Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Tokea jana katika kikao cha CHADEMA walifika wabunge 19 ambao kulikuwa na mzozo nani aliyewapa baraka wakati hakuna makubaliano.

Kitu ambacho tunaweza kushangaa kule bungeni hawata vuliwa na mwisho wa siku watapokelewa juu kwa juu wataingia ccm na watabaki kuwa bunge.

Hii topic msipuuze
Watakaa kimyaaa kama hakijatokea kitu😂😂😂😂
 
Hiki kikao wafanye jambo moja tu,wawatoze faini nusu ya mshahara na malupulupu yote ya bunge waliketi tangu wajipeleke. Zitajenga chama. Asikubali kuwafukuza.
 
Wasingetoka mm na siasa ingekuwa basi maana hatuwezi kumfuga delila ili Samson aangamie
Imenishangaza sana kwamba akina Halima na wenzake walikuwa wanaona walichofanya ni sawa? Basi vile tulivyodai kwamba walishinikizwa na Mwendazake tulikuwa tuna mwonea mwendazake.

Busara ilikuwa wakubali kosa, wasamehewe waachie hizo nafasi then wafikiliwe kwa namnq nyingine. Lakini kama walikuwa wanaamini wako sahihi then tuna matatizo makubwa sana kwenye siasa.

Mimi nilitarajia waje wabwage manyanga na kuweka wazi kilichotokea hadi wakaapishwa kinguvu.
 
Yani kwa Ile statement ya Mbowe kwamba yeyote atakayesaliti chama hatavumiliwa nilijua kabisa Covid imekula kwao.

Anyway wameshatengeneza hela ya kutosha na Kama wamechukua mikopo dhamana ni mshahara wa ubunge hivyo serikali italipa huo mkopo.

Magufuli na Ndugai walituharibia sana bunge. Anyway wapumzike waende CCM Sasa waone Kama watapewa nafasi kule.
Inabidi TAKUKURU wafanye kazi yao ya kufuatilia ufujaji huo wa fedha za walipa kodi,mamlaka husika zifuatilie forgery iliyofanyika kuwapelekahao wasaliti Bungeni.
Nchi iliharibiwa vya kutosha,watu wanaghushi kitaasisi na kuliingiza Taifa hasara kiasi hicho!Tena kwa kuhusisha Bunge!Ajabu na aibu hii itatuandama Watanzania kwa kipindi kirefu mno.Hii iwe mafuta ya kuchochea moto wa kudai Katiba ya wananchi wa Tanzania.
 
Yani kwa Ile statement ya Mbowe kwamba yeyote atakayesaliti chama hatavumiliwa nilijua kabisa Covid imekula kwao.

Anyway wameshatengeneza hela ya kutosha na Kama wamechukua mikopo dhamana ni mshahara wa ubunge hivyo serikali italipa huo mkopo.

Magufuli na Ndugai walituharibia sana bunge. Anyway wapumzike waende CCM Sasa waone Kama watapewa nafasi kule.
Kwamba Halima na wenzake waliona wako sahihi kufikia kukata rufaa?? Inaniumiza sana.

Niliamini waliapishwa kwa kulazimisha na hivyo tulitarajia wachomoe betri.

Sasa wakaungane na Ndugai 🤣🤣
 
Nawapongeza Chadema kwa uamuzi mzuri,hawa wasaliti hawakupaswa kuendelea kuwepo chamani
 
Back
Top Bottom