Baraza la Maaskofu ni wanadamu, wanakosea kwenye mengi hata waraka wao kupinga uwekezaji wa bandari ni makosa.

Baraza la Maaskofu ni wanadamu, wanakosea kwenye mengi hata waraka wao kupinga uwekezaji wa bandari ni makosa.

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Kuna aina mbili za mitazamo ya watu juu ya viongozi wa dini:

Aina ya kwanza wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu kamili na wenye ukamilifu wote, kunena mpaka kutenda kwao ni kwa ukamilifu. Hawakosei lolote

Aina ya pili wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu wa kawaida, wanatenda makosa kama wengine ila ukubwa wa makosa unatofautiana na wengine.

Mitazamo ya makundi yote mamili ndio imechangia pakubwa kuwaamini viongozi wa dini na sauti zao kutumika kwenye mengi lakini sio mara zote SAUTI ZAO ni ujumbe wa kinabii.

Baada ya utangulizi huo, niseme machache yafuatayo:

Tunawaamini viongozi wa dini katika mengi ila sio katika yote Kwa sababu nao ni wanadamu wa kawaida.

Kama wanadamu wanakosea katika mengi hivyo kuna hati hati wenye mtazamo wa kundi la kwanza juu ya viongozi wa dini wakaingizwa kwenye makosa ya kuwaamini.

Juu ya suala la uwekezaji bandari, mtazamo na maoni ya baraza la Maaskofu unaweza kuwa ni Moja ya makosa maana nao ni binadamu.

Sipingani na viongozi wa dini Kwa Imani zao bali napingana nao Kwa ubinadamu wao. Kabla ya kuwa kiongozi wa dini alikuwa ni binadamu wa kawaida, hawezi kuacha kuwa binadamu wa kawaida baada ya kuwa kiongozi wa dini.

Maswali ninayojiuliza ambayo natamani TEC waje wayajibu:

Je, ikitokea kutokana na tafsiri na uelewa ,wanachopinga kikawa sio kweli watakuja kuupinga waraka wao?

Je, licha ya yote kukiwa na faida katika uwekezaji huo watapinga waraka wao?

Je, ikiitishwa kura ya maoni Leo, kujua wanaopinga na wanaokubali uwekezaji wapi wengi, na ikaonekana wanaokubali ni wengi watapinga waraka wao?

Ndio maana nimesema Baraza la Maaskofu nao ni wanadamu wa kawaida, wanakosea katika mengi hata hili la waraka ni Moja ya makosa.
 
Kuna aina mbili za mitazamo ya watu juu ya viongozi wa dini:

Aina ya kwanza wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu kamili na wenye ukamilifu wote, kunena mpaka kutenda kwao ni kwa ukamilifu. Hawakosei lolote

Aina ya pili wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu wa kawaida, wanatenda makosa kama wengine ila ukubwa wa makosa unatofautiana na wengine.

Mitazamo ya makundi yote mamili ndio imechangia pakubwa kuwaamini viongozi wa dini na sauti zao kutumika kwenye mengi lakini sio mara zote SAUTI ZAO ni ujumbe wa kinabii.

Baada ya utangulizi huo, niseme machache yafuatayo:

Tunawaamini viongozi wa dini katika mengi ila sio katika yote Kwa sababu nao ni wanadamu wa kawaida.

Kama wanadamu wanakosea katika mengi hivyo kuna hati hati wenye mtazamo wa kundi la kwanza juu ya viongozi wa dini wakaingizwa kwenye makosa ya kuwaamini.

Juu ya suala la uwekezaji bandari, mtazamo na maoni ya baraza la Maaskofu unaweza kuwa ni Moja ya makosa maana nao ni binadamu.

Sipingani na viongozi wa dini Kwa Imani zao bali napingana nao Kwa ubinadamu wao. Kabla ya kuwa kiongozi wa dini alikuwa ni binadamu wa kawaida, hawezi kuacha kuwa binadamu wa kawaida baada ya kuwa kiongozi wa dini.

