Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahabaahahahaa safi sanaLeo Bariadi wameonesha njia na wametuma salamu za moja kwa moja kwa CCM na mgombea wake. Mahudhurio hafifu kama ya mgombea udiwani na angalia hapa chini jinsi mabasi na malori yalivyotumika kusomba watu lakini wapi.
View attachment 1558175View attachment 1558177