Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Hawa ni kama big G iliyoisha utamu,ni kutemwa tu,ccm iliwatumia,sasa hawana jipya,hawana maajabu Tena,
Ila bungeni kuzuri jamani,Dada zetu wamenenepa,wamenawili,mizigo imejaa hatari.
 
Maamuzi sio ya Tulia ni chama. Viti maalum chama kinaweza muda wowote kufuta orodha na kupeleka nyingine. Maana viti maalum wanateuliwa na chama sio kupigiwa kura na wananchi.
Wakanywe maji wapoe, walilitegemea hili, siyo kama ni surprise!
They had it coming!

Hii iwe fundisho!
 
Halima sijui kilimsibu nini adi kubadilika gafla na kuwa bandidu
 
Ndugu, umefatilia Jana hotuba ya Mh. Mbowe ni kwamba Rais alimuita kupanga kikao Kati ya serikali na Chadema. Kitakachokuwepo wiki ijayo. Serikali wajumbe kumi na chadema wajumbe kumi.
Serekali ikiwapakata sana hawa jamaa huwa wana nongwa sana, lazima wawekewe ukali kadogo,na hicho kikao ni cha nini sana?
 
Uamuzi Wa Kama Kina Halima Mdee Wafukuzwe Au La BADO Haujatoka, Wajumbe Wa Baraza Kuu Ndo Wanaingia Kwenye Zoezi La Kupiga Kura Muda Huu

Nimeshakuambia ww ni mjinga fulani, ile heshima uliipata hapa ndio imeisha kabisa. Nenda kajibebishe kwa kigogo tu huko twitter.
 
Mkuu Unadhani Hela ni issue sana kwa mtu anaejielewa? Heshima waliyokuwa wanaipata kabisa yakusaliti chama ilikuwa ni kubwa sana kuliko Hela wanazopata....wanishi kwa mashaka makubwa...SoMo lililopatikana hapa hapa
Usimtegemee mwanadamu maana HUFA..kumbuka hawa walipewa Jeuri na Jiwe KAFA...akabaki Ndugai Kafukuzwa kazi
 
Don't trust a woman
..kumbuka mwanamke alivyoumba kufumbua macho kitu Cha kwanza kuona ni DUSHE so usiamini mwanamke ever forever!
 
Walimtegemea mwanadamu Magufuli na mwanadamu Ndugai, mambo yamebadilika. Mungu fundi. Hawaamini macho yao ✌️✌️
 
Uamuzi Wa Kama Kina Halima Mdee Wafukuzwe Au La BADO Haujatoka, Wajumbe Wa Baraza Kuu Ndo Wanaingia Kwenye Zoezi La Kupiga Kura Muda Huu
Na tusikuone tena humu kama ulivyoahidi vinginevyo tutasusia thread na comments zako. Umekuwa wa ovyo kuliko hata neno lenyewe.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Umesema yote mkuu ! Samaki ana nguvu akiwa kwenye maji tu
Watu wanatakiwa wajue hata huko ccm sio kwamba wote wanavumilia sababu wanapenda chama Ila ukitoka unakuwa useless huaminiki wanaotoka wanaishia kurudi ccm
 
Kwani katiba ya chadema inasema rufaa ya MTU inapaswa kusikilizwa baada ya mda ganii?? Maana ni zaidi ya mwaka sasa toka rufaa hiyo imepelekwaa?? Maana isijeikaonekana kikao hicho kisijeonekana ni batiriii.
Hamkisi kupiga ramli.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…