Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Barbara Gonzalez Kesi yako Binafsi uliyofunguliwa inahusiana vipi na Taasisi ya Simba SC? Acha kutafuta Huruma ya Simba SC

Wale mikia mnaomponda Genta, kabla ya kuendelea kufanya hivyo mjitafakari.



 
Wale mikia mnaomponda Genta, kabla ya kuendelea kufanya hivyo mjitafakari.



Mkuu leo watanikoma JF na Watulie tu!!
 
Pumbavu ukitaka kujua nimeifanyia nini Simba SC mtafute Mshauri Mkuu Magori au Kocha Msaidizi Matola au aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa GENTAMYCINE na 'Mafia' Wenzangu Wawili tuliwafanyia nini Viongozi wa AS Vita tulipowafunga 'Kimafia' kwa Mkapa baada ya Daktari wao kuchukua 'Sample' ya Maji tuliyoyapulizia Dawa ambayo walitaka kuyapeleka CAF na Simba SC yako mpaka Tanzania yako ingekumbwa na Rungu Kubwa la Adhabu.

Nenda pale JNIA ukawaulize wale Wafanyakazi tulichowafanyia wale Viongozi wa AS Vita hadi tukaichomoa ile Chupa wasiondoke nayo na Kuwachelewesha hadi Kusafiri huku Maafisa Vipenyo Wawili ( Mmoja ni Mdada ) wa Uwanjani pale wakitupa Ushirikiano wao.

Ukimaliza mtafute Juma Nkamia ( Mtani wangu wa Kirangi ) na Kassim Dewji kisha waulize nilifanya nao Kufuru gani pale Uwanja wa Uhuru ( Shamba la Bibi ) Simba SC ilipocheza na Club Ismailia sawa?

Mpuuzi mkubwa Wewe kaa mbali nami.
Unasema?

Screenshot_20211029-110122.png
 
Ni maandishi ya kimhemko tu....na hivi ndio shida ya wa tz wa aina yako...
Ni vizuri kufahamu mfumo wa soka wa Tz ulivyo ...TFF ipo kwa ajili ya maendeleo au iau miradi wa watu.
Katika mabadiliko ya mfumo wa soka la vilabu nchini ambapo ni uwekezaji na profit, ni changamoto sana kama una taasisi ya soka ( TFF ) michongo...
Watu ni kama Barbra na Mo wana kazi ku exist ktk mazingira ya aina hiii..
Wenye upeo ni wakati wa kupambana na TFF mazoea ambao kwa ushindani uliopo kwao ni fursa....
Ni ama kuchagua kusonga au kurudi nyuma,,, yote pia inategemea na upeo wa wadau, Media, wachambuzi wa soka...sponsors etc.
 
Jibu hoja zake kwa hoja.
Mahaba ya team zetu yasitupe upofu.
Ndugu yangu kama nawewe unaona kuna hoja hapo basi na wewe utakuwa una-kasoro ya akili kama huyo bwege anayetafuta umaarufu kwa kuwandama wanawake kwenye mitandao ya kijamii!!
 
Ndugu yangu kama nawewe unaona kuna hoja hapo basi na wewe utakuwa una-kasoro ya akili kama huyo bwege anayetafuta umaarufu kwa kuwandama wanawake kwenye mitandao ya kijamii!!
Yani wewe badala ya kuchukia unatakiwa ujibu tu hizo point zake kwa kutoa point zako kinzani moja baada ya nyingine kuonyesha huo ubwege wake.
 
kesi ameipata akiwa anatekeleza majukumu ya kila siku ya klabu sasa vipi ajitenganishe na ssc

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mdau, hana nia njema na Simba. Na kwenye uzi huu, wanaoushabikia huu UPUUZI, wengi wao ni wana UTOPOLO!
Na tatizo huyu mtu, kujifanya anajua kila kitu. Kuanzia kupanga kikosi, kuroga, yaani kila mbinu, ANAJIFANYA anajua!
 
Na wanaokatiana Viuno 24/7 Mwekezaji na CEO wao siyo Wavurugaji Kwako / Kwenu? Wanafiki na Wapumbavu wakubwa nyie. Leo nimemtolea Uvivu na napiga pale pale ili muumie vizuri.

Kama ambavyo mlikuwa mkishangilia kila mara GENTAMYCINE ninapoisema na Kuichafua Yanga SC kwa Propaganda zangu za Kitaaluma hapa JamiiForums na leo muwe Wapole tena ikiwezekana mshangilie zaidi kwani nawasaidia kuyajua mengi yaihusuyo Simba SC kwa sasa ambayo Wapuuzi ( Hayawani ) nyie hamuyajui.
Huna lolote ndugu, tunakujua wewe ni debe tupu. Hivyo hautupi shida.
 
