Penalt ya neymar wala haina mjadala...labda ya Suarez.......iki angalia kwa makn Suarez alipgwa konga la shingo, na kwenye got Lake la kulia pia aligongwa japo hizo faul alizofanyiwa zilikua very technical faul...
Ukimchek yule bek baada ya kumuwekea konga Suarez alishtuka mapema akauonda mkono kumbe it was too late...maana the moment alivyoweka konga kwenye shingo ya Suarez,, Suarez akaanguka kibaya Zaid Suarez alikua mbele kwa hatua kadhaa..na n mtaalam wa kujidondosha
Sent from my E2303 using
JamiiForums mobile app