Jamani hivi akina nani huwa wanasahihisha paper za General Studies? Mimi nilitoka kwenye mtihani nikijua nina A matokeo kutoka nikakuta F, sasa hebu ona hao vipanga walivyogalagazwa na GS🙄🙄🙄
bado Malangali Sec. imepotea sana iih chama sijui kwanini...!!!Naona wakongwe wameanza kurudi katika chart Tabora boys Kibaha mzumbe Ilboru ndani ya kumi bora tulishawasahau shule ınayoongoza ya Kisimiri pia ni ya serikali. Tabora girls wapo namba 13, kilakala -20, msalato 21. Imekuaje shule za serikali zimeibuka ghafla baada ya kuingia Magufuli? Zilishapotezwa kabisa ladha yake
haa haaaa...H
Jamani hivi akina nani huwa wanasahihisha paper za General Studies? Mimi nilitoka kwenye mtihani nikijua nina A matokeo kutoka nikakuta F, sasa hebu ona hao vipanga walivyogalagazwa na GS🙄🙄🙄
Hongera..thank lord my mdogo ana two ya 12!!toooo excited
Tupo wengi mkuu! GS haina adabuhaa haaaa...
hii GS ilininyima One bhana, yani hadi leo huwa siamin pamoja na kuapeal, ngoma ilidunda.
GS ni nooourmer, weka mbali na watoto....!!!
Mwaka jana malangali walijitahidi sana walikua wa 21 naona mwaka huu majanga haya duhbado Malangali Sec. imepotea sana iih chama sijui kwanini...!!!
Nakumbuka enzi zile za Mr. Seme, chama lilikua juu, daaaaah!!!
Mr.Seme, kama upo na nguvu rudi pale okoa jahazi, maaana enzi zako.. hadi tatu bora ulishika!!
umeona hiyo combi yake lakini?Unaingia mkuu
nimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
Wewe ni mgonjwaMzumbe kunanini? Yaani wanapitwa mpaka na Tabora boys????????
Kuna namna hapo. Unguja nadhani watafute kitu kingine tu haya mambo ya shule waachane nayoAzania hii hii niijuayo mimi? Kweli Dar es salaam inahitaji kuangaliwa upya. Vijana wamezidi ma-BASH
sasa two nayo ni ya kushangilia mkuu?au kwenu hakuna alyewah kuwa na record ya walau kupata two?thank lord my mdogo ana two ya 12!!toooo excited