Kwani kwa Mwambe lilikataaje?Hebu ongeza nyama, fafanua vizuri, kivipi bunge linaweza kataa?
Huyo lazima.Mukya ndani!
Watakaa kimyaaa kama hakijatokea kitu😂😂😂😂Tokea jana katika kikao cha CHADEMA walifika wabunge 19 ambao kulikuwa na mzozo nani aliyewapa baraka wakati hakuna makubaliano.
Kitu ambacho tunaweza kushangaa kule bungeni hawata vuliwa na mwisho wa siku watapokelewa juu kwa juu wataingia ccm na watabaki kuwa bunge.
Hii topic msipuuze
S.H.A.M.E.Watakaa kimyaaa kama hakijatokea kitu😂😂😂😂
Cha ajabu ni kwamba, mapuguani kama wewe huwa hayaishi![emoji3525]Hakuna Cha Kushangaza hapo...Sakosi nyingi huwa Zinaendeshwa hivyo....!
Wakatafute Vyama Sasa na Sio Sakosi..!
Wanaweza kuomba kuwa wananchama. Na watapokelewa kama wanachama wapya. Wapenzi wa Chadema.Baada ya hapo nini kinafuata?
Imenishangaza sana kwamba akina Halima na wenzake walikuwa wanaona walichofanya ni sawa? Basi vile tulivyodai kwamba walishinikizwa na Mwendazake tulikuwa tuna mwonea mwendazake.Wasingetoka mm na siasa ingekuwa basi maana hatuwezi kumfuga delila ili Samson aangamie
Yes Chadema sio kama Ccm. Ni clean partyDawa ya msaliti ndio kama ivyo
Hakuna kilichotokea. Hakuna Mkubwa kuliko Chadema. WanajidanganyaLowasa Alikuja Chadema Badae Akaondoka Nini Kilitokea?
Inabidi TAKUKURU wafanye kazi yao ya kufuatilia ufujaji huo wa fedha za walipa kodi,mamlaka husika zifuatilie forgery iliyofanyika kuwapelekahao wasaliti Bungeni.Yani kwa Ile statement ya Mbowe kwamba yeyote atakayesaliti chama hatavumiliwa nilijua kabisa Covid imekula kwao.
Anyway wameshatengeneza hela ya kutosha na Kama wamechukua mikopo dhamana ni mshahara wa ubunge hivyo serikali italipa huo mkopo.
Magufuli na Ndugai walituharibia sana bunge. Anyway wapumzike waende CCM Sasa waone Kama watapewa nafasi kule.
Watauza mtumba au kupigia dekiAsa yale magwanda watapeleka wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba Halima na wenzake waliona wako sahihi kufikia kukata rufaa?? Inaniumiza sana.Yani kwa Ile statement ya Mbowe kwamba yeyote atakayesaliti chama hatavumiliwa nilijua kabisa Covid imekula kwao.
Anyway wameshatengeneza hela ya kutosha na Kama wamechukua mikopo dhamana ni mshahara wa ubunge hivyo serikali italipa huo mkopo.
Magufuli na Ndugai walituharibia sana bunge. Anyway wapumzike waende CCM Sasa waone Kama watapewa nafasi kule.