Barcelona yaichanachana PSG, yaweka rekodi mpya Ulaya

Yes uko sawa ndo maana nkasema straika kama hao wanaojua kutumia trick hiyo ukiwa beki ni mjinga yaani utakuwa unasababisha penaty muda wote ni trick za kijinga mno yaani either ikubali iwe penaty but akikosea yeye lazima atapigwa kadi..ujanja ujanja ..kipind kile ile barca ya gardiola ilikua hicho ujanja ujanja mwing wakifika kwenye box ukijichanganya beki ni tuta..england bado cjaona sana hii maybe diego costa anajitahd kuimaster hii dirty trick
 
Wanaopinga ushindi wa Barcelona ni mashabiki wa real Madrid
 
Reactions: PNC
Watu wakununua game hawa
Utawaweza co
Kwa zle penalty za uongo
Yani hata mimi nisiye mfatiliaji wa mpira lakini Barcelona naijua ni timu nzuri.huwezi kuipa sifa ya kununua game
 
Reactions: PNC
mkuu wanakuchosha bure, wako kwenye denial hao. Suarez alipigwa goti la kiuno, na Neymar ile beki baada ya kuanguka ilikuwa inacrawl kwenda kutenda dhambi. refa alijitahidi kubalance mchezo. Neymar na Surez wote wana kadi kwa kudive.
 
acha kulia lia wewe bus futa hayo magoli we unayosema sio ya halali, Mpira unachezwa ulaya refer kapimwa ya kuaminika na uongozi kaonekana ana faa, kachezesha game nyie mpo bongo mnalia lia tu chukua filimbi ukachezeshe wewe MKUU
Si unajua watu walikua wamebeti kua barca anatoka kwa hiyo hawaamini kilichotokea
 
EPL ya big team like Arsenal kufungwa goli 10?, any way ngoja niweke akiba ya maneno
Wewe hata hujui unachokiongea..


Hata hujanielewa nimemjibu nini huyo kulingana na swali lake..

Ume niquote tu.
 
Barca.Rmadrid.Bayern Munich..... Zinabebwa sana..ukweli mchungu
 
Hakuna kitu kama hicho.we barca umewajua Jana?ingawa so Waziri sana kwa difence lkn records za karibuni zaonyesha barca walimpiga m2 goli 7-0 kabla ya kufungwa 4-0 na PSG,lakini kabla ya game hii ya Uefa ktk LA liga wamempiga Celts figo 5-0,kwahiyo ushindi huo kwa barca so kitu cha ajabu na mbaya kwa PSG waliamua kucheza defensive game....kwa style ile kwa barca utegemee nini?
Kumbuka wakati Wa Guardiola Real Madrid waliwahi pigwa 5-0 kwa kupaki basi.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Shabiki wa Man Utd....wewe endelea na EPL yako, lakini Tambua Ukileta Timu yako yoyote huku UEFA ni kichapo tuuu.....Tumeanza na Arsenal sasa ni Zamu ya Man City na Bingwa wenu kilaza Leicester kuaga mashindano
 
Naona Shabiki wa Man Utd Umeumia sana, na Mimi hii ndo raha yangu sasa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli wewe unaongea kwa mihemko kabisa, hebu angalia replay Youtube uone kama hata dimaria aliguswa basi.. Pole sana shabiki wa Man Utd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…