Ndugu yangu kama nawewe unaona kuna hoja hapo basi na wewe utakuwa una-kasoro ya akili kama huyo bwege anayetafuta umaarufu kwa kuwandama wanawake kwenye mitandao ya kijamii!!
Kwa Kukusaidia tu nimeanza kuwa Maarufu tokea nikiwa bado Tumboni mwa Mama yangu Mzazi na hata Wewe nina uhakika tena wa 100% kuwa GENTAMYCINE nisingekuwa 'this famous and attractive' kwa Jamvi hili la JamiiForums wala usingekuwa Unanifuatilia 24/7 na kujua kuwa natafuta Umaarufu.

Mswahili na Mpuuzi mkubwa Wewe hebu nitokee hapa sawa? Kwani na Wewe umezuiwa au umeshindwa Kuutafuta huo Umaarufu ambao Unaumizwa Mimi ama kuwa nao au Kuutafuta hapa?
 
75% ya Ushindi wa Simba SC hasa katika CAF CL Msimu uliopita licha ya Maandalizi ya Kikosi chetu ila Umafia hasa wa kutumia Dawa za Kupulizia Vyumbani ( Watu wa Mpira tunaiita 4-4-2 ) ili Kuwavunja Nguvu Wapinzani ilitumika sana na hasa katika Vipindi vya Pili vya Mpira.

Nimeshiriki kufanya hivyo katika Mechi moja ya mwanzo kwa Maelekezo ya Bingwa wa Umafia Kapteni wa zamani wa JWTZ ( Marehemu ) Zacharia Hanspoppe na nitashangaa Mtu wa Simba SC akilibishia hili.
ASANTE kwa kutujuza tuliyokuwa hatuyajui.
 
Demu mjivuni huwa hajifichi kabisa ,Mimi Ni Simba ila kwa hili naunga hoja ,Yule demu Ana makando kando mengi Sana pale Simba ,pia lilikua kosa kubwa huyo demu kuwa CEO pale ingawa yupo upande wa MO lain kadominate Simba nzima ,na yupo pale kisa mapenz na gabachori.

Kademu Ni kana roho ya kwanini Ni vile watu wanakakingia kifua ,ukiona Hadi Karia mwana Simba Lia Lia ameanza kuikomoa Simba jua kuna mambo mengi Sana hako kadem kamefanya Sasa Karia kaona Bora tukose wote Zaid anakatengenezea mazingira ili kasepe hapo Simba na katasepa tu.

Pia za ndani nasikia kanabomolewa na forward butu kiwahi tokea hapo Simba na hakataki jamaa asepe hapo so hata MO kana mcheat Kiana ila ukweli uko hivyo ,so huyo forward yupo Sana tu hapo Simba maana anakakuna vzr na kanamwelewa sana mwamba .
Manara Ni kweli katendwa Sana na hako kademu Ni vile tu nae manara alivuka mipaka na kuitukana Simba yote ndio maana kageuka adui wa Wana Lunyasi ,ila angeamua akomae nako bila kuihusisha Simba wengi wangekua upande wa manara.
Manara hakuchanga vzr karata zake namna ya kujiepusha kuidiss Simba ,alipaswa akomae na hako hako kaslim Vita hii angeishinda mapema sana
 
Huyo mdau, hana nia njema na Simba. Na kwenye uzi huu, wanaoushabikia huu UPUUZI, wengi wao ni wana UTOPOLO!
Na tatizo huyu mtu, kujifanya anajua kila kitu. Kuanzia kupanga kikosi, kuroga, yaani kila mbinu, ANAJIFANYA anajua!
GENTAMYCINE kujifanya najua sana huku 24/7 mkiliimba hili huwa kunawapunguzia Umasikini wenu na Uhayawani mkubwa mliobarikiwa nao na Mwenyezi Mungu?

Kinachonishangaza kila Uchao mnanisema na kuonyesha Chuki zenu Kwangu ila ndiyo nyie nyie kila mnapoingia hapa JamiiForums ni lazima tu mtasoma Mada zangu na hadi kuangalia nimechangia nini katika Mada za Watu wengine.

Ndiyo maana nawadharau na sitoacha Kuwadharau niwapo hapa JamiiForums kwani mnathibitisha Kwangu Utahaira mlionao wa Kunifuatilia Mimi ambaye mnanichukia na kusema najifanya najua kila Kitu.
 
Back
Top Bottom