Baraza la sasa la Mawaziri halikidhi matarajio ya wananchi chini ya uongozi mpya wa Rais Samia

Baraza la sasa la Mawaziri halikidhi matarajio ya wananchi chini ya uongozi mpya wa Rais Samia

Mleta mada nahisi utakuwa mwalimu wa madrassa, napenda Rais awateue waislamu wote kwenye nafasi za mawaziri uridhike wewe na kundi lako ili taifa letu lipige hatua ya kweli kuelekea maendeleo, ni vigumu sana sisi kuendelea kama bado kuna watu wenye mawazo mgando kama yako.

Halafu unazungumzia Rais abadilishe watu, sioni kuna maana gani kubadilisha hao watu kama wale watakaokuja nao watatekeleza ilani ya chama chao ile ile, au labda hamu yako uone waislamu wenzio wakitekeleza hiyo ilani.

Mawazo yenu bado sana, mko nyuma ya wakati, badala mpiganie Katiba Mpya mnapigania waislamu wengi waingie kwenye baraza la mawaziri, kwani hao wakristu waliopo huko wananisaidia nini mimi ninaepambana na hali yangu kila siku mtaani?
Umenikumbusha msemaji wa Simba!
 
Huna macho, jaribu kurudia kusoma tena
Humo yameandikwa mengi na nimekemea udini, ukabila, ukanda etc

Hivi kwa nini udini unapokemewa mnakuwa kwenye denial na kuwa wakali? au mnapenda teuzi zilalie watu wa dini moja?

Mbona watu wakikemea ukabila huwa hamuwashambulii kuwa ni wakabila?

Au mnanunufaika na upendeleo wa kidini kwa hiyo hamtaki huo mfumo wa kibaguzi ufutwe?
Wewe mzee wacha kuturudisha nyuma, kuwa wakali ni kwasababu ya mawazo yako mgando yanayoturudisha nyuma, hatuwi wakali kwasababu wa dini nyingine tunafaidi, nikuulize, baraza kuwa na wakristu wengi sisi wakristu huku mtaani tunafaidika nini?

Nyie watu mliokulia madrassa mna shida sana, mmefundishwa kuwatenga wengine mkiwaita makafiri ndio maana mna inferiority complex inayowatesa roho zenu, hamna amani kabisa.
 
Hakuna jipya chini ya huu mfumo

Kuharibu ama kutengeneza kuko mikononi mwa Mh Rais. Jana katengeneza na majibu kayaona kwa kura za Wabunge kwa Makamu wa Rais Mteule na kukubalika kwa maamuzi yake hayo na wananchi tulio wengi.

Umesema kweli kwa wazembe serikalini, majizi na mafisadi hamna jipya katika huu mfumo. Kuiba itakuwa bado ni ngumu kwelikweli kwao
 
Kuharibu ama kutengeneza kuko mikononi mwa Mh Rais. Jana katengeneza na majibu kayaona kwa kura za Wabunge kwa Makamu wa Rais Mteule na kukubalika kwa maamuzi yake hayo na wananchi tulio wengi.

Umesema kweli kwa wazembe serikalini, majizi na mafisadi hamna jipya katika huu mfumo. Kuiba itakuwa bado ni ngumu kwelikweli kwao
Subiri baada ya miezi 3 kama kutakuwa na jipya
 
Hata akifanya hivyo nitakuwa wa kwanza kuja hapa na kulaani kitendo hicho.

Hata hivyo hili Taifa bado lipo katika phase ya kusimika misingi yake, halijakomaa kama mnavyodhani. Kwa hiyo ili kujenga nchi imara lazima makundi yote makubwa kwa madogo yashirikishwe ipasavyo, kusiwepo Hali ya kulalia upande mmoja kwa kiwango kikubwa na cha kutisha. Kufanya hivyo ni kuweka precedence mbaya itakayobomoa misingi ya Taifa husika.

Haiwezekani kundi moja kubwa tu katika society liwe underrepresented, Yaani kila teuzi wao wa kuhesabu kwa manati, hii siyo sawa haikubaliki.

