Enzi zetu hata matriculation hurusiwi kufanya kwa izo passmark! Tena kasoma h's ndio balaa kabisa! Msimdanganye ajipange na diploma etc,chuo sina uhakika manake,unaweza kuwa na principal 2 ila usipate chanso cz of wingi wa watu waliofaulu vyema zaidiUnaingia wanaitaj D mbili
Kwa nini ???Sina IMANI na matokeo haya
kwa vyuo vyenu vya kata unaenda ud kwa vipanga usahauUnaingia.
Shuleni kwetu mimi nasoma.Yap, ni uhakika au shuleni kwenu ulivuja?
Mkuu ukimaliza ku-load naomba unipe jibu kama hiyo shule ni ya serikali au PrivateTANDAHIMBA ........IS LOADING !
D eng D kisw S geo anasoma course gan ukiacha education?Kutokana na cutting point za tcu, Hapo Unaenda,, minimum entry requirement Sa Iv ni D D
Hata UDSM anaweza kupata kama akiomba BA Performing Artskwa vyuo vyenu vya kata unaenda ud kwa vipanga usahau
Nope hizo facts basiMkuu wewe hata utunge pepa wewe tufanye wawili bado nitakuzidi sasa sijui nikazanie vipi masomo
mimi naongea kwa fact
unajua kibaha ilikua ya ngapi last 2 yrs?? Je miundombinu imebadilika 1yr? Mifano iko mingi sana angalia kilakala, tbr girl etc utaona
Kimbia kaombe diploma kabla hakujajaa. Mlizoea enzi za JK kubebwabebwanimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada
Andaa ada.wakuu kijana wangu amepata economics c" geography d" advance mathematics f" anaweza kufanikiwa kwenda chuo naombeni majibu tafadhali
Kabisa mkuu, ukigusa hovyo 0 au 4 ni ya kuokota hapoKweli mkuu kwa shule km pugu ina comb Tatu tyuu ambazo ni EGM, PCM, na PCB hivi shule kama hii inawezaje kuingia top ten
Programs ni nying,, ukiacha za biashara na Uchumi,, Kama Upo na access ya mtandao Angalia tcu admission guide book 2016,, utakuta maelezo yoteD eng D kisw S geo anasoma course gan ukiacha education?
Simply ni kuwa hatutaki wa kubebwa! Engineering kama huna sifa na vigezo vya kuingia nenda kule juu!! Chuo cha Engineering mlishaanza kukichukulia poa enzi za madrassa!! Sasa mzee wa madrassa karudi kwao na ule upoa haupo tenakwa takwimu hii ya haya matokeo na sifa wazitakazo tcu baasi wanawake weng watarud kitaa na itapelekea hata baadh za koz za engineering kukosa kabisa wanawake
Nenda chuo cha Sanaa b'moyoDiv one ya A tatu je naweza somea uprofesa
nimepata div 3 point 14
Gs S
Kisw D
Geog S
Eng D naweza kuingia chuo kikuu mkuu tafadhal msaada