Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Hapo mko sahihi vinginevyo habari zitakuwa za upendeleo 'there will be no checks and balances because of conflict of interest '
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hao tuu mpoki steve nyerere cris mauki na badhiwenye kujua ku-tag..
ujumbe uende kwa Pascal,yule mkurugenzi wa MCL na issack Maro wa Njia Panda
Wabunge wanatakiwa kuwa wafanya biashara na watoto wa wakubwa tu.Waalimu na waandishi sahauuni ubungeDuuuu
Basi wabunge wanatakiwa kuwa wakulima tu
Mchumia tumbo huyo,angekuwa amejiajili asingeshinda kwenye TV chakavu kila jumamosi anatoa machozi.Mayala amejiajiri huyo hawezi kumgusa kwa lolote!
Wametia aibu sana...kwani huyo Maro ni mwandishi wa habari? Si muongeaji tuWenye kujua ku-tag..
Ujumbe uende kwa Pascal,yule mkurugenzi wa MCL na issack Maro wa Njia Panda