Tetesi: Baraza Kuu La CHADEMA linatarajia kukutana kwa dharura Kumjadili Mbunge Machachari (Joshua Nassari)

Tetesi: Baraza Kuu La CHADEMA linatarajia kukutana kwa dharura Kumjadili Mbunge Machachari (Joshua Nassari)

Kesho CHADEMA wanafanya kosa la kumpiga Joshua Nassari, watamuongezea mwendo wa kujiunga CCM
 
Ramli za kitoto namna hii haziwezi kutusaidia kujenga viwanda wala kukomesha mauaji ya watu wasio na hatia kibiti
Ndio shida ya Chadema mkishtuliwa au kuonywa mnaishia kejeli na hata matusi.
Kishatimia mule mule ha ha ha.
 
Baraza kuu la CHADEMA linatarajia kufanya kikao kizito cha kumjadili na Kuamua hatima ya Mbunge mwenye akili zaidi ndani ya chama hicho unaweza kumuita (Joshua Nassari). Taangu alivyotoka Kuongeza Elimu yake Ughaibuni yamesemwa mengi wengine wakisema aligharamiwa Elimu yake na Chama Kimoja hapa chini.

Inaelezwa kuwa Chama hicho (jina kapuni) kilimpokea pia wakati anatoka Kusoma Ughaibuni.

Hali imekua tete katika jimbo lake kwa sasa ambapo CHADEMA inaelekea kukosa kuiongoza halimashauri hiyo

Taarifa za Kichunguzi zinaniambia Nassari yu mbioni kuhamia chama hicho mwaka 2019 kuelekea Uchaguzi Mkuu, Taarifa hizo zinadai na kuthibitisha namba ya uanachama ya Nassari katika Chama hicho na Kuonesha baadhi ya Stakabadhi zake za malipo mbalimbali ya ada za Uanachama ambapo inasemekana mwaka 2009 alilipa Kiasi cha sh. 12,000 ada hiyo itaisha mda wake mwaka 2019.
Hii kitu bonge la madini na haswa mahali hapa.

"inasemekana mwaka 2009 alilipa Kiasi cha sh. 12,000 ada hiyo itaisha mda wake mwaka 2019"
 
Hadi sasa wewe ni mhuni tu maana taarifa yako ya 2017 wala haina dalili ya kutokea.
Nasari ni mbunge?Huoni Huu uzi ni sahihi kabisa ukilinganisha na yaliyopo saiz?Au huko ufipa Mbowe na lisu walishawachomoa ubongo kiasi vichwa vyenu kubaki kama mabox tupu?

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Back
Top Bottom