Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

Mahakamani ingekuwa sahihi Kama ni Ubunge wa kuchaguliwa na sio wa viti maalum. Halafu mahakamani Mambo yatawekwa wazi ni jinsi gani walivyopata Ubunge ambapo itakuwa mbaya zaidi.
Mbaya zaidi kwa nani??
 
Mkuu, unaweza kunieleza kufukuzwa kwa hao wanachama kuna faida gani kwa chadema?
Kutatoa nafasi kwa CHADEMA kuteua wake, waume, watoto, na ndugu za viongozi kupewa ubunge nao wanuyfaike.
 
Baambie baambie Chadema ni Taasisi kubwa sana
 


Ndugai alitumia njia kutoka kwenye uspika, na mpango wa haraka ukawa ni huo. Mwache apumzike ajilie maisha huku anavuta pesa ndefu bado.
 
Ndugai alitumia njia kutoka kwenye uspika, na mpango wa haraka ukawa ni huo. Mwache apumzike ajilie maisha huku anavuta pesa ndefu bado.

Usisahau aliomba msamaha kuwa asamehewe lakini msamaaha ukakataliwa. Karma ndio ilimuondoa ndugai kwenye uspika.
 
Samia anaendelea kusafisha masalia yote ya mwenda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…