Baraza la Chuo Kikuu Huria Tanzania lamtaka Prof. Bisanda aombe radhi kuhusu waraka wa Corona alioutoa

kwa nini aombe radhi mbona ukweli wa jambo hili liko wazi.
 
Watalaam wanapokuwa waganga wa kienyeji!!
 
Ujumbe wangu kwa taifa
"Kama unajua kaa kimya"
 
cc Kichuguu mbona umeadimika sana? Njoo uone ''the Bold Magufuli wako asivyojali.

Haa haa haa MTAZAMO yamekufika. Mwana kulitaka, mwana kulipata! Hata wenzako kina Kichuguu na Mwanakijiji sasa hivi Magufuli ameangusha sana. Ni kwa sababu tu watu wanataka kufa na tai shingoni.
Huenda ni kwa sababu unapenda kusoma na kuandika mambo ya namna fulani, hivyo unadhahi wote tuko hivyo. Uliisoma thread hii niliyoanzisha mwezi uliopita, na watu wa aina yako wakanishambulia tena?


Au ulisoma post yangu hii? Tunanadika mambo objective huwa hatuangalii yanamhusu nani; Magufuli akifanya vizuri tutamsifia, na akifanya vibaya tutamkosoa pia. Sio kama wewe unaoyeonekana kupenda kukososa tu hata pale pasipohusika.

 
Wamekuwa watumwa wa mtu kwa tamaa ya fedha!
Sio tu tamaa ya Fedha Bali Kwa uoga wa kujiajiri. Hao ndio think tanks wa Taifa. Nonsense kabisa.

Wanataka kuaminisha umma kuwa hakuna Tatizo la Covid 19?? Wao wamepata wapi takwimu za kumpinga mwenzao aliyetoa takwimu hata kama sio accurate kivile?

Hawa ndio Mzee Mkapa alikuwa anawaita Wapumbavu-Malofa.
 
Na ATUMBULIWE KABSA yeye nan wa kutoa waraka mzto kama ule wakat hana mamlaka ya kufanya ivo
Huyo ni Kiongozi wa Taasisi Hana Mamlaka kivipi?? Ni moja ya majukumu yake ya Kila Siku kuhakikisha usalama wa wanafunzi unapatikana.
 
Mnavyopiga kelele mtasema huwa hamuendi makazini shubamiti zenu! Huna ata uweze wakujilockdown lakini unashadadia kama hela yakuishi ata mwezi unayo..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna changamoto kubwa Nchini basi ni kuwa na watu wengi wasiojielewa.

Unataka kusema tufiche ukweli Ili kusiwe na lockdown? Au Ili twende makazini??

Ndugu unajiona mfanyakazi Bora Kwa vile Corona virus hajakutight. Akikutight vizuri hiyo kazi hutoikumbuka na wala hutokumbuka kama umeajiriwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…