Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Walikata rufaa
Okay, shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikata rufaa
They appealed the verdict
Kwani kati ya Mdee na Chadema nani kampa nguvu mwenzake?Kweli mkuu. Halafu watu wanashindwa kuona nyuvu ya Halima Mdee kabla ya kufukuzwa na baada ya kufukuzwa Chadema ikoje.
Nimeuliza wanakata Rufaa kwa Nani?. Maana kamati kuu imewafukuaza na baraza kuu nalo limewafukuza hai watafute chama kingine, si walikuwa na kiburi wakijua chadema haiwezi kufanya chochote.
Mama D, nawe ni mmoja wao? Kama hujafungua ka-grocery, basi kuna bar nyingi tu, wanaajiri!Sawaaaa muda utasema
Naona unajiskia rahaa sana kutumia hilo neno la “maliemu”….muhimu zaidi Kumbuka kwamba Kila goti litapigwa, andaa lako madam its just the matter of time, even all this comments of yours will be just memories. I won’t say “mark my words “ as you will be gone by then.Yule Mgogo alikua speaker ya maliemu kwa kodi zetu.
Mbinguni ni illusion, angalia uliposimamia.Yuda alienda tafuta haki Mbinguni, ila Kwa usaliti wao sijui kama haki ya Hapa duniani itawasidiaje, iwapo wakiitafuta
Mkuu upo?miaka mingi ulitukimbiababukijana....Nakuona Sheikh
Rais asiyetambulika, ni yule mwanakwendazake aliye pora uchafuzi! Ameondoka, lazima maisha yaende!Mbona mbowe alienda ikulu kuongea na raisi wasiemtambua? Hapa misimamo ya chama haijakiukwa?
Rufaa si ndio hii imetupiliwa mbali?
Wakienda mahakamani so wataishia kufungwa!! Hivi wakiulizwa minutes za kikao Cha Kamati kuu kilichowateua pamoja na barua ya Katibu Mkuu yenye muhuri wa Mnyika!!! Watavitoa Wapi?;Ni muda wa kwenda mahakamani sasa for unfair dismissal.
Chama kilisema hawazitaki hizo nafasi za viti maalum baada ya uchaguzi na zisingekuwepo baada ya mwaka mmoja kama hakina mdee wasingezichukua.
Iweje leo wabadili gear angani na kuzidai nafasi na ruzuku waliyoikataa wenyewe. Ni wazi maamuzi ya hakina Mdee kipindi kile yaliangalia mbele kwa sababu mwenyekiti kigeugeu na ana watu wake wa mfukoni tayari.
Asubuhi na mapema mahakama ya kazi kufungua kesi ya pingamizi bunge lisipokee majina mapya mpaka kesi yao iamuliwe mahakamani.
Huu ndio uonevu wa mfumo dume.
Ya Zitto Kabwe yatajirudia
Akina mdee waende Mahakamani.
Tangu mwanzo utaratibu haukuzingatiwa
Halima na wenzake wasema uchaguzi haukuwa huru na haki.
CDM hakiwezi kugawanyika kwa mbinu za kilaghai kama hizo.Hawajaamini walichokiona. Walidhani watakigawa Chama.
Subiri utajua
Kufukuzwa ni jambo moja, hizo Kodi zetu walizolipwa KIMCHONGO tunazirudishaje😠😠😠😠😠😠Hayo ndio Maamuzi ya chama kila mtu apambane na hali yake