Leo nakuhakikishia Samia akiunda baraza kama alivyoliunda Magufuli humu ndani hapatakalika

kuweka watu 80% wa dini moja na only 20% wa dini nyingine katika almost nafasi zoooote za uteuzj huu ni Udini wa wazi na Namuomba Rais Samia asifanye hivyo kwenye teuzi zake na Alirekrbidhe hilo!
Misingi ya kusimika taifa inapatikana kwenye strong institutions za nchi zikisimamiwa au kuongozwa na Katiba inayoeleweka, sio watu kama unavyotaka wewe, hao watu na dini zao huja na kupita, misingi haipiti, uelewa wako uko wapi? ila sio kosa lako, tatizo ni malezi ya madrassa.

Mimi sijali hata kama Samia atawajaza wa dini yake wote, huo muda wa kufikiria hayo yaniumize roho sina.
 
Wewe mzee wacha kuturudisha nyuma, kuwa wakali ni kwasababu ya mawazo yako mgando yanayoturudisha nyuma, hatuwi wakali kwasababu wa dini nyingine tunafaidi, nikuulize, baraza kuwa na wakristu wengi sisi wakristu huku mtaani tunafaidika nini?

Nyie watu mliokulia madrassa mna shida sana, mmefundishwa kuwatenga wengine mkiwaita makafiri ndio maana mna inferiority complex inayowatesa roho zenu, hamna amani kabisa.
Sense of fairness unaiita inferiority complex?, huenda uko naive juu ya misingi ya nchi inayozaa umoja na mshikamano wa kitaifa au unanufaika na mfumo wa kibaguzi usiogawa keki ya Taifa kwa haki

Kwa hiyo waliokuwa wakilalamikia ukabila kwenye teuzi za Hayati wana inferiority complex?
 
Sense of fairness unaiita inferiority complex?, huenda uko naive juu ya misingi ya nchi inayozaa umoja na mshikamano wa kitaifa au unanufaika na mfumo wa kibaguzi usiogawa keki ya Taifa kwa haki

Kwa hiyo waliokuwa wakilalamikia ukabila kwenye teuzi za Hayati wana inferiority complex?
Fairness gani wewe mzee? hivi kuna fairness CCM wanayoitoa kwa wananchi wa hili taifa zaidi ya kikundi chao wenyewe kujinufaisha tena bila kujali dini zao?

Nakuuliza tena, mimi mkristu huku mtaani napata nini kutoka kwa baraza la mawaziri kuwa na wakristu wengi? nijibu.

Mawazo yenu ni sumu hatari kwa hili taifa, mna pretend kujiita wapinzani kumbe ndani yenu nanyi ni kikundi kidogo cha wapinzani ndani ya upinzani, ndio maana nasema CCM itatawala sana kwa hizi akili mgando.
 
Mkuu;
Maelezo marefu lakini msingi wa hoja yako ni udini!

