu katika wingi isipokuwa idadi ya watu. Ukiacha hiyo data aliyokupa YN, sisi tuna PhD holders wengi kuliko wao, tuna academic journals nyingi kuliko wao, tupo cited zaidi kwenye international journals kuliko wao, our standing in intenational academic fora ipo juu kuliko wao, tuna mitaala bora kuliko wao, you mention every aspect of quality higher education tunawazidi. Unapokuja kwenye academics kupata kazi katika international scientific organisations sisi tupo juu, ndio hao akina Tibaijuka, Mgongo, Lipumba et al wanatuwakilisha. Isipokuwa inapokuja kwenye kazi za kupitia mlango wa nyuma tupo nyuma kwa sababu watanzania sio kasumba yetu kutafuta vitu ambavyo hatuna sifa nazo. Sasa wewe umeng'ang'ania idadi ya mavyuo, wenzako wanapopima ubora wa vyuo hawahesabu idadi ya vyuo wanaangalia quality, na quality inapimwa kwa knowledge production and intellectual contribution-na hivi vitu vinaangaliwa kwa vigezo kama vya hapo juu.

Ni kweli watz tu wanyonge katika mambo kibao, lakini sio hili la ubora wa elimu ya juu, hili hapana. Pale tunapofanya vizuri kidogo tusisite kusema na kujipongeza. Waswahili wanasema "You cannot be inferior unless you feel that you are inferior"!

Mkuu Kitila,

Kama msomi hapo juu naona unakosea. Unalinganisha nyanya na maembe, wakati unapolinganisha vitu inatakiwa ulinganishe vinavyofanana kwa mfano wangu hapo juu nyanya kwa nyanya.

Ukilinganisha ubora wa UD inatakiwa ulinganishe na chuo kingine Kenya au Uganda.

Ninapoona unakosea ni pale unapochukulia ubora wa UD kama kiwakilishi cha Tanzania nzima na kutokuwa bora kwa chuo kimoja kenya kama weakness ya Kenya nzima.

Kwasababu unaongela nchi mbili basi lazima uende deep zaidi na kuangalia sio
UD ni wa ngapi kwenye ranking ukilinganisha na vyuo vya Kenya bali ulinganishe value inayoletwa na hawa graduates wa Tanzania kwa kulinganisha na Kenya.

Tanzania tuna vyuo vichache sana na mpaka sasa vyuo ambavyo wanaofaulu wanaenda kwa mapenzi yao ni UDSM, Muhimbili na Sokoine. Vingine mara nyingi
inakuwa second choice (ingawaje kuna wanafunzi wachache ambao wanaenda huko kama first choice). Sasa kama una pool la wanafunzi laki moja, unatakiwa kuchagua wanafunzi 1000, ni lazima utapata wanafunzi wazuri, maana mchujo unaondoa wale wote ambao ni weak. Hivyo hivyo kwa walimu, matokeo yake UDSM kinakuwa chuo bora zaidi.

Kama unazungumzia ubora wa elimu ya Kenya na Tanzania, basi lazima uwahusishe wale wanafunzi bora toka vyuo mbalimbali vya Kenya na kulinganisha na vile vya Tanzania.

Tatizo ninaloliona hapa, tunalinganisha kwa kutumia vitu viwili ambavyo hata siku moja haviwezi kufanana.

Ni sawa na mwandishi anayesema Mbeya yaongoza kwasababu tu ya ST. Francis wakati kuna mikoa mingine ina shule nyingi za wanafunzi waliofaulu vizuri hasa ukilinganisha na mazingira ya ST.Francis kwamba inachukua wakali wa nchi nzima.
 
Mkuu Kitila,

Kama msomi hapo juu naona unakosea. Unalinganisha nyanya na maembe, wakati unapolinganisha vitu inatakiwa ulinganishe vinavyofanana kwa mfano wangu hapo juu nyanya kwa nyanya.

Ukilinganisha ubora wa UD inatakiwa ulinganishe na chuo kingine Kenya au Uganda.

Ninapoona unakosea ni pale unapochukulia ubora wa UD kama kiwakilishi cha Tanzania nzima na kutokuwa bora kwa chuo kimoja kenya kama weakness ya Kenya nzima.

