Baraza Kuu la Waislam Tanzania latoa tamko kuhusu Mahakama ya Kadhi na Katiba iliyopendekezwa

Status
Not open for further replies.
Hakuna mahakama ya kadhi tz,wehu nyie,waislam ni wajinga sana.

Ahsanta na Muislaamu mwenye kujifahamu na kuufahamu Uislaam kuitwa myinga si tusi.

Kwa hilo nikushukuru mno kwa niaba ya Waislaamu wenye kujitambua.

Basi nasi bila ajizi twatahadhari mno kujibizana iwe kwa faida au tukaingia khasarani kwa kupoteza wetu muda ambacho kwetu ni kitu muhimu mno.

Niswaamehe, laakin yanistahikiya kukuita "MPUMBAVU" endelea na uzongo wako maana hutobadalika abadan aslan.

Nipo kipembeni hapa nakusubiri.
 
Mfano mimi girlfriend wangu ni dada FF na imethibitishwa kuwa tunagegedana, je yeye atapigwa mawe mpaka afe na mimi nitakula mikwaju 100,?

Wakati wazungu wakilala hulala wanakuna vichwa sie hulala tukikuna jinsia zetu kama wewe Mwembebasha.
 

Ahsanta kwa ulizo,
Nakutaka tuende pole pole ili tupate faida.

Uishawahi mkuta Muislaamu kalazwa kunako hizo Spitali....za Kikanisa!?
 
Tatizo waislam wamekuwa wakitumiwa na sisiemu bila wao kujua na sasa uongo utasambazwa sana ili kuunga mkono hiyo sheria mpya na Katiba Pendeza halafu mwisho wa siku 0-3 (tatu bila)
 
Ndo mana tunasema kwamba kama mumeweka pamba za masikio hamuelewi Mahkama ya Kadhi, waislamu tunafanya kampeni nchi nzima kuzuia Katiba mpya

Bado hujajibu, kwa nini umenitukana? Sidhani kama Mtume unayempigania angelinijibu majibu ya matusi! Jitafakari tena na Uislamu wako kama unatimiza unavyokutaka
 
Hao waislam wasaliti waliishabikia katiba ya sita na ya chenge sasa mnamlilia nani

Kwenye haya mambo, waislam wengi hawajui wanataka nini hasa zaidi ya kufuata upepo. Ngoja BAKWATA nao waje na msimamo wao. Ni hao hao leo wataiponda na kuilalamikia serikali ya CCM wakati huo huo wao ndiyo mtaji mkubwa wa CCM!!
 
Ahsanta kwa ulizo,
Nakutaka tuende pole pole ili tupate faida.

Uishawahi mkuta Muislaamu kalazwa kunako hizo Spitali....za Kikanisa!?

Mbona ndio wengi! Hata elimu Kikwete wenu kasomea shule za wakristo. Kuna shule moja ya wakristo inafanya vizuri sana Tanga , believe it, 60-65% ya watoto ni waislamu. Kuna shuke zenu hawaendi sijui kwa nini
 
Mbona ndio wengi! Hata elimu Kikwete wenu kasomea shule za wakristo. Kuna shule moja ya wakristo inafanya vizuri sana Tanga , believe it, 60-65% ya watoto ni waislamu. Kuna shuke zenu hawaendi sijui kwa nini

Kifungilo, Rosmini, Mazinde juu,
 

Mbona wanitusi hivyo kwa nini! maneno yako yameshindwa kwa jina na Kristo Bwana!! Toka huko kwenye utawala wa Giza na uje kwenye Mwanga (Nuru). Mwanzo1:4
 
Kwenye haya mambo, waislam wengi hawajui wanataka nini hasa zaidi ya kufuata upepo. Ngoja BAKWATA nao waje na msimamo wao. Ni hao hao leo wataiponda na kuilalamikia serikali ya CCM wakati huo huo wao ndiyo mtaji mkubwa wa CCM!!

Wagawanye ili watawalike
 
SWALI KWA MOHAMED SAID & JAMIIFORUMS MEMBERS:

Hivi BAKWATA si ni NGO kama NGO zingine?

Lini BAKWATA ilipewa mandate ya kuwakilisha waislam wote Tanzania?

Lini Waislam wa Tanzania waliwapa mandate BAKWATA iwawakilishe?

What if Musilam hataki kuwafuata hawa BAKWATA je serikali itamshitaki au?
 
inabidi muwe na msimamo huo huo kura ya hapana na muwakumbushwe waislam mwaka 2010 jk aliwandanganya hivyo sasa hivi msidanganyike 2015 ccm ikataliwe na katiba kura ya hapana

Hivi kweli unamsikiliza faizaFox!!? Ameacha lini mapenzi na CCM!? Tafuta threads za CCM na UKAWA utamjua vizuri. Mchango yake inategemea mwelekeo wa thread.
 
Last edited by a moderator:
Mbona ndio wengi! Hata elimu Kikwete wenu kasomea shule za wakristo. Kuna shule moja ya wakristo inafanya vizuri sana Tanga , believe it, 60-65% ya watoto ni waislamu. Kuna shuke zenu hawaendi sijui kwa nini

Vizuri,
Sasa ni HAKI Muislaamu kufinikwa shuka lilochorwa "MSALABA" kwa mujibu wa Imani yake na weye ufahamuvyo....!?
 
Heading haifanani na habari yenyewe, acheni upotoshaji, hilo sio tamko la BAKWATA.
 
Mkuu, sidhani kama kuna zaidi ya hapo. Nazikubali hoja zako.
Baya zaidi waislamu wenyewe hawako pamoja kwenye hili.

nami nakuunga mkono kwa hoja zako. Maana hata wakristo wana mahakama zao wenyewe na wanazigharimikia wenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…