Maswali ninayojiuliza ambayo natamani TEC waje wayajibu:

Je, ikitokea kutokana na tafsiri na uelewa ,wanachopinga kikawa sio kweli watakuja kuupinga waraka wao?

Je, licha ya yote kukiwa na faida katika uwekezaji huo watapinga waraka wao?

Je, ikiitishwa kura ya maoni Leo, kujua wanaopinga na wanaokubali uwekezaji wapi wengi, na ikaonekana wanaokubali ni wengi watapinga waraka wao?

Ndio maana nimesema Baraza la Maaskofu nao ni wanadamu wa kawaida, wanakosea katika mengi hata hili la waraka ni Moja ya makosa.
Mbona kila jumapili unaendaga kupinda tako Na kiuno kwenye mimbari ukilamba kitubio kama hawaaminiki?! Pumbavu sana wewe.
Hatudanganyiki for sure na hizi propaganda za kipumbavu humu JF
 
Yaani unafikiria mpaka tupige kura ya maoni! Kisa tu ni huo mkataba wenu na DP WORLD!! Aisee kama mlikula hela za Waarabu wenu zirudisheni haraka. Watanganyika wengi hatuutaki huo mkataba wa kimangungo.
 
Eti wasomi wameandika kitu hawajui kabisa yaani takataka ,hizo elimu za kupewa na wazungu ndo matatizo.

Yaani wenye akili 80% ndani ya lisaa wamarise hoja kwa vile chapisho la kitoto kama haliwezi kufikia uzito hata wa project za kubuni za wanafunzi wa form four
..Yaani watu wanakosa hoja za kuungaisha na kuongelea facts zeny uzito 😂😂hapa kuna elimu kweli?
 
Madogo mnakubali kuchumishwa mchicha na waarabu hivi hivi kisa pesa zao walizo waonga

Tatuteni kazi za kufanya madogo uchawa hauna faida pesa ya mwarabu haitawaacha salama kmmk
 
Kuna aina mbili za mitazamo ya watu juu ya viongozi wa dini:

Aina ya kwanza wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu kamili na wenye ukamilifu wote, kunena mpaka kutenda kwao ni kwa ukamilifu. Hawakosei lolote

Aina ya pili wanawatazama viongozi wa dini kama wanadamu wa kawaida, wanatenda makosa kama wengine ila ukubwa wa makosa unatofautiana na wengine.

Mitazamo ya makundi yote mamili ndio imechangia pakubwa kuwaamini viongozi wa dini na sauti zao kutumika kwenye mengi lakini sio mara zote SAUTI ZAO ni ujumbe wa kinabii.

Baada ya utangulizi huo, niseme machache yafuatayo:

Tunawaamini viongozi wa dini katika mengi ila sio katika yote Kwa sababu nao ni wanadamu wa kawaida.

Kama wanadamu wanakosea katika mengi hivyo kuna hati hati wenye mtazamo wa kundi la kwanza juu ya viongozi wa dini wakaingizwa kwenye makosa ya kuwaamini.

Juu ya suala la uwekezaji bandari, mtazamo na maoni ya baraza la Maaskofu unaweza kuwa ni Moja ya makosa maana nao ni binadamu.

Sipingani na viongozi wa dini Kwa Imani zao bali napingana nao Kwa ubinadamu wao. Kabla ya kuwa kiongozi wa dini alikuwa ni binadamu wa kawaida, hawezi kuacha kuwa binadamu wa kawaida baada ya kuwa kiongozi wa dini.

Maswali ninayojiuliza ambayo natamani TEC waje wayajibu:

Je, ikitokea kutokana na tafsiri na uelewa ,wanachopinga kikawa sio kweli watakuja kuupinga waraka wao?

Je, licha ya yote kukiwa na faida katika uwekezaji huo watapinga waraka wao?