Kwasababu unaongela nchi mbili basi lazima uende deep zaidi na kuangalia sio
UD ni wa ngapi kwenye ranking ukilinganisha na vyuo vya Kenya bali ulinganishe value inayoletwa na hawa graduates wa Tanzania kwa kulinganisha na Kenya.

Tanzania tuna vyuo vichache sana na mpaka sasa vyuo ambavyo wanaofaulu wanaenda kwa mapenzi yao ni UDSM, Muhimbili na Sokoine. Vingine mara nyingi
inakuwa second choice (ingawaje kuna wanafunzi wachache ambao wanaenda huko kama first choice). Sasa kama una pool la wanafunzi laki moja, unatakiwa kuchagua wanafunzi 1000, ni lazima utapata wanafunzi wazuri, maana mchujo unaondoa wale wote ambao ni weak. Hivyo hivyo kwa walimu, matokeo yake UDSM kinakuwa chuo bora zaidi.

Kama unazungumzia ubora wa elimu ya Kenya na Tanzania, basi lazima uwahusishe wale wanafunzi bora toka vyuo mbalimbali vya Kenya na kulinganisha na vile vya Tanzania.

Tatizo ninaloliona hapa, tunalinganisha kwa kutumia vitu viwili ambavyo hata siku moja haviwezi kufanana.

Ni sawa na mwandishi anayesema Mbeya yaongoza kwasababu tu ya ST. Francis wakati kuna mikoa mingine ina shule nyingi za wanafunzi waliofaulu vizuri hasa ukilinganisha na mazingira ya ST.Francis kwamba inachukua wakali wa nchi nzima.



Mjadala umebadilika ama ni mimi nimeshindwa kukamata kasi ya treni hili ?
 
Mjadala umebadilika ama ni mimi nimeshindwa kukamata kasi ya treni hili ?

Kwi kwi kwi!!!! Mkuu inabidi upate skills mpya, za multitasking and multi-user.

Yale mambo ya kwamba ukila huwezi hata kuongea au kusikiliza radio, yamepitwa na wakati. Siku hizi mambo yanabadilika haraka sana hivyo inatakiwa kila jambo kubanana humo humo.

Any way ni kawaida ya JF mijadala kubadilika.
 
Wakuu,

Lakini hapa mbona ni kitu cha kutegemea? Tanzania tulikuwa na chuo kikuu kimoja kwa muda mrefu sana, kikiwa na wanafunzi chini ya 10,000 kati ya Watanzania milioni karibu 40. Kwa vyovyote wanaosoma hapo watakuwa katika wale best na pia hata walimu watakuwa katika wale best.

Ni rahisi UD kuwa na wanafunzi na walimu wazuri maana wana pool kubwa ya kuchagua. Wakati mwingine kulinganisha nchi na nchi kwa kutumia UD inaweza kuleta picha ambayo sio sahihi sana. Labda kama mnalinganisha chuo na chuo.

Angalia hata shule za secondary, zilipokuwepo chache zile za serikali, viwango vyao vilikuwa juu mno, maana walimu na wanafunzi hawakuwa na sehemu nyingine ya kwenda. Lakini sasa pool ambayo shule wanawezakutumia kuchagua wanafunzi na walimu linazidi kupiganiwa na shule nyingi hivyo kuwa mchezo wa mwenye kupata apate.

Kwenye kulinganisha inabidi tuwe waangalifu, maana kuna factors nyingi zinazoingia katikati, hivyo kufanya mlinganisho huo usiwe fair. Waliosema ili kulinganisha unatakiwa kulinganisha egg for egg hawakukosea.

Thanks for thinking outside the box! Ndugu yetu Kitila yuko ndani ya Box... hivyo hawezi kuwa na haki ya kutuambia kitu...

Wakati naingia pale Mlimani... Prof. Luhanga alisema sisi tuliochaguliwa... (angalia neno kuchaguliwa sio kufaulu maana waliofaulu walikuwa wengi) ni 0.03% ya Watanzania wote... hapa ukiwa makini utajua kwa nini Mlimani ilikuwa ikitoa watu wazuri...
Mfano wa Pili angalia shule za Sekondari zenye utaratibu wa prunning... zinazokuwa wanafunzi 25, most of them zinakuwa zina kwenye 20 bora ya Kitaifa...

Hapa huhitaji kuwa Mhadhiri wa Chuo kikuu na Research Uchwara kujua haya!!!
 
