Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Yaani mwenyekiti atoke kuongea na mkuu wa muhimili uliojichimbia zaidi then eti mahakama?
Kwahyo maaamuzi yamefanyika kwa kufuata matakwa ya huyo mkuu wa mhimili na wala sikwa mjibu wa katiba na kanuni za chadema?? Ebu nitajie huyo mkuu wa mhimili anaweza amua mambo na kuisigina katiba na kanuni za chama
 
safi sana jambo jema lenye furaha.Chama si mtu au jina bali maamuzi ya kitaasisi.Waende wakajenge maisha mapya ktk chama kingine.Au waachane na siasa.
 
Kwani katiba ya chadema inasema rufaa ya MTU inapaswa kusikilizwa baada ya mda ganii?? Maana ni zaidi ya mwaka sasa toka rufaa hiyo imepelekwaa?? Maana isijeikaonekana kikao hicho kisijeonekana ni batiriii.
Ingekuwa kikao ni batili huyo halima na wenzie 18 wasengeshiriki
 
Acheni kuwakandamiza kwa kuwatishia wanasheria wenu kandamizi dhidi ya akinamama. Kwenda mahakamani ni haki yao. Acheni kuwatisha, etiwatulie mbeleni mtawasamehe kwa kosa lipi mpaka waombe msamahaa. Tunataka sheria ichunguze na itoe hakiii
Mbona unateseka sana dogo? Muulize Sophia Simba na Membe watakuelimisha vizuri kuhusu hili.
 
Bunge ndo litaamua....sheria za Tanzania zina gaps nyingi. Hapo Tulia Mwansasu ashapata kipengele cha kuwalinda kabla hata ya hilo Baraza lao kukaa
 
Acheni kuwakandamiza kwa kuwatishia wanasheria wenu kandamizi dhidi ya akinamama. Kwenda mahakamani ni haki yao. Acheni kuwatisha, etiwatulie mbeleni mtawasamehe kwa kosa lipi mpaka waombe msamahaa. Tunataka sheria ichunguze na itoe hakiii
Uanachama hauganganiwi kama mpira wa kona,kwenye medani ya vyama vya siasa.Wakikukataa ina maana hawakuitaji,unasepa au unaomba msamaha.
Pammoja na hayo zipo sifa za kuwa mwanachama na pia zipo kanuni za kuvuliwa uanachama.
 
Kwa kifupi tu ni kwamba adhabu za wasaliti kwenye vyama ni laini mno, kosa la usaliti jeshini adhabu yake ni kifo tu
 
Lazima mchanganyikiwe paka shume nyie. Magodifaza wao na mabwana zenu hawapo tena. Mama anaupiga mwingi, hawezi kukaa upande wa dhalimu. Ngoja Betina (Tulia) wenu naye ajichanganye muone kitakachomtokea.
 
Ingekuwa kikao ni batili huyo halima na wenzie 18 wasengeshiriki
Waaaataachaje nawakati wameitwaa na kiongozi wao wa chamaa?? Wangegoma kuja siingekuwa sokomoko kama kipindi kilee?? Ngoja wanasheria watatudadafulia
 
Nadhani uamuzi ni sahihi ukiwa na kikundi au mtu hana nidhamu katika chama huwezi kumuachia sababu takuwa sumu katika chama hata kwenye vilabu vya mpira tu ukikosa nidhamu nje. Hawa walivuka hali ya kukosa nidhamu walikuwa na kiburi na kujiweka juu ya wengine kwa bahati mbaya JPM marehemu na Ndungai alikosa nidhamu kidogo tu akaomba na msamaha na msamaha ukipigwa teke kwenye media yuko nje. Na hivi serikali hawana pesa nadhani posho yao itakuwa sehemu ile ya June-1 100 billion matumizi ya serikali😀. Hawa kundi la Mdee wameonesha utovu wa nidhamu wa kiwango cha juu kupitiliza maelezo. Imagine wanatokea watu kama hawa CCM? waliitwa kina Kinana na mzee Makamba sembuse hawa.
 
Aliyewahi kufukuzwa uanachama akaenda mahakamani wakamrudishia uanachama wake ni nani??. Katiba ya chadema ni kama ya FIFA mambo ya chama/mpira hayatapelekwa mahakamani.



Kuna na kesi nyingine iliyofunguliwa N.Y

Katiba ya chama cha siasa au taasisi yoyote ndani Tanzania hazipo juu ya sheria za kazi na katiba ya nchi.

Chama cha siasa ni public property, ukishachukua kadi tu unakuwa equal shareholder hivi sio vikundi vya watu wachache wenye kutaka kulazimisha agenda zao tena zisio consitent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…