Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
...haya ona sasa!CCM wamegawa nchi na hapa naona alshabab,boko haram wanapisha hodi,hii ndio matokeo ya kuendesha nchi kisanii.Ona sasa walikataa sensa lakini eti matokeo yakatangazwa wakati watu kibao hawakuhesabiwa,ile sensa ni feki.......
Hatuna njia ni kuleta tu hiyo mahakama ya kadhi maana kuikataa basi alshabab,boko haram.alqaeda wanakuja....mmetaka wenyewe sasa inyweni....mlidharau misingi ya BABA WA TAIFA......kuna madai ya baraghasia ipo njiani kwa wanaume,wanawake tayari ushungi.....nini sasa!..unafikiri watu hawajui maana ya uniform
Hatuna njia ni kuleta tu hiyo mahakama ya kadhi maana kuikataa basi alshabab,boko haram.alqaeda wanakuja....mmetaka wenyewe sasa inyweni....mlidharau misingi ya BABA WA TAIFA......kuna madai ya baraghasia ipo njiani kwa wanaume,wanawake tayari ushungi.....nini sasa!..unafikiri watu hawajui maana ya uniform