Hapa huhitaji kuwa Mhadhiri wa Chuo kikuu na Research Uchwara kujua haya!!!


ahaaa haaa haaa! wewe kijana acha matusi bwana, yaani sisi tunafanya research uchwara, wewe kijana tutakunyang'anya hiyo degree yako tuone kama utatamba, usifanye mchezo bwana tumekupa hata hiyo nyenzo angalau unaweza kutoa hoja hapa JF, 🙂
 
ahaaa haaa haaa! wewe kijana acha matusi bwana, yaani sisi tunafanya research uchwara, wewe kijana tutakunyang'anya hiyo degree yako tuone kama utatamba, usifanye mchezo bwana tumekupa hata hiyo nyenzo angalau unaweza kutoa hoja hapa JF, 🙂

Hivi maelimu nitabaki nayo milele mkuu... kwi kwi kwi kwi...

Naona umekuja na zile hoja za wanaCCM, kwamba tuwape kura kwa sababu wametosomesha....

Anyway... tukiendelea na hoja hiyo hiyo... tunaomba useme... percentage ya graduates wa vyuo vikuu vya nchi za Afrika Mashariki moja moja against national population!

Mara ngapi siku hizi unaweza usisome kozi lakini upate grade "A"; haya ndugu... kumbe tunatakiwa kusema kwenye siasa tu sio kwenye wasomi?

By the way mwaka gani mlikuwa na mwanafunzi anaitwa Kasheshe?
 
Fundi:
I am talking from practical experience, having been a receipient of the Univ. of Dar; and having a wide ranging educational exposure, both as student and educator/researcher at various international western institutions; and, having worked/taught people from our region; our Univ. of Dar. ni lulu ya kipekee. Tusijirudishe nyuma mahali ambapo kweli tunang'ara. Tatizo lilikuja tu wakati mahitaji ya vifaa/chemikali za kufundishia mambo ya kisayansi yalipoanza kuwa adimu, hasa huko katika shule za sekondari. Lakini elimu ya chuo kikuu chetu bado ni nzuri kabisa, lack of facilities notwithstanding.

Hata mimi nazungumzia experience ya hali iliyoko sasa hivi. Hivi uwa mnafanya self evaluations? Je wanafunzi wenu wana haki ya kuwacriticize bila kuwa penalised? Mnawauliza consumers wa products zenu kama wanaridhika na hizo products? Kuna exchange students hapo, mmejaribu kuwauliza wanakionaje chuo chenu?

Kwa upande mwingine majibu ya baadhi ya walimu humu humu JF yananikatisha tamaa! Pompous and condescending to the extreme. Walimu kama hawa kweli watakuwa na patience ya kumlea mwanafunzi mbichi na kuiona hiyo lulu iliyojificha ndani ya uwoga? I doubt it. Wangapi kati yenu wenye mapenzi ya kufundisha (ambayo ndiyo kazi kuu ya chuo kikuu) na wanaosikia uchungu wanapoona mwanafunzi anashindwa kuelewa? Naamini ubora wa chuo utauona kwenye wanafunzi walivyo makini na msisimko wa elimu! Walimu ni catalyst. A little humility would go a long way.
 
Hapa huhitaji kuwa Mhadhiri wa Chuo kikuu na Research Uchwara kujua haya!!!

Kasheshe,

Huna mpango wa kupita tena UDSM nini? usitukane mamba kabla ya kumaliza kuvuka mto.

Nakubaliana na Kitila, kuna haja ya kukunyang'anya degree yao kwi kwi kwi!!!!. Nakubaliana na yote uliyoyandika ispokuwa huo mstari hapo juu.
 
Magufuri hakusitahiki kurudi kwani ana harumu ya rushwa. pia nyumba za serikali alizouza ni zaidi ya Richmond. lakini kusahau ndio ugonjwa wa Watanzania.

kuna watu wanamsema Kapuya amefanya kosa gani? hakuwepo wakati wa Nyerere na Mwinyi kaanza uwaziri 1996.
 
Mtalii,

Ukweli ni kwamba Kapuya anaumwa na bado hali yake kiafya sio njema sana, hata alipokwenda kugombea ujumbe wa NEC, mbele ya NEC aliletwa na baiskeli na hakuweza hata kusimama, ila kwa kutumia magongo, kwa nini asipewe muda wa kupumzika kwanza?