Haya mengine uliyoongezea ni viungo tu vya kukoleza udini!
Kwahiyo mkuu wewe unaunga mkono udini?
  1. Unaunga mkono mtu anayeghilibu watu majukwaani kwa salamu za kidini kumbe kimatendo kuna dini anayoipuuza? Jukwaani kwenye shughuli za kisiasa anasema "assaramareko", "tumsifu Yesu Kristu" lakini anatenda kinyume.
  2. Unaunga mkono anayeamini kuwa wanachostahili waislamu ni kujengewa misikiti, lakini hushangai kwanini wakristo hawakujengewa makanisa wala kufanyiwa harambee msikitini. Kipi bora; kujengewa msikiti au kupewa fursa za kiuchumi ili ujenge msikiti wako kama wa makanisa wanavyojenga makanisa yao. Sisemi kuwa waisalamu wamenyimwa fursa za kiuchumi, naamini wanazo fursa hizo kama wengine, lakini kiwango cha kujikomba kwenda kuwajengea msikiti ni kama kuwaambia kuwa hawajitambui, ni kusutana kimatendo. Ni bora ingekuwa kwamba waislamu wameitisha harambee ya kujenga msikiti wakaalika yeyote wanayetaka hata kama siyo muislamu na tukaenda kuchangia kwenye harambee yao kuliko kupora jukumu hilo na kuwasababisha waonekane kama vile hawakupanga jambo hilo. Hiyo naona ni namna fulani ya kumtweza mtu. Akili yangu inaniambia kuwa mfalme wa Morocco alijitolea kujenga msikiti wa Kinondoni ili kumsaidia JPM na sio kusaidia waislamu, na JPM alikuwa na sababu yake ya kutaka msaada huo.
  3. Unaunga mkono baraza la mawaziri lisiloakisi ukweli wa kidemografia wa nchi yetu, ikiwemo ukweli kwamba tuna dini mbalimbali?
  4. Unaunga mkono serikali inayojifungamanisha na viongozi wa dini na kuwatunza kimaslahi huku ikiwapuuza waumini wa hizo dini? Kwamba kuna masheikh "wateule" ambao kazi yao ni kuunga mkono serikali na hata kufanyia kampeni chama tawala, lakini waumini wa masheikh haohao wakijaribu kuwa na mawazo tofauti wanadhalilishwa na serikali hiyohiyo inayofadhili masheikh wao!
  5. Unaunga mkono "maaskofu" wanaokashifu dini nyingine lakini wanapewa nafasi za uongozi, tena kuna mmoja sasa ni mbunge?
 
Kwahiyo mkuu wewe unaunga mkono udini?
  1. Unaunga mkono mtu anayeghilibu watu majukwaani kwa salamu za kidini kumbe kimatendo kuna dini anayoipuuza? Jukwaani kwenye shughuli za kisiasa anasema "assaramareko", "tumsifu Yesu Kristu" lakini anatenda kinyume.
  2. Unaunga mkono anayeamini kuwa wanachostahili waislamu ni kujengewa misikiti, lakini hushangai kwanini wakristo hawakujengewa makanisa wala kufanyiwa harambee msikitini. Kipi bora; kujengewa msikiti au kupewa fursa za kiuchumi ili ujenge msikiti wako kama wa makanisa wanavyojenga makanisa yao. Sisemi kuwa waisalamu wamenyimwa fursa za kiuchumi, naamini wanazo fursa hizo kama wengine, lakini kiwango cha kujikomba kwenda kuwajengea msikiti ni kama kuwaambia kuwa hawajitambui, ni kusutana kimatendo. Ni bora ingekuwa kwamba waislamu wameitisha harambee ya kujenga msikiti wakaalika yeyote wanayetaka hata kama siyo muislamu na tukaenda kuchangia kwenye harambee yao kuliko kupora jukumu hilo na kuwasababisha waonekane kama vile hawakupanga jambo hilo. Hiyo naona ni namna fulani ya kumtweza mtu. Akili yangu inaniambia kuwa mfalme wa Morocco alijitolea kujenga msikiti wa Kinondoni ili kumsaidia JPM na sio kusaidia waislamu, na JPM alikuwa na sababu yake ya kutaka msaada huo.
  3. Unaunga mkono baraza la mawaziri lisiloakisi ukweli wa kidemografia wa nchi yetu, ikiwemo ukweli kwamba tuna dini mbalimbali?
  4. Unaunga mkono serikali inayojifungamanisha na viongozi wa dini na kuwatunza kimaslahi huku ikiwapuuza waumini wa hizo dini? Kwamba kuna masheikh "wateule" ambao kazi yao ni kuunga mkono serikali na hata kufanyia kampeni chama tawala, lakini waumini wa masheikh haohao wakijaribu kuwa na mawazo tofauti wanadhalilishwa na serikali hiyohiyo inayofadhili masheikh wao!
  5. Unaunga mkono "maaskofu" wanaokashifu dini nyingine lakini wanapewa nafasi za uongozi, tena kuna mmoja sasa ni mbunge?
Thank you
Umeuliza maswali ya msingi sana.
 
IMG-20210331-WA0060.jpg
 
Back
Top Bottom