Je, ikiitishwa kura ya maoni Leo, kujua wanaopinga na wanaokubali uwekezaji wapi wengi, na ikaonekana wanaokubali ni wengi watapinga waraka wao?

Ndio maana nimesema Baraza la Maaskofu nao ni wanadamu wa kawaida, wanakosea katika mengi hata hili la waraka ni Moja ya makosa.
Hoja zile 8 umezisoma?
 
Eti wasomi wameandika kitu hawajui kabisa yaani takataka ,hizo elimu za kupewa na wazungu ndo matatizo.

Yaani wenye akili 80% ndani ya lisaa wamarise hoja kwa vile chapisho la kitoto kama haliwezi kufikia uzito hata wa project za kubuni za wanafunzi wa form four
..Yaani watu wanakosa hoja za kuungaisha na kuongelea facts zeny uzito 😂😂hapa kuna elimu kweli?
Matako yako umemkabidhi mwarabu ndugu katika imani ? Wale sio ndugu zako wewe jitu leusi
 
Kabla ya kutoa waraka wao waliita upande wa Serikali wakasikiliza, wakaita wataalamu wakawasikiliza alafu wakakaa wao kama wao kujadiliana kutokana na walichokisia toka kila pande.

wakato na msimamo mmoja.
au hili unaweza kulijia? ni lini uliona serikali ikijibu juu ya ili jambo kwenye video?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Matako yako umemkabidhi mwarabu ndugu katika imani ? Wale sio ndugu zako wewe jitu leusi
Sijawahi hata kufika huko wala kuwa na ndoto ya kufika huko kama wewe unaosujudia wazungu.

Mimi paletwe mzungu ,mchinq ,muarab, muhimu hata mbongo muwekezaji ni fresh ila sio kusikiliza watu wenye elimu za mchongo wenye hoja dhaifu.
 
Sijawahi hata kufika huko wala kuwa na ndoto ya kufika huko kama wewe unaosujudia wazungu.

Mimi paletwe mzungu ,mchinq ,muarab, muhimu hata mbongo muwekezaji ni fresh ila sio kusikiliza watu wenye elimu za mchongo wenye hoja dhaifu.
Wacha kujitoa akili hao waarabu sio ndugu zako kuwa muislam kusikufanye kuwa mjinga kwa waarabu dhidi ya ndugu zako waafrika wa hapa labda kama unatafuta kuolewa na hao waarabu
 
Point ya mleta uzi ni kwamba Mwanadamu anaweza kukosea kwasababu wao na Majoho/Kanzu zao haziuondoi uwanadamu wao
Mwanadamu ndiye anaweza kukosea 😂

Kanisa Moja Takatifu la Mitume usilifananisha na Kusanyiko la Ufufuo na Uzima pale Ubungo!
 
Point ya mleta uzi ni kwamba Mwanadamu anaweza kukosea kwasababu wao na Majoho/Kanzu zao haziuondoi uwanadamu wao
Sahihi kabisa, ila usisahau TEC walichopinga wameainisha ktk waraka wao, tena kifungu kwa kifungu kutoka ndani ya mkataba wenyewe...hawajapinga kutoka hewani!.
Ndio maana unaona upande wa Serikali unapata wakati mgumu kujitetea vinginevyo Msigwa angeshakurupuka muda mreeefu kutoa ufafanuzi!!.
 
Sahihi kabisa, ila usisahau TEC walichopinga wameainisha ktk waraka wao, tena kifungu kwa kifungu kutoka ndani ya mkataba wenyewe...hawajapinga kutoka hewani!.
Ndio maana unaona upande wa Serikali unapata wakati mgumu kujitetea vinginevyo Msigwa angeshakurupuka muda mreeefu kutoa ufafanuzi!!.
Hoja zao zimejikita katika yale yaliyofafanuliwa , yaliyochambuliwa na mengine kutolewa uamuzi katika mahakama mpaka hapo huoni kama Kuna makosa yanafanyika
 
Back
Top Bottom