We understand, kuwa mke wa Kapuya na Muungwana, ni mashoga wa pete na kidole, lakini kuna taifa hapa, maana itamchukua muda mrefu sana Kapuya, kuweza kufanya kazi ya uwaziri 100%,

kwa hiyo it is not about Kapuya, or anything but it is about our nation first mkuu! However, you might have some truth kuhusu Magufuli, mambo mengi sio clear na Magufuli.
 
Inasikitisha sana kwa mtu kama Mkullo kuwa waziri wa fedha!hivi huyu rais kweli ana nia nzuri nchi. Angalia maskendo yake pale NSSF ni mdini sana jamaa kama aliyeko sasa (Dau). Uchumi utadidimia kuzimu,jk hajua nani wa kumteua. Kweli kweliii mkuloo,jk isnt serious as always. Mkulo ana kashfa kibao za ubadhirifu na ndio uliomtua NSSF!!Unajua tofauti ya mkapa na jk ni ndogo sana nayo ni: Mkapa aliwatimua mafisadi wote wa enzi za mwinyi (Mkullo,Mataka,etc)na kuunda mafisadi wapya na JK yeye anaua mafisadi wa kundi lake na kufufua wale waliouawa na Mkapa. Ngoma droo. Ni bora kuanziasha wapya kuliko kufufua wafu......

While nakubali kuwa Mkulo is really incompetent lakini hilo la udini Im struggling to figure it out. Labda mtoa hoja ungetupa mwanga kidogo huo so called udini wa Mkulo na huyo Dua ili wana JF tulale nao mbele.

Otherwise wewe ndio utakuwa mdini na mwenye chuki...
 
Mtalii,

Ukweli ni kwamba Kapuya anaumwa na bado hali yake kiafya sio njema sana, hata alipokwenda kugombea ujumbe wa NEC, mbele ya NEC aliletwa na baiskeli na hakuweza hata kusimama, ila kwa kutumia magongo, kwa nini asipewe muda wa kupumzika kwanza?

We understand, kuwa mke wa Kapuya na Muungwana, ni mashoga wa pete na kidole, lakini kuna taifa hapa, maana itamchukua muda mrefu sana Kapuya, kuweza kufanya kazi ya uwaziri 100%,

kwa hiyo it is not about Kapuya, or anything but it is about our nation first mkuu! However, you might have some truth kuhusu Magufuli, mambo mengi sio clear na Magufuli.

FME,

1. Sasa kama Kapuya anaumwa- kwa nini ang'ang'anizwe tena uwaziri? Kwani hakuna wengine walioko fit?

2. Magufuli kuna wakati alikuwa nae anaumwa na wakmpeleka hata Ujerumani...je sasa amepona? Au ana nafuu?
 
Mkuu wangu Mzalendo,

Mambo mengine ni mauza uza tu, na only in bongo tu, Muungwana in private anamuuwa Magufuli kuwa hafai kazi ni kimbele mbele tu, lakini anampa uwaziri wa kitoweo, either haafai au anafaaa, kama anafaa basi apewe kazi anyoiweza, sio mambo ya kitoweo!
 
Mimi naona sikio la Kufa halisikii dawa!...
Tumeyasema mengi sana kabla ya uchaguzi huu na Laa ajabu, ni pale tulipowachambua mawaziri wa JK mwaka 2005 alipochukua madaraka, asilimia 90 ya mawazo yenu wamedhihirisha machoni mwa JK kuwa uchaguzi wake wa awali hawafai!...Leo tena katuletea wengine hivi huko CCM wamekwisha watu wa kuongoza kulingana na mfumo wa CCM yaani Wabunge kuwa mawaziri?...

Mimi nasema hivi tuijenge Chadema ama chama kitakacho kuwa mbele kuwasikiliza nyie wasomi wa JF na wengineo ambao najua wapo mbioni kujiunga hapa...
Kwanza kabisa, wakubaliane nasi ktk kubadilsiha katiba iliyopo!... Haiwezekani kabisa, Wabunge wetu wawe mawaziri na kama swala kubwa linalotuzuia sisi kutojiunga na vyama pinzani kwa sababu ya uchache wao wa Viongozi, basi nitapendekeza kuwa Wakurugenzi wote ktk mashirika ya Umma ama serikali (ambao ni watumishi wa Umma) ndio wapewe nafasi ya Uwaziri.
Na huko Mikoani ama Wilayani, hao Wabunge ndio washike wadhifa wa Mkuu wa Mkoa ama Wilaya hivyo kushirikiana na Halmashauri zao ktk ujenzi wa Mkoa ama wilaya zao.. Hapo tutakuwa tumekata kabisa mshipa wa madai ya kutazama baraza la mawaziri ili kuweza kukipa chama nafasi ya kuongoza.
 
Baraza la sasa hivi linaonekana kuwa ni dogo ukilinganisha na lililopita. Hivi kweli huyu JK yuko slow namna hiyo na hakuliona hilo tokea mwanzo?

The change/reduction is not significant. I give no credit at all to JK on this one.
 
mi nadhani tuwape muda, manake ndo hivyo washachaguliwa.na nna uhakika hata wangechaguliwa kina nani, bado kungetokea wanaopinga
 
Hapa huhitaji kuwa Mhadhiri wa Chuo kikuu na Research Uchwara kujua haya!!!

Kasheshe,



Huna mpango wa kupita tena UDSM nini? usitukane mamba kabla ya kumaliza kuvuka mto.

Nakubaliana na Kitila, kuna haja ya kukunyang'anya degree yao kwi kwi kwi!!!!. Nakubaliana na yote uliyoyandika ispokuwa huo mstari hapo juu.

Statement yangu ilikuwa na maana moja tu, kwamba kujua kwamba UDSM ilionekana kuwa bora zaidi ya vyuo vingine ni kwa sababu ya issue ya idadi ya wanafunzi, idadi ya vyuo nchini na idadi ya watu nchi (national population)... na nikasisitiza kwamba huhitaji kuwa mhadhiri wa chuo kikuu kujua hii facts.

Naomba nikuongezee mfano mwingine ili point yangu i-sink kwenye kichwa chako na vichwa vya wengine...

Unafahamu shule zile za sekondari za serikali za "so called za vipaji maalumu" zinafaulisha kuliko shule za sekondari zingine (ordinary) za serikali kwa sababu ya kuchagua wanafunzi waliofaulu vizuri zaidi na kuwaweka sehemu moja?... na wala sio kwa sababu za huduma au waalimu bora kwenye shule hizo? sasa chukulia UDSM imechukua cream from all over the country... what would you expect?

Ni kweli unahitaji utafiti ku-ng'amua hili?

By the way, kumbe chuo chenu watu wanafaulu kwa kuangalia alisema nini mtaani? sio yuko vipi kichwani... kwi kwi kwi ... haya bwana. chochote Mwalimu... usije-felisha watoto wetu kwa mambo ya JF au mtaaani!!!

Zidumu Fikira za .....
 
mi nadhani tuwape muda, manake ndo hivyo washachaguliwa.na nna uhakika hata wangechaguliwa kina nani, bado kungetokea wanaopinga

True,,, hata tukiwapa CHADEMA haya yatatokea tu!!! Kwa hivyo tuwape muda... CHADEMA na WENGINE wote jiandaeni... 2010 mufanye mavituzi... Samahani kule Kiteto [2008] mufanye mambozi!!!
 
CHENGE? really? And who is Nkya, Ananilea Nkya? JK can not be serious!

This Dr Lucy Nkya nadhani namfahamu.....

She was a director of a big NGO in Morogoro called Faraja Trust, ambayo ameiraise from the scratch to be one of the biggest Moro. Ina deal na HIV victims such as wagonjwa, watoto yatima and pia like a Microfinance.

I think she is good manager, and ana uchungu na watanzania, coz from the outset I think the NGO is somehow clean and reaching its objectives.

Ila acha tuangalie.....
 
Mkullo!!!!! Naikumbuka siku nilipojikuta nae meza moja kwenye function iliyoshirikisha wizara ya utalii wakiwa chini Mama yao Megji wakati ule, yeye (mkullo)na rafiki yake aliyepewa ukatibu mkuu kwa kipindi kifupi na kisha kutupwa mkoani walikuwa wanapeana namba za Vishoka ili wa - by pass umeme majumbani kwao!!! Leo ni Waziri tena wa Fedha! Pathetic!!! Kilichotushangaza mimi na wenzangu tuliokaa nao ni kwamba hata hawakuwa wanatufahamu wakadhubutu kuongelea haya mbele yetu. Tumekwisha!
 
Back
